Wednesday, 5 April 2023

FAMILIA YA GULAM HAFEEZ MUKADAM YATOA SADAKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI KWA WATOTO BUHANGIJA

Familia ya Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam (kulia) ikikabidhi sadaka ya vyakula katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga.

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Katika Muendelezo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani Familia ya Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam imetoa sadaka ya vyakula katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum (Wasioona, Viziwi na wenye ulemavu wa ngozi) cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga.


Akizungumza wakati wa kukabidhi vyakula hivyo, leo Jumatano Aprili 5,2023, Diwani wa kata ya Mjini Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam amesema familia yake imefika katika kituo hicho cha Buhangija kwa ajili ya kupeleka sadaka kwa watoto hao wenye mahitaji maalum.


“Tupo kwenye mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, tumekuja hapa kwa niaba ya wafadhili wetu waliopo Marekani kwa ajili ya kuleta chakula kwa watoto hawa”,ameeleza Mukadam.


Amevitaja vyakula hivyo kuwa ni Mchele kilo 50, unga wa sembe kilo 30, sukari kilo 25, unga wa ngano kilo 25,mafuta ya kupikia lita 10,maharage kilo 25, chumvi pakti 1, sabuni ya unga kilo 25, sabuni za vipande boksi 1,nyama kilo 10,viazi kilo 10, tambi boksi moja vyote vikiwa na thamani ya shilingi 700,000/=.

“Tunawashukuru wadau walioungana na familia yetu kutupatia msaada kwa ajili ya watoto hawa ambao nimekuwa mdau wa muda mrefu nikiwa miongoni mwa waanzilishi wa kituo hiki. Wito wangu ni kwa wadau mbalimbali tuwe mfano wa kuwambuka watoto hawa kwani ni watoto wote sote”,amesema Mukadam.

Gulam pia ametoa wito kwa Taasisi mbalimbali na jamii kwa ujumla kujenga utamaduni wa kuwasaidia mara kwa mara watoto hao ambao kwa sehemu kubwa wanatoka katika familia duni na wengine ni yatima hasa ikizingatiwa kuwa mahitaji yao ya kila siku ni makubwa.

Kwa upande wake, Mke wa Mhe. Gulam Hafeez Mukadam Bi. Mehrunnissa Allimia Chilwan maarufu Anti Meru amewataja wafadhili waliofanikisha kupatikana kwa vyakula kwa ajili ya watoto wenye mahitaji maalum Buhangija kuwa ni ndugu Nisha Kumar, Sumairah Toor,Zehra Toor, Anjum Toor, Nabeel Siddiqui na Farjana Chilwan.


Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Buhangija Jumuishi, Bi. Rose Daudi amewashukuru wadau hao kwa kusaidia watoto hao huku akimpongeza na kumshukuru Mhe. Gulam Hafeez Mukadam kwa kuendelea kuwa karibu na kituo cha Buhangija na kufanikisha kupatikana kwa mahitaji mbalimbali katika kituo hicho ambacho sasa kina jumla ya watoto 201 wenye ulemavu wa ngozi, viziwi na wasiosikia.


Nao watoto hao wameishukuru familia ya Mzee Gulam Hafeez Mukadam kwa kuwapatia msaada huo na kuomba wadau wengine kuendelea kufika katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum.


Katika hatua nyingine Diwani huyo wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam amekabidhi msaada wa mifuko mitatu ya saruji kwa Mjasiriamali Alafat Ntemanya mkazi wa Mtaa wa Viwandani Mjini Shinyanga kwa ajili ya kuboresha kibanda cha kuoneshea michezo kinachojulikana kwa jina la Home and Away Sports Arena kilichopo Nguzo Nane Mjini Shinyanga.
Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam akizungumza katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum (Wasioona, Viziwi na wenye ulemavu wa ngozi) cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam akizungumza katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum (Wasioona, Viziwi na wenye ulemavu wa ngozi) cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga.
Mke wa Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam Bi. Mehrunnissa Allimia Chilwan maarufu Anti Meru akizungumza katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga.
Mke wa Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam Bi. Mehrunnissa Allimia Chilwan maarufu Anti Meru akizungumza katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga.
Mke wa Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam Bi. Mehrunnissa Allimia Chilwan maarufu Anti Meru akizungumza katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga.
Familia ya Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam Bi. Mehrunnissa Allimia Chilwan maarufu Anti Meru na wageni mbalimbali wakiwa katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga.
Vyakula mbalimbali vilivyotolewa na familia ya Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam kwa ajili ya watoto wanaolelewa kwenye kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga.
Familia ya Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam Bi. Mehrunnissa Allimia Chilwan maarufu Anti Meru na wageni mbalimbali wakiwa katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga.
Familia ya Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam (kulia) ikikabidhi sadaka ya vyakula katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga.
Familia ya Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam (kulia) ikikabidhi sadaka ya vyakula katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga.
Familia ya Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam (kulia) ikikabidhi sadaka ya vyakula katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga.
Familia ya Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam (kulia) ikikabidhi sadaka ya vyakula katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga.
Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Buhangija Jumuishi, Bi. Rose Daudi akitoa neno la shukrani
Mwanafunzi akitoa neno la shukrani
Familia ya Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam wakipiga picha ya pamoja na sehemu ya watoto katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga.
Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam akizungumza na watoto wenye mahitaji maalum cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga.
Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam akizungumza na watoto wenye mahitaji maalum cha Buhangija Manispaa ya Shinyanga.
Diwani huyo wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam akizungumzma wakati akikabidhi msaada wa mifuko mitatu ya saruji kwa Mjasiriamali Alafat Ntemanya mkazi wa Mtaa wa Viwandani Mjini Shinyanga kwa ajili ya kuboresha kibanda cha kuoneshea michezo kinachojulikana kwa jina la Home and Away Sports Arena kilichopo Nguzo Nane Mjini Shinyanga.
Mjasiriamali Alafat Ntemanya mkazi wa Mtaa wa Viwandani Mjini Shinyanga akizungumza wakati akipokea mifuko ya saruji kutoka kwa Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam kwa ajili ya kuboresha kibanda cha kuoneshea michezo kinachojulikana kwa jina la Home and Away Sports Arena kilichopo Nguzo Nane Mjini Shinyanga.
Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam  (wa pili kulia) akikabidhi msaada wa mifuko mitatu ya saruji kwa Mjasiriamali Alafat Ntemanya  (wa pili kushoto) mkazi wa Mtaa wa Viwandani Mjini Shinyanga kwa ajili ya kuboresha kibanda cha kuoneshea michezo kinachojulikana kwa jina la Home and Away Sports Arena kilichopo Nguzo Nane Mjini Shinyanga.
Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam  (wa pili kulia) akikabidhi msaada wa mifuko mitatu ya saruji kwa Mjasiriamali Alafat Ntemanya  (wa pili kushoto) mkazi wa Mtaa wa Viwandani Mjini Shinyanga kwa ajili ya kuboresha kibanda cha kuoneshea michezo kinachojulikana kwa jina la Home and Away Sports Arena kilichopo Nguzo Nane Mjini Shinyanga.
Mifuko mitatu ya saruji iliyotolewa na Diwani wa kata ya Mjini Manispaa ya Shinyanga Mhe. Gulam Hafeez Mukadam kwa Mjasiriamali Alafat Ntemanya  mkazi wa Mtaa wa Viwandani Mjini Shinyanga kwa ajili ya kuboresha kibanda cha kuoneshea michezo kinachojulikana kwa jina la Home and Away Sports Arena kilichopo Nguzo Nane Mjini Shinyanga.
Muonekano wa sehemu ya kibanda cha kuoneshea michezo kinachojulikana kwa jina la Home and Away Sports Arena kilichopo Nguzo Nane Mjini Shinyanga.

Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog


Share:

LEAT WAENDELEA KUTOA MAFUNZO YA MFUMO WA UFUATILIAJI WA UWAJIBIKAJI KWA JAMII NA UTAWALA BORA KWA WATENDAJI WA KATA NA MABARAZA YA KATA GEITA

 

Mafunzo ya Mfumo wa Ufuatiliaji wa uwajibikaji kwa jamii na utawala bora kwa watendaji wa Kata na Mabaraza ya Kata Geita.

Na Marco Maduhu, GEITA

TIMU ya Wanasheria watetezi wa Mazingira kwa vitendo    Lawyers Environment Action Team (LEAT), wameendelea na utoaji wa mafunzo ya mfumo wa ufuatiliaji wa uwajibikaji kwa jamii na utawala bora, kwa Watendaji wa Kata na Mabaraza ya Kata Geita, ili kuwakumbusha katika utekelezaji wa majukumu yao pamoja na kufanya kazi kwa uadilifu katika kusimamia Rasilimali za nchi na utunzaji wa Mazingira.

Mafunzo hayo yameanza kutolewa kuanzia Aprili 3 ambayo yatakwenda hadi Aprili 7 mwaka huu ambayo yanafanyika mjini Geita.

Akizungumza wakati wa mafunzo hayo Mkufunzi Hana Lupembe kutoka (LEAT)amewataka viongozi hao kila mmoja anapaswa kutekeleza majukumu yake ipasavyo katika kuwahudumia wananchi kwa kuzingatia misingi ya haki za binadamu.

“Mfumo wa ufuatiliaji wa uwajibikaji jamii ni dhana Shirikishi inayohusisha watoa huduma na wapokea huduma kwa kuzingatia misingi ya haki za binadamu, na mfumo huu ukifuatwa vizuri kutakuwa na uwajibikaji kwa viongozi, kutoa huduma bora, kuwa waadilifu na wawazi,”amesema Lupembe.

Kwa upande wake Mkufunzi Valeria Macha kutoka (LEAT) akizungumza wakati akitoa mafunzo hayo, amewataka viongozi hao wawe waadilifu katika utekelezaji wa majukumu yao, pamoja na kuzifuata sheria za uadilifu kwa umma katika kuwahudumia wananchi na kusimamia Rasilimali za nchi na utunzaji wa Mazingira.
Hana Lupembe kutoka Timu ya Wanasheria watetezi wa Mazingira kwa vitendo (LEAT)akitoa mafunzo kwa watendaji wa Kata na Mabaraza ya Kata Geita.
Hana Lupembe kutoka Timu ya Wanasheria watetezi wa Mazingira kwa vitendo (LEAT)akitoa mafunzo kwa watendaji wa Kata na Mabaraza ya Kata Geita.
Valeria Macha kutoka Timu ya Wanasheria watetezi wa Mazingira kwa vitendo (LEAT)akitoa mafunzo kwa watendaji wa Kata na Mabaraza ya Kata Geita.
Valeria Macha kutoka Timu ya Wanasheria watetezi wa Mazingira kwa vitendo (LEAT)akitoa mafunzo kwa watendaji wa Kata na Mabaraza ya Kata Geita.
Valeria Macha kutoka Timu ya Wanasheria watetezi wa Mazingira kwa vitendo (LEAT)akitoa mafunzo kwa watendaji wa Kata na Mabaraza ya Kata Geita.
Watendaji wa Kata na Mabaraza ya Kata Geita wakiwa katika mafunzo ya mfumo wa ufuatiliaji wa uwajibikaji kwa jamii na utawala bora kutoka Timu ya Wanasheria watetezi wa Mazingira kwa vitendo LEAT.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea.
Mafunzo yakiendelea ya Mfumo wa ufuatiliaji wa uwajibikaji kwa jamii na utawala bora kwa watendaji wa Kata na Mabaraza ya kata Geita.

Washiriki wakiwasilisha kazi za vikundi.
Uwasilishaji kazi za vikundi ukiendelea.
Uwasilishaji kazi za vikundi ukiendelea.
Uwasilishaji kazi za vikundi ukiendelea.
Uwasilishaji kazi za vikundi ukiendelea.
Uwasilishaji kazi za vikundi ukiendelea.
Share:

KAMPUNI ZA UCHIMBAJI MADINI ZATAKIWA KUJENGA MAHUSIANO MAZURI NA JAMII



Na Mwandishi wetu,TABORA.

SERIKALI imezielekeza kampuni za uchimbaji madini kuhakikisha wanaendelea kushiriki  katika shughuli za kijamii ili kujenga mahusiano mazuri na wananchi wanaozunguka maeneo ya migodi.

Hayo yamebainishwa na Kaimu Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Tabora Mhandisi, Abel Madaha  wakati akizungumza na Waandishi wa habari kuhusu fursa mbalimbali zitokanazo na sekta ya madini katika Mkoa huo.

Amesema Tume ya Madini imepewa jukumu la kusimamia  sheria ya madini katika kifungu cha 22 na kuhakikisha sekta hiyo inatoa mchango wake katika pato la Taifa.

“Tunatoa wito kwa kampuni zote za  uchimbaji kuhakikisha  zinashiriki katika shughuli za kijamii kwa kurudisha faida ya mapato wanayopata ili kujenga mahusiano mazuri na Wananchi  wanaozunguka migodi,” amesema Madaha

Mhandisi Madaha pia amesisitiza kampuni za uchimbaji wa madini kuhakikisha zinatoa kipaumbele cha ajira kwa Watanzania wazawa ili kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.

“Nichukue fursa hii kumpongeza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuweka miundombinu wezeshi katika sekta ya madini hivyo kuchochea ukuaji wa uchumi utokanao na sekta hiyo na kuongeza mchango wa sekta hiyo katika pato la taifa hadi kufikia asilimia 9,"anasema.

Kwa upande wake Mratibu wa Miradi wa Kampuni ya Uchimbaji Madini ya TAUR Tanzania Limited, Edith Moses amesema katika kuhakikisha wanatekeleza sheria ya madini tayari wamejenga madarasa mawili na vyoo katika shule ya Msingi na Sekondari Nanga iliyopo Wilaya ya Igunga.

Naye Mwendesha mitambo wa Kampuni ya TAUR Tanzania amesema uwepo wa machimbo umesaidia kutoa ajira kwa vijana wengi ambapo sasa wanapata fedha ambazo zinawasaidia kuhudumia familia zao.

“Tunaishukuru Tume ya Madini kwa kusimamia sheria mbalimbali zilizowekwa katika maeneo ya machimbo ambapo sasa usalama unazingatiwa na vijana wengi wazawa wameajiriwa.
Share:

Tuesday, 4 April 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO APRILI 5,2023















Share:

TSH MILIONI 5 ZA MERIDIANBET KASINO YA MTADAONI KUTOKA WIKI HII

 

Aprili ya Kishua unaambiwaje jisajili Meridianbet upate mizunguko 50 ya bure kucheza sloti ya kasino ya mtandaoni. Kujisajili bonyeza hapa: https://a.meridianbet.co.tz/c/0aIpIo

 

 

Promosheni Kabambe ya Endorphina

 

Ni kosa kubwa sana kwa kijana na mtu yeyote kukata tamaa katika Maisha haswa kwenye harakati za utafutaji wa riziki. Meridianbet Kasino ya mtandaoni inakupa nafasi nyingine ya kuusaka utajiri ni kupitia promosheni mpya ya Endorphina, ubashiri wa soka, bonasi kibao na michezo ya sloti kama Aviator, Poker na Roulette.

 

Kutoka Kasino ya Mtandaoni pekee ya Meridianbet kuanzia April 3 mpaka April 10 mwaka huu, kuna promosheni mpya na maalum kwako joka la kucheza sloti za michezo ya kasino ya mtandaoni. Cheza mchezo wowote uliochaguliwa wa Endorphina na ufurahie hali ya kusisimua itakayokupa mkwanja mrefu.

 

Sloti za Endorphina zilizopo ni kama Football 2022 yaani unacheza soka kama upo uwanjani vile au kwenye PS4, Chance machine 20, Book of Santa, Book stoker, Story of Xmass, 100 Zombies, The Vampires II, Book of Vlad, The Emirates II, Fisher King, Solar Eclipse ama kupatwa kwa jua na mingine mingi.

 

April ya kishua unaweza kuwa mshua kwa sababu, una nafasi ya kujishindia mgao wako wa zawadi kabambe ya TSH Milioni 5,000,000 kutoka kwenye droo ya zawadi yenye sloti rahisi kushinda.

 

Washindi wanapatikanaje?

 

Mwisho wa shindano, wachezaji wataorodheshwa kulingana na idadi ya mizunguko waliyocheza, na wachezaji 15 wa kwanza watajishindia zawadi kama ifuatavyo:

 

Nafasi ya 1: TSH 1,200,000

Nafasi ya 2: TSH 880,000

Nafasi ya 3: TSH 630,000

Nafasi ya 4: na 5: TSH 380,000 kila mmoja

Nafasi ya 6: mpaka 10: TSH 200,000 kila mmoja

Nafasi ya 11: mpaka 15: TSH 100,000 kila mmoja

 

Si utani, mawindo yameanza! Saka utajiri na Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet.

 


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger