Tuesday, 12 September 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO SEPTEMBA 13,2023

...
Share:

DEREVA BODABODA AFARIKI KWA KUGONGANA NA MWENDOKASI, RC CHALAMILA AKEMEA

Mtu mmoja aliyekuwa akiendesha pikipiki amefariki dunia katika ajali kati ya pikipiki hiyo na Gari ya Mwendokasi baada ya kugonga basi hilo kwenye eneo la Lumumba,  mataa ya Kituo cha Mwendokasi cha Fire na DIT Jijini Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limethibitisha...
Share:

WANAFUNZI WALIOPANGWA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI,2023

 https://docs.google.com/spreadsheets/d/1WdIf6LhsvGmLVxRnlNoSoaLftxTQG0CO/edit?usp=sharing&ouid=110095776489587130352&rtpof=true&sd=tr...
Share:

MASWA YETU BLOG TUMERUDI UPYA,KIVINGINE ZAIDI

 Ile blog pendwa ya Maswa yetu blog sasa imerudi rasmi hewaniSasa utapata habari zote zinazokuhusu kwa wepesi zaidi.karibuni san...
Share:

Saturday, 2 September 2023

WASTANI WA KUISHI KWA MTANZANIA WAONGEZEKA KUTOKA MIAKA 45 HADI 65

 Mtakwimu Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt.Albina Chuwa akizungumza katika mkutano maalum uliohusisha pia Wakuu wa Mikoa kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Agosti 31, 2023 Jijini Dar es Salaam. **************** NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM UMRI wa Mtanzania kuishi umeendelea kuongezeka...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI SEPTEMBA 2, 2023

  ...
Share:

Friday, 1 September 2023

EXTRA BINGO MCHEZO WA KENO ULIORAHISISHWA!!

  Hapa tena Meridianbet kasino ya mtandaoni tunakuletea mchezo wa namba wenye bonasi kubwa na rahisi kucheza, mchezo wa keno ni moja ya michezo pendwa inayopatikana Meridianbet.   Extra Bingo ni mchezo wa kasino ya mtandaoni uliotengenezwa na gwiji wa michezo ya...
Share:

SERIKALI YAKERWA UTOROSHAJI WA MIFUGO NCHINI KENYA

Naibu Katibu Mkuu wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo),Dkt Daniel Mushi akiongea na uongozi na wafanyakazi wa kiwanda kikubwa cha kuchakata nyama cha Eliya Food Overseas Ltd kilichopo wilayani Longido mkoani mkoani Arusha alivyofanya ziara ya kikazi jana akiwa ameambatana na kamati ya ulinzi na usalama...
Share:

MBUNGE MTATURU AFANYA YAKE SEKTA YA ELIMU

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu, ameshiriki mahafali ya darasa la saba ya Shule ya Msingi Mahambe na kukabidhi madawati 44 yenye thamani ya Shilingi Milioni 2.8 ili kuondoa changamoto ya ukosefu wa samani shuleni hapo. Mbali na madawati hayo pia amechangia Shilingi 500,000 ya kununua...
Share:

Thursday, 31 August 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA SEPTEMBA 1, 2023

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger