• Home
  • About
  • Support
  • Contact
  • Advertise

MASWAYETU BLOG

  • Home
  • Business
    • Internet
    • Market
    • Stock
  • Downloads
    • Dvd
    • Games
    • Software
      • Office
  • Parent Category
    • Child Category 1
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • Featured
  • Health
    • Childcare
    • Doctors
  • Uncategorized
Menu
  • Home
  • Business
    • Internet
    • Market
    • Stock
  • Downloads
    • Dvd
    • Games
    • Software
      • Office
  • Parent Category
    • Child Category 1
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • Featured
  • Health
    • Childcare
    • Doctors
  • Uncategorized

Sunday, 11 August 2024

MKONOO FEMALE STUDENTS RECEIVE SANITARY TOWELS SUPPORT

 Unknown     10:51:00     NEWS     No comments   

Arusha.

More than 400 female students at Mkonoo Secondary School in Terat Ward, Arusha City, have received sanitary towels aimed at helping them stay comfortable and continue attending school during their menstrual periods.
The donation, made by 16-year-old Tanzanian philanthropist Arjun Kaur Mittal, who recently completed her studies in Dubai, specifically targets disadvantaged schoolgirls, aiming to improve their well-being and dignity during menstruation.

Ms. Mittal highlighted the challenges many female students face due to the lack of sanitary towels, often resulting in absenteeism and health issues. "Most girls do not have access to sanitary towels, which leads to them missing school out of shame. Those who cannot use sanitary napkins risk developing skin diseases due to the lack of clean and safe towels," she explained.

Working alongside colleagues abroad, Mittal decided to use the funds she has collected to assist these students. "With just 12,000 TShs, I can buy a dozen sanitary pads and support many girls in our community," she said.

"I will continue raising funds to support girls who lack access to pads. We need to ensure these young girls receive a proper education for a better future. Our goal is to raise 700 million TShs to buy sanitary pads and support around 10,000 girls across the country," she further added.
Supporting the initiative, Arusha Member of Parliament Mrisho Gambo emphasized the importance of this support, particularly for girls from the Maasai community and other disadvantaged groups who cannot afford sanitary towels. He noted that this initiative would help female students remain in school during their periods, thereby reducing absenteeism.

Receiving the sanitary pads on behalf of the school management, teacher Bernadetha Cosmas expressed gratitude for the donation, noting that the sanitary towels would enable the students to attend classes comfortably throughout the day. She also called on other stakeholders to come forward and provide more support.

"I encourage other stakeholders to support our female students because our school has special facilities for girls during their periods," she said.





Share:
Read More →

MAAFISA UGANI, USHIRIKA WATAKIWA KUACHA KUWANYONYA WAKULIMA

 Unknown     09:51:00     NEWS     No comments   

Na Dotto Kwilasa,Dodoma

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Samia Suluhu Hassan amekutana na Maafisa Ugani pamoja na Wanaushirika ambapo katika mkutano huo, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha huduma za ugani ili kuboresha uzalishaji wa kilimo na kuongeza tija kwa wakulima.
Rais Samia amewataka maafisa hao kuhakikisha kuwa wanawasaidia wakulima kwa mbinu bora na teknolojia za kisasa ili kufanikisha malengo ya kuongeza chakula na kipato kwa wananchi.

Hayo yamejiri Agosti 10,2024 Ikulu Chamwino,Dodoma ambapo ametumia nafasi hiyo kuvielekeza vyama vya ushirika kuwa chachu ya mabadiliko na vyenye kuleta mageuzi ya fikra ikiwemo kuchangia maendeleo mapana kwa kuhamasisha wanaushirika waweze kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii kuwa na uhakika wa matibabu.
Dk.Samia pia ameitaka Wizara ya Kilimo kuandaa utaratibu wa kuwapima Maafisa ugani kwa tija inayozalishwa kwenye Kata au Kijiji nachokisimamia ili 4uwekezaji unaofanywa na serikali kupata matokeo tarajiwa .

Aidha amewataka Maafisa ugani katika ngazi ya Kata kukaa kwenye vituo vyao na kutumia usafiri ambao serikali imewapatia kuwafikia na kuwahudumia wananchi.

"Sisi kama Serikali tutaendelea kuunga mkono juhudi za wanaushirika kwa kuanzisha Benki ya Ushirika ya Taifa kwa kuchangia shilingi bilioni tano kama mtaji ili kuwezesha shughuli za Benki hiyo kuanza, " amesema Rais Samia
Pamoja na hayo amevitaka Vyama vya Ushirika kutokuwa sehemu ya kumnyonya mwanaushirika bali viwe mstari wa mbele kuwalinda na kuwatetea wakulima huku akisisitiza kuwa Serikali inadhamira ya kurudisha hadhi ya ushirika wa mazao hivyo kutaka ushirika uendeshwe kisasa.


Share:
Read More →

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI AGOSTI 11,2024

 Unknown     01:51:00     NEWS     No comments   





 




Share:
Read More →

Saturday, 10 August 2024

UZALISHAJI MAZAO, UFUGAJI WA KISASA NDIYO SIRI YA TUZO JKT

 Unknown     08:51:00     NEWS     No comments   


Na Zena Mohamed,Dodoma

Meja Jenerali na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)Rajabu Mabele amesema
Uzalishaji wa mazao, ufugaji wa kisasa, na mbinu za uendelezaji wa ardhi ndizo zinazofanya JKT kupata tuzo mara kwa mara katika maonesho ya wakulima maarufu kama nanenane.
JKT limeshinda tuzo ya jumla kwenye maonesho ya wakulima nanenane 2024 yaliyofanyika kitaifa Dodoma kutokana na ufanisi wake katika kilimo na uthibitisho wa juhudi zake katika kuboresha uzalishaji wa mazao na kuleta maendeleo ya kilimo nchini.

Meja Jenerali Mabele ameyasema hayo Jijini hapa Mara baada ya kukabidhiwa tuzo hiyo kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan Agosti 8,2024 na kueleza kuwa ushindi walioupata katika maonesho hayo yanatokana na juhudi, bidii na maarifa yaliyonayo jeshi hilo.
“Tunajivunia sana kwa sababu tumeweza kushinda tuzo kwenye maonesho haya muhimu,tuzo hii ni ushindi wa pamoja tunaosherehesha juhudi za pamoja zilizowekwa na askari wetu, wahandisi wetu, na wakulima wetu,katika kipindi chote cha maonesho, tumepata fursa ya kuonyesha namna JKT inavyoweza kuchangia katika kuboresha kilimo kupitia mbinu za kisasa na matumizi bora ya teknolojia.

“umeonyesha mifano ya mafanikio katika Uzalishaji wa mazao, ufugaji wa kisasa, na mbinu za uendelezaji wa ardhi ambazo ni muhimu kwa maendeleo ya kilimo nchini,kwa ujumla tuzo hii inatupa motisha na nguvu zaidi ya kuendeleza kazi yetu ya kujenga taifa kupitia kilimo, ambayo ni uti wa mgongo wa uchumi wetu, “amesisitiza na kuongeza kuwa;

“Tunatambua kwamba mafanikio haya hayangewezekana bila ushirikiano wa karibu kati yetu na wakulima pamoja na wadau wote wa kilimo,tunawaahidi kuwa tutendelea kuweka mikakati ya kuimarisha kilimo, kutoa mafunzo, na kuendeleza teknolojia zinazosaidia kuongeza tija na ubora wa mazao na kuwa mfano wa kuigwa kwa kutoa mchango mkubwa zaidi kwa maendeleo ya nchi yetu, “amesema.
Mbali na hayo Mkuu huyo wa JKT ametumia nafasi hiyo kuishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Samia kwa msaada na ushirikiano wake thabiti na kuahidi kuwa Jeshi hilo litaendelea kushikamana, kujitolea, na kuhakikisha kuwa linaleta mabadiliko chanya katika sekta hiyo kwa maslahi ya uchumi wa taifa .

“Hakuna ushindi unapotikana bila bidii,tulidhamiria kuifanya kazi hii, tulidhamiria kuhakikisha tunashinda, hakuna ushindi unakuja bila bidii, sisi tumeonesha bidii,tulionesha Nia Kwenye sekta zote za kilimo, mifugo na uvuvi ambapo Kwenye kilimo, tumekuwa tukifanya kilimo cha kisasa kupitia mazao ya chakula, biashara na Mazao ya kimkakati ambayo yanatumika kama shamba darasa kuwafundisha Vijana wanaopatiwa Mafunzo ya JKT katika Vikosi vyake vyote, “amesema.

Amezungumzia pia kwa upande wa mifugo kuwa JKT limekuwa likifuga n’gombe, Mbuzi, Kuku, Bata na mifugo mingine lakini pia limeanzisha teknolojia ya ufugaji wa samaki kwa njia mbalimbali ikiwemo Vizimba, Matanki ambapo mfugaji anatumia eneo dogo na kupata faida kubwa.








Share:
Read More →

Friday, 9 August 2024

MATI SUPER BRANDS YADHAMINI MAONESHO YA TANZANITE MANYARA TRADE FAIR 2024

 Unknown     23:51:00     NEWS     No comments   

Na Mwandishi Wetu ,Manyara .

Kampuni ya Mati Super Brands Limited inayozalisha vinywaji changamshi kupitia kinywaji chake pendwa cha Tanzanite Premium Vodka imedhamini Maonesho ya 3 ya Biashara,Viwanda,Madini na Kilimo ya Tanzanite Premium Vodka yatakayofanyika katika Viwanja vya Tanzanite Kwaraa Stedium Octoba 20-30 mwaka 2024 mjini Babati Mkoani Manyara.
Kwa Upande Wake Afisa Masoko Kampuni ya Mati Super Brands Limited Gwandumi Mpoma amesema kuwa kampuni hiyo imeamua kudhamini maonesho hayo ili kuunga mkono jamii ikiwemo wajasiriamali wadogo na wakati kupata fursa ya kujitangaza kupitia maonesho hayo.

Kauli mbiu ya maonesho hayo ni "Manyara kwa ustawi wa biashara na uwekezaji "
Share:
Read More →

WANAFUNZI IAA WATOA WITO KWA WAHITIMU SEKONDARI NA VYUO KUJIUNGA IAA, KUKABILI SOKO LA AJIRA

 Unknown     23:51:00     NEWS     No comments   

 

 


Wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) wametoa wito kwa wahitimu wa kidato cha nne, kidato cha cha sita, cheti na diploma kujiunga na IAA kwa ngazi ya Cheti, diploma, Shahada na Shahada ya Uzamili katika Fani mbalimbali, ili waweze kuandaliwa vema kukabiliana na soko la ajira.

Wito huo umetolewa jana na baadhi ya wanafunzi wa IAA wanaolelewa na Kiotamizi (Incubator) wanaoshiriki  Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kaskazini katika Viwanja Vya Themi Njiro Jijini Arusha, kuonesha bunifu zao katika teknolojia, biashara na sanaa ambazo zinawasaidia kupata kipato tangu wakiwa chuoni.

Wanafunzi Hao wamesema pamoja na kutoa mafunzo kwa fani zilizopo, IAA kupitia mitaala yake na Kiotamizi inawaandaa wanafunzi kujiajiri na kuajiri wengine kupitia bunifu, vumbuzi na biashara zao kabla na baada ya kuhitimu.

Mwanafunzi wa Mwaka wa Pili, Shahada ya Sayansi ya Kompyuta, Rolland Matafu anasema pamoja na kusoma Fani hiyo, kupitia incubator Chuo kimemsaidia kuliboresha wazo alilokuwa nalo mpaka kufikia hatua ya kuwa na mfumo huu wa kuwasaidia wakulima na wajasiriamali kutunza taarifa za mauzo.

"Mimi nimebuni mfumo wa teknolojia ya Mauzo ya Bidhaa (Dream Tech Solution), ambayo itawasaida Wakulima na wajasiriamali kutunza takwimu za mauzo yao, niwaalike watu wote wanahitaji kusoma Chuo waje IAA watapata maarifa na ujuzi kwenye fani zao lakini wataandaliwa kutumia elimu yao kutatua changamoto za jamii na kujipatia kipato na ajira, " alisema Rolland.

Kwa upande wake Meneja wa Kiotamizi cha (IBSUC), Bi. Pamela Chogo amesema anajivunia kuwa na vijana wabunifu, wachapakazi na wadadisi kwani wanaichangamkia fursa waliyopewa na uongozi wa IAA, hivyo wananchi wajitokeze kuona kile wanachokizalisha kupitia sekta ya ujasiriamali na maeneo mengine wakiwa bado masomoni.

IAA inashiriki Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kaskazini Viwanja vya Themi Jijini Arusha, Kanda ya Kati Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma na Kanda ya Nyanda za juu Kusini Viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya.

Karibu utembelee Banda la IAA ili uweze kupata huduma mbalimbali ikiwemo; Kufanya udahili wa wanafunzi bure, kupata taarifa za kozi mbalimbali, Pamoja na kupata ushauri wa kujiunga na kozi mbalimbali kulingana na ufaulu wa mwanafunzi.












Share:
Read More →

WAPIGA KURA WAPYA LAKI NNE KUANDIKISHWA SHINYANGA NA MWANZA

 Unknown     12:51:00     NEWS     No comments   

Na. Mwandishi wetu

Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Mwanza na Shinyanga utafanyika kwa siku saba kuanzia tarehe 21 hadi 27 Agosti, 2024 ambapo jumla ya wapiga kura wapya 400,082 wanatarajiwa kuandikishwa. 

Hayo yamesemwa leo tarehe 09 Agosti, 2024 kwa nyakati tofauti kwenye mikutano ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi na Wadau wa Uchaguzi iliyofanyika mkoani Mwanza na Shinyanga.

Mkoani Mwanza mkutano wa wadau umefunguliwa na Mwenyekiti wa Tume, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele na mkoani Shinyanga mkutano umefunguliwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume, Mhe. Jaji wa Rufani (Mstaafu) Mbarouk Salim Mbarouk.  

Viongozi hao wa Tume wamewataka wadau hao wa uchaguzi kuhamasisha wananchi na wapiga kura kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha taarifa zao ili zoezi lifanyike kwa ufanisi. 

Katika mikutano hiyo mada ya Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume, Bw. Kailima Ramadhani imebainisha kuwa mkoani Shinyanga wapiga kura wapya 209,951 wataandikishwa na mkoani Mwanza wapiga kura wapya 190,131 wataandikishwa na kufanya jumla ya wanaotarajiwa kuandikishwa kuwa 400,082. 

“Kwa mkoa wa Mwanza Tume inatarajia kuandikisha wapiga kura wapya 190,131. Hii ikiwa ni ongezeko la asilimia 10.3 ya wapiga kura 1,845,816 waliopo kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

 Hivyo, Tume inatarajia baada ya uandikishaji Mkoa wa Mwanza utakuwa na wapiga kura 2,035,947,” amesema Bw. Kailima. 

“Kwa mkoa wa Shinyanga Tume inatarajia kuandikisha wapiga kura wapya 209,951. Hii ikiwa ni ongezeko la asilimia 21 ya wapiga kura 995,918 waliopo kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

 Hivyo, Tume inatarajia baada ya uandikishaji Mkoa wa Shinyanga utakuwa na wapiga kura 1,205,869,” amesema Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Kisheria wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Seleman Mtibora ambaye amewasilisha mada kwa niaba ya Mkurugenzi wa Uchaguzi mkoani Shinyanga. 

Bw. Kailima amefafanua kuwa idadi hiyo inatokana na makisio yaliyofanywa kwa mujibu wa matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 na kwamba inaweza kuongezeka. 

Uzinduzi wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ulifanyika mkoani Kigoma tarehe 20 Julai, 2024 ambapo ulienda sambamba na kuanza kwa mzunguko wa kwanza wa uboreshaji kwenye mikoa mitatu ya Kigoma, Tabora na Katavi na kufuatiwa na mzunguko wa pili umejumuisha mikoa ya Geita na Kagera. 

Kwa sasa, uboreshaji wa Daftari unaendelea kwenye mikoa hiyo ya Kagera na Geita hadi tarehe 11 Agosti, 2024 ambapo vituo vinafunguliwa kuanzia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni.


Share:
Read More →
← Newer Posts Older Posts → Home
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

  • MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017
    Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG katika nusanusa yetu tumefanikiwa kunasa hii ambayo ilikuwa ikisubiriwa na watu wengi,ni kuhusu ...
  • UPDATED:HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA SELECTION YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017
    Habari yako, Maswayetu blog,tumedhamiria kuwapa vitu roho inapenda hapa mjini,Tumeamua kukuwekea list ya vyuo vikuu ambavyo vimetoa m...
  • NECTA:HAYA HAPA MATOKEO DARASA LA SABA 2017
    NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2017 EXAMINATION RESULTS ANGALIA MATOKEO YAKO KWA KUBONYEZA MKOA WAKO HAPO CHINI, ...
  • MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI 10,027 WALIOKOSEA KUJAZA FORM ZA MIKOPO BODI YA MIKOPO 2016/2017
      KUONA MAJINA HAYO   << BONYEZA HAPA--PDF >>
  • BREAKING NEWS:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO MWAKA WA MASOMO 2016/2017
      Bodi ya mikopo ya elimu ya juu wametangaza majina ZAIDI YA 20000 ya wanafunzi waliopata mkopo 2016/2017. Kama utahitaji kuangaliziwa j...
  • MPYA:HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA SECOND ROUND VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017
    Habari yako, Maswayetu blog,tumedhamiria kuwapa vitu roho inapenda hapa mjini,Tumeamua kukuwekea list ya vyuo vikuu ambavyo vimetoa ma...
  • MPYA:HAYA HAPA MAJINA (KATIKA PDF) WANAFUNZI SPECIAL DIPLOMA WALIOPANGIWA KURUDI UDOM &VYUO VINGINE 2016
    >>> CLICK HERE FOR LIST OF SELECTED STUDENT - UDOM (53.28 kB)<<<  CLICK HERE FOR LIST OF SELECTED STUDENTS - TEACHER ...
  • ANGALIA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWAPAMOJA NA APPLICATIONS FOR ADMISSION INTO NON DEGREE (DIPLOMA AND CERTIFICATE) PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2016/2017-NACTE
                      Nacte wametoa majina ya wanafunzi waliofanikiwa kuchaguliwa  katika vyuo mbalimbali  afya,ualimu ,kil...
  • MPYA:HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA SECOND ROUND VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017
    Habari yako, Maswayetu blog,tumedhamiria kuwapa vitu roho inapenda hapa mjini,Tumeamua kukuwekea list ya vyuo vikuu ambavyo vimetoa ma...

Unordered List

Pages

Blog Archive

  • ▼  2026 (207)
    • ▼  April (18)
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE APRILI 7,2026
      • TUME YA UCHUNGUZI YAONGEZEWA MUDA TENA HADI APRILI...
      • POLISI TANGA WAOKOA VIJANA 87 WALIOINGIZWA KWENYE ...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU APRILI 6,2026
      • UKOMAVU WA KISIASA: RAIS SAMIA AZIBA MAKOVU YA UCH...
      • MALUNDE 1 BLOG INAKUTAKIA SIKUKUU NJEMA YA PASAKA!
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI APRILI 5,2026
      • MWANAMKE AUAWA KWA KUKATWA SHINGO SHINYANGA
      • KAHAMA KUCHEKA KWA NGUVU JUMAMOSI HII !! LIVE COME...
      • BAGAMOYO YAVUTA WAWEKEZAJI, MAOMBI 48 YAPOKELEWA
      • DKT. GWAJIMA ATOA WITO KWA JAMII NA WAZAZI KUSHIRI...
      • Video Mpya : JINASA MADEBE - MAJIVUNO
      • SERIKALI YAPANUA WIGO WA MAFUNZO NA FURSA ZA AJIRA...
      • POLISI YAJIDHATITI KUHAKIKISHA USALAMA NA UTULIVU ...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI APRILI 2,2026
      • Wimbo Mpya : MALIGANYA MADIRISHA - YAKALE
      • PROF. SHEMDOE AWASILISHA RANDAMA YA MAKADIRIO YA M...
      • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO APRILI 1,2026
    • ►  March (62)
    • ►  February (55)
    • ►  January (72)
  • ►  2025 (993)
    • ►  December (73)
    • ►  November (67)
    • ►  October (72)
    • ►  September (92)
    • ►  August (82)
    • ►  July (84)
    • ►  June (76)
    • ►  May (92)
    • ►  April (86)
    • ►  March (91)
    • ►  February (83)
    • ►  January (95)
  • ►  2024 (1017)
    • ►  December (89)
    • ►  November (89)
    • ►  October (73)
    • ►  September (94)
    • ►  August (86)
    • ►  July (85)
    • ►  June (86)
    • ►  May (94)
    • ►  April (92)
    • ►  March (101)
    • ►  February (30)
    • ►  January (98)
  • ►  2023 (1772)
    • ►  December (99)
    • ►  November (101)
    • ►  October (130)
    • ►  September (102)
    • ►  August (150)
    • ►  July (162)
    • ►  June (165)
    • ►  May (178)
    • ►  April (172)
    • ►  March (188)
    • ►  February (162)
    • ►  January (163)
  • ►  2022 (1846)
    • ►  December (173)
    • ►  November (161)
    • ►  October (190)
    • ►  September (188)
    • ►  August (185)
    • ►  July (146)
    • ►  June (116)
    • ►  May (130)
    • ►  April (126)
    • ►  March (120)
    • ►  February (136)
    • ►  January (175)
  • ►  2021 (7035)
    • ►  December (284)
    • ►  November (598)
    • ►  October (641)
    • ►  September (638)
    • ►  August (619)
    • ►  July (616)
    • ►  June (617)
    • ►  May (637)
    • ►  April (581)
    • ►  March (621)
    • ►  February (539)
    • ►  January (644)
  • ►  2020 (7392)
    • ►  December (597)
    • ►  November (589)
    • ►  October (586)
    • ►  September (618)
    • ►  August (680)
    • ►  July (625)
    • ►  June (614)
    • ►  May (591)
    • ►  April (606)
    • ►  March (632)
    • ►  February (624)
    • ►  January (630)
  • ►  2019 (7895)
    • ►  December (611)
    • ►  November (643)
    • ►  October (673)
    • ►  September (664)
    • ►  August (679)
    • ►  July (677)
    • ►  June (619)
    • ►  May (725)
    • ►  April (622)
    • ►  March (477)
    • ►  February (604)
    • ►  January (901)
  • ►  2018 (409)
    • ►  December (388)
    • ►  August (1)
    • ►  July (1)
    • ►  June (2)
    • ►  May (2)
    • ►  April (7)
    • ►  March (2)
    • ►  February (1)
    • ►  January (5)
  • ►  2017 (450)
    • ►  December (1)
    • ►  November (1)
    • ►  October (119)
    • ►  September (7)
    • ►  August (2)
    • ►  July (10)
    • ►  June (23)
    • ►  May (28)
    • ►  April (39)
    • ►  March (16)
    • ►  February (77)
    • ►  January (127)
  • ►  2016 (2803)
    • ►  December (246)
    • ►  November (198)
    • ►  October (274)
    • ►  September (286)
    • ►  August (251)
    • ►  July (233)
    • ►  June (260)
    • ►  May (309)
    • ►  April (210)
    • ►  March (233)
    • ►  February (264)
    • ►  January (39)
  • ►  2015 (1416)
    • ►  December (24)
    • ►  November (102)
    • ►  October (186)
    • ►  September (89)
    • ►  August (80)
    • ►  July (229)
    • ►  June (197)
    • ►  May (61)
    • ►  April (266)
    • ►  March (105)
    • ►  February (50)
    • ►  January (27)
  • ►  2014 (1347)
    • ►  December (21)
    • ►  November (33)
    • ►  October (51)
    • ►  September (43)
    • ►  August (40)
    • ►  July (202)
    • ►  June (287)
    • ►  May (328)
    • ►  April (159)
    • ►  March (61)
    • ►  February (118)
    • ►  January (4)

Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger