Monday, 7 February 2022

MADARASA YAGEUZWA KITUO CHA KUVUTIA BANGI

​​​​​​​WANAFUNZI wanaosoma katika shule mbili za msingi za Kijichi wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam, wako hatarini kuathirika kiafya na kimaadili kutokana na madarasa yao kutumika kama sehemu ya kuvuta bangi. Vitendo hivyo vimefichuliwa juzi na viongozi wa Jumuiya ya Wazazi Kata ya Kijichi...
Share:

BIASHARA YANGU ZILIZOKUWA ZINANISUMBUA SASA ZIMENOGA SANA

Biashara iliyokuwa ikinisumbua kila mwaka sasa hivi imenoga kunoga. Kila jirani yangu ananimezea mate. Mimi Naitwa Frank mzaliwa wa Ilala Tanzania ambako pia nimesomea. Nilitoka kidogo kwenda jijini Dar es salaam baada ya kidato cha nne kisha nikarudi nyumbani manake sikuwa na bahati ya kupata...
Share:

ASKARI WANAOCHAFUA JESHI LA POLISI NCHINI KUCHUKULIWA HATUA

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini,akizungumza na mamia ya wananchi wa Mara, baada ya kupewa nafasi ya kuongea na Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa Hadhara uliofanyika Hospitali ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Kata ya Kwangwa,...
Share:

BUNDI ATUA KANISANI..AIMBA KWAYA KWA MARINGO KAMA BINADAMU, TAZAMA HAPA

Video maridadi inayomuonyesha Ndege aina ya bundi,akiwatumbuiza waumini kanisani katika taifa la Jamhuri ya Dominika imewachangamsha wengi. Bundi huyo  aliwaacha waumini vinywa wazi pamoja na wanamtandao baada ya kuonekana kanisani wakati wa ibada. Huku wanakwaya hao wakiwatumbuiza waumini...
Share:

PASTA ALA SUPU NA KUWAPA WAUMINI KIDOLE CHAKE WAKILAMBE KAMA KOMUNYO

Video ya pasta mmoja akiwapa kondoo wake kidole chake walambe kama komunyo imezua ghadhabu kwenye mitandao ya kijamii. Pasta huyo alikuwa akiwalambisha waumini kidole chake baada ya kula chakula aina ya eba na supu kwenye madhabahu.  Eba ni chakula kikuu kinacholiwa sana katika ukanda wa Afrika...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU FEBRUARI 7,2022

Rais Samia aagiza mikataba kufutwa kwa wakandarasi walioshindwa kukamilisha ujenzi wa barabara ...
Share:

RC HAPI CHUPUCHUPU KUFYATULIWA...RAIS SAMIA AGEUKA MBOGO VIONGOZI WOTE WA MARA MTEGONI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo kutoka kwa Daktari wa Kitengo cha Magonjwa ya Figo katika Hospitali ya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Mkoani Mara Dkt. Ridhiwani Said kuhusu maendeleo ya utoaji wa huduma, wakati alipotembelea kukagua maendeleo ya Ujenzi...
Share:

Sunday, 6 February 2022

KAMPUNI YA BETWAY YAZINDUA PROGRAMU YA MABORESHO YA VIWANJA VYA MICHEZO TANZANIA

Kampuni ya michezo ya kubashiri ya kimataifa, Betway Tanzania imezindua rasmi programu yake ya maboresho ya viwanja vya michezo. Programu hiyo ambayo ni sehemu ya kampuni hiyo kurudisha kwa jamii inalenga kuchangia katika juhudi za maendeleo ya sekta ya michezo nchini. Katika kutekeleza azma yake...
Share:

STANSLAUS NYONGO AJITOSA KUWANIA KITI CHA NAIBU SPIKA

Mbunge wa Maswa Mashariki Stanslaus Nyongo akionesha kwa Waandishi wa habari (hawapo pichani) fomu ya kuomba ridhaa kuwania kiti cha Naibu Spika ambapo ameahidi kuwa iwapo atachaguliwa atakuwa kiongozi mwema.  Na Dotto Kwilasa Malunde 1 blog - DODOMA. Mbunge wa Maswa Mashariki, Stanslaus...
Share:

BENKI YA EXIM, MASTERCARD ZAINGIA MAKUBALIANO KUBORESHA MALIPO YA KIDIJITALI

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Exim, Bw Jaffari Matundu (Kulia walioketi) na Rais wa Mastercard Kanda ya Africa, Kusini mwa Jangwa la Sahara Bw. Mark Elliot (Kushoto walioketi) wakitia saini makubaliano ya ushirikiano wa miaka 5 ili kuendeleza ubunifu kupitia njia ya malipo ya kidijitali nchini...
Share:

TMA YATOA ANGALIZO LA MVUA KUBWA NA UPEPO MKALI

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo kwa wananchi juu ya hali ya hewa katika siku kadhaa zijazo. ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Morogoro, Iringa, Njombe, Songwe, Mbeya, Ruvuma Lindi na Mtwara. UWEZEKANO WA KUTOKEA: WASTANI. KIWANGO CHA ATHARI...
Share:

MHE. RAIS SAMIA ATEMBELEA HOSPITALI YA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE MKOANI MARA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitembelea Hospitali ya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Mkoani Mara kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Hospitali hiyo iliopo katika Kijiji cha Kwangwa Halmashauri ya Manispa ya Musoma Mjini leo tarehe 06 Februari, 2022, Mhe. Rais Samia yupo...
Share:

MCHENGERWA-WIZARA IMETEKELEZA AGIZO LA WAZIRI MKUU LA KUTENGA SHULE 56 ZA MICHEZO.

****************************** Na. John Mapepele Serikali tayari imetenga shule 56 za michezo nchi nzima ili kuibua na kukuza vipaji vya michezo kwa watoto nchi nzima. Kauli hii imetolewa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe, Mohamed Mchengerwa Februari 4, 2022 katika ubalozi wa China...
Share:

Saturday, 5 February 2022

MAKAMU WA RAIS KUZINDUA SERA YA TAIFA YA MAZINGIRA JIJINI DODOMA

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Mary Maganga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Februari 5,2022 kuhusu Uzinduzi wa Sera ya Taifa ya Mazingira ya Mwaka 2021 unaotarajiwa kufanyika Februari 12, 2022 Jijini Dodoma. Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Mary Maganga...
Share:

MV KAZI YAENDELEEA KUFANYA KAZI BAADA YA KUPATA HITILAFU

Wananchi wakishuka kutoka katika kivuko cha MV Kazi ambacho kilileta hitilafu hivi karibuni. Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Lazaro Kilahala (katikati) akimsikiliza Mhandisi wa Tehama Magogoni feli Jijini Dar es Salaam Bw.Omary Mayila mara baada ya kutembelea na kuangalia maendeleo...
Share:

MGANGA WA JADI AKAMATWA TUHUMA ZA KUUA WATEJA WAKE WAWILI WALIOKUWA WANASAKA UTAJIRI

WATU wawili, Suzana Mtitu (38) na Kassim Kitamkanga (35) wakazi Makambako Mkoani Njombe wamekutwa wamefariki katika msitu wa Tanwat uliopo Njombe huku uchunguzi ukibainisha kuwa wameuawa na mganga wa Jadi baada ya watu hao waliokuwa wateja wake kubaini kwamba dawa za kuwa matajiri walizopewa hazijafanya...
Share:

MKE WANGU ALINITALIKI KWA KUWA NILIKUWA NA UUME MDOGO

  Ni makadirio ya kila mtu anayeingia katika uhusiano wa kimapenzi kupitia ndoa kuwa mwenzake watakaye ishi naye maishani mwao yote ataweza kumweka sawa na nyakati zao maisha yao yaweze kujawa na furaha yakuwa bibi na bwana.  Kwangu miye haya yote yamesalia kuwa ndoto kwani ni siku chache...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger