Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah akiwa na wa Makatibu Wakuu unaojumuisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Natu Mwamba, Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu wakiwa na Katibu Tawala Mkoa wa Pwani, Bw. Rashid Mchatta walipotembelea Kiwanda cha Kiwanda cha Kairuki Pharmaceutical Industry Limited kilichopo Kibaha Mkoa wa Pwani Machi 30,2024 kujionea shughuli za uzalishaji na kutatua changamoto.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah akiwa na wa Makatibu Wakuu unaojumuisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Natu Mwamba, Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu wakiwa na Katibu Tawala Mkoa wa Pwani, Bw. Rashid Mchatta walipotembelea Kiwanda cha Kiwanda cha Kairuki Pharmaceutical Industry Limited kilichopo Kibaha Mkoa wa Pwani Machi 30,2024 kujionea shughuli za uzalishaji na kutatua changamoto.





































