Saturday, 4 March 2023

WASABATO SHINYANGA WAENDESHA CHANGIZO UNUNUZI BASI LA SHULE, WAUNGA MKONO JUHUDI ZA RAIS SAMIA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU

Wasabato wakiwa katika Changizo la ununuzi wa Basi la Shule ya Awali na Msingi SAPPS. Na Marco Maduhu, SHINYANGA KANISA la Waadventista Wasabato Shinyanga, wameendesha zoezi la changizo kwa ajili ya kununua Basi la Shule katika Shule ya Awali na Msingi ya Kanisa hilo iliyopo Ndala Manispaa ya Shinyanga  (SAPPS)...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI MACHI 4, 2023

...
Share:

Friday, 3 March 2023

SHINDANISHENI TAFITI ZENU ILI ZIWEZE KUPATA SOKO EAC-PROF.MSHANDETE

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Elimu, Utafiti na Ubunifu kutoka Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Profesa Anthony Mshandete akisisitiza jambo wakati wa ufunguzi wa Shindano la Wazo la Kibiashara lililoandaliwa na Ndaki ya Biashara na Sayansi ya Jamii (BuSH) kwa udhamini wa Taasisi...
Share:

WEADO WAENDESHA KAMPENI YA CHANJO YA UVIKO-19, KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA KIJIJI CHA ILOBASHI WILAYANI SHNYANGA

Wananchi wa kijiji cha Ilobashi Kata ya Masengwa wilayani Shinyanga wakiwa kwenye Kampeni ya uhamasa ya Chanjo ya UVIKO-19, pamoja na kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia zikiwamo mimba na ndoa za utotoni kutoka Shirika la WEADO. Na Marco Maduhu, SHINYANGA SHIRIKA la Women Elderly Advocacy And...
Share:

NEMC KUHAMASISHA UTUNZAJI WA MAZINGIRA KUPITIA SHULE ZA MSINGI, SEKONDARI

Mkurugenzi Mkuu NEMC Dk. Samwel Gwamaka akizungumza na Waandishi wa habari Jijini Dodoma Katika ukumbi wa habari Maelezo. Mkurugenzi Mkuu NEMC Dk. Samwel Gwamaka akizungumza na Waandishi wa habari Jijini Dodoma Katika ukumbi wa habari Maelezo. Na Dotto Kwilasa, Malunde1 Blog-DODOMA. Baraza...
Share:

TEA KWA KUSHIRIKIANA NA TAHA YAFIKISHA KILIMO CHA BUSTANI KWA VIJANA 400

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Elimu Tanzania Bi. Bahati Geuzye (Kulia) akisisitiza jambo alipokutana na Afisa Mtendaji Mkuu wa TAHA Bi. Jacqueline Mkindi (wa pili kushoto) ofisini kwake Jijini Arusha. Kulia kwake ni Mratibu wa Mafunzo wa TAHA Bi. Loveness Adolf na kushoto ni Meneja miradi kutoka TEA Bw....
Share:

MWAKILISHI WA JIMBO LA MTAMBWE HABIB ALI MOHAMED AFARIKI DUNIA

Habib Ali Mohamed. MWAKILISHI wa Jimbo la Mtambwe, visiwani Zanzibar, kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Habib Ali Mohamed, amefariki dunia, wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Saiffe, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Habari, Uenezi, Mawasiliano na Umma...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger