Wednesday, 4 October 2023

SHIRIKA LA ELIMU KIBAHA LAANZA KUTOA MAFUNZO KWA VYUO VINGINE MKOANI PWANI

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Elimu Kibaha (KEC), Bw. Anathe Nnko akifungua rasmi mafunzo ya kozi za muda mfupi kwa wanafunzi wa Chuo cha Biashara Kibaha. Mafunzo hayo yanatolewa katika Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Kibaha (Kibaha– FDC). Kutoka kulia ni mmiliki wa Chuo cha Biashara Kibaha,...
Share:

PROF. OREKU: TAFITI BORA, CHANZO CHA MAPATO

Tafiti na machapisho yenye kukidhi ubora wa ushindani yanaweza kukisaidia Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) katika kupata ufadhili na miradi itakayosaidia kuongeza mapato ya ndani ya chuo. Hayo yamesemwa na Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania anayesimamia Mipango, Fedha na Utawala,...
Share:

CHONGOLO AHUDHURIA KIKAO CHA BALOZI WA SHINA NAMBA 5 LA CCM WILAYANI TANGANYIKA MKOANI KATAVI,ASIKILIZA KERO ZA WANANCHI.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Godfrey Chongolo leo Jumanne Oktoba 3,2023 amehudhuria na kushiriki kikao cha Balozi wa Shina namba 5, Ndugu Mikael Ndayambue Migelelo katika Tawi la Kapalamsenga, Wilaya ya Tanganyika, mkoani Katavi. Ndugu Chongolo pia alitumia nafasi hiyo kusikiliza...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO OKTOBA 4,2023

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger