Monday, 25 November 2024
WAANDISHI WA HABARI MANYARA NA UTPC WAANDAMANA UZINDUZI WA KAMPENI YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI
TANI 2.2 ZA DAWA ZA KULEVYA ZAKAMATWA TANGA, DAR ES SALAAM

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo, Novemba 25, 2024, na Kamishina Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo, miongoni mwa dawa zilizokamatwa ni skanka, methamphetamine, heroin, na dawa tiba aina ya Fentanyl.
Amesema Dawa hizo zilipatikana katika operesheni maalum zilizofanyika katika maeneo tofauti na kwamba Watuhumiwa saba wanashikiliwa kuhusiana na dawa hizo.
NAIBU KATIBU MKUU MONGELLA KUFUNGA KAMPENI ZA CCM UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MKOA WA SHINYANGA
Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Ndugu John V. K. Mongella anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa kufunga kampeni za CCM kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka 2024 Mkoa wa Shinyanga, utakaofanyika tarehe 26 Novemba 2024, Kata ya Kitangiri, mkoani humo.
WALIMU ZANZIBAR WAPIGWA MSASA UMAHIRI WA UFUNDISHAJI
Sunday, 24 November 2024
ELIMU ZAIDI YAHITAJIKA KATIKA MATUMIZI YA KEMIKALI
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Kamishna Msaidizi mwandamizi wa Polisi (SACP) George Katabazi, akizungumza katika kikao cha kuhitimisha Kampeni ya utoaji elimu kwa Umma juu ya Usafirishaji salama wa kemikali ya Sodium Cyanide kilichofanyika jijini Dodoma Novemba 23,2024.
Mkurugenzi wa Huduma za Udhibiti, Daniel Ndiyo, akizungumza wakati akimkaribisha mgeni rasmi katika kikao cha kuhitimisha Kampeni ya utoaji elimu kwa Umma juu ya Usafirishaji salama wa kemikali ya Sodium Cyanide kilichofanyika jijini Dodoma Novemba 23,2024.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) George Katabazi (kushoto), akimkabidhi tuzo Mkurugenzi wa Huduma za Udhibiti Daniel Ndiyo (kulia), iliyotolewa na wadau wa usafirishaji wa kemikali ya Sodium Cyanide katika kikao cha kuhitimisha Kampeni ya utoaji elimu kwa Umma juu ya Usafirishaji salama wa kemikali hiyo kilichofanyika jijini Dodoma Novemba 23,2024.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), George Katabazi (kulia), akipokea tuzo kwa niaba ya Jeshi la Polisi Tanzania kutoka kwa Mkurugenzi wa Huduma za Udhibiti, Daniel Ndiyo,(wa pili kushoto), pamoja na Meneja Mkuu wa Kampuni ya Swala Logistics Fardeen Rattansi (kushoto), katika kikao cha kuhitimisha Kampeni ya utoaji elimu kwa Umma juu ya Usafirishaji salama wa kemikali ya Sodium Cyanide kilichofanyika jijini Dodoma Novemba 23,2024.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) George Katabazi (aliyevaa miwani), akipokea zawadi kwa niaba ya Jeshi la Polisi Tanzania zilizotolewa na wadau wa usafirishaji wa kemikali katika kikao cha kuhitimisha Kampeni ya utoaji elimu kwa Umma juu ya Usafirishaji salama wa kemikali ya Sodium Cyanide kilichofanyika jijini Dodoma Novemba 23,2024.
Mtumishi wa Mamlaka Revocatus Mwamba,akiwasilisha mada kuhusu Kanuni na Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Kemikali katika kikao cha kuhitimisha Kampeni ya utoaji elimu kwa Umma juu ya Usafirishaji salama wa kemikali ya Sodium Cyanide kilichofanyika katika ukumbi wa Dkt Mafumiko jijini Dodoma Novemba 23,2024.
Meneja kutoka Kampuni ya Freight Forwarders, Sadiki Yusuph, akiwasilisha mada kuhusu usafirishaji salama wa kemikali ya Sodium Cyanide katika kikao cha kuhitimisha Kampeni ya utoaji elimu kwa Umma juu ya Usafirishaji salama wa kemikali ya Sodium Cyanide kilichofanyika jijini Dodoma Novemba 23,2024.
Mkaguzi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Stephen Katte,akiwasilisha mada kuhusu Majukumu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji katika kikao cha kuhitimisha Kampeni ya utoaji elimu kwa Umma juu ya Usafirishaji salama wa kemikali ya Sodium Cyanide kilichofanyika jijini Dodoma Novemba 23,2024.
Washiriki wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa katika kikao cha kuhitimisha Kampeni ya utoaji elimu kwa Umma juu ya Usafirishaji salama wa kemikali ya Sodium Cyanide kilichofanyika jijini Dodoma Novemba 23,2024.
Wadau wakiuliza maswali mbalimbali katika kikao cha kuhitimisha Kampeni ya utoaji elimu kwa Umma juu ya Usafirishaji salama wa kemikali ya Sodium Cyanide kilichofanyika jijini Dodoma Novemba 23,2024.















































