Saturday, 6 November 2021
HESLB YAFUNGUA DIRISHA LA RUFAA KWA SIKU TANO KUANZIA NOVEMBA 6, 2021
TUME YATAKIWA KUTENGENEZA MFUMO WA MAWASILIANO
KIJANA HOHEHAHE APATA KAZI YA HELA NYINGI MNO
Mohamed ni mzaliwa wa Nyali na ambaye hakufika hata kidato cha pili. Wazazi wake walishindwa kumlipia karo ya shule sababu mwanzo babake alianza kuugua ugonjwa wa Kisukari hivyo kazi yake ikaisha.
Familia yao ina watoto saba ambapo mama mzazi alikuwa na umri mkubwa na pia hakuwa na kazi. Maisha ya Mohamed kwa kweli yakabadilika na kumbidi aanze kutoka nje kutafuta kipato ili kukimu mahitaji ya familia yao.
Ikawa sasa yeye ndiye kila kitu yaani tegemeo. Alienedelea kupitia shida baada ya nyingine hadi kila mtu kijiji akajuwa kuwa yeye ndiye baba wa familia sasa. Ikumbukwe kuwa Moha – vile alivyokuwa akiitwa - alikuwa kijana mdogo mwenye umri wa miaka 24 pekee na kuanza kuchukua majukumu ya mtu mzima lilikuwa jambo ngumu kwake lakini hakuwa na namna nyingine.
Ya Mungu ni mengi na sasa tunapoongea hivi maisha yake yalibadilika pale alipokutana na rafiki yake waliyekuwa naye shule ya upili ambaye alimchukua na kumpelea kwa Daktari flani wa kienyeji ambaye alimfamnyia Money Spells ili kufungua njia zake za kikazi na maisha.
Amini usiamini baada ya siku tatu tuu Mohamed alifanikiwa kupata kazi kule Dar es Salaam ambako sasa yeye anafanya kazi huku akisoma ili kujiongezea masomo. Juzi mamaye alisikika akisema kuwa kijana wake analipwa kima cha shilingi elfu themanini pesa za Kenya yote kwa sababu ya dawa za daktari Kiwanga.
Kiwanga wamesaidai watu wengi mno duniani kupokea baraka na nyota zao za maisha. Wengi wamepata kazi na kuongezwa vyeo kupitia Spells zao. Pia kama una matatizo na ndoa, au kesi kortini, wizi na kadhalika tafadhali pigia Daktari Kiwanga ili upate kusaidiwa haraka iwezekanavyo.
Wengi ambao walikataliwa na wapenzi wamepata usaidizi wa Dakatari Kiwanga na sasa ndoa zao zimetulia. Ninatoa wito kwa wenye shida za magonjwa, mapenzi, ndoa, biashara, kikazi na afya kuharakisha kuwatembelea madaktari was Kiwanga. Tuvuti au Website yao ni: www.kiwangadoctors.com; Simu: +254 769404965 au wasiliana kwa barua pepe yaani Email kiwangadoctors@gmail.com.
Sio lazima usafiri hadi ofisi zao. Ongea nao kwa njia ya simu na utasaidika kwa haraka kama vile watu wengine wanavyopata usaidizi.
MWANA MUZIKI MAARUFU MARILIA MENDONCA AFARIKI KWENYE AJALI YA NDEGE


HAWA NDIYO MABABU WA MOJA KWA MOJA WA BINADAMU

BABU ATUPWA JELA MAISHA KWA KUMBAKA MTOTO WA MIAKA MIWILI KAHAMA
POLISI SHINYANGA WACHUNGUZA TUKIO LA KIJANA KUUAWA, KUTOBOLEWA MACHO NA KUTUPWA NGOKOLO MITUMBANI
****
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limesema linafanya uchunguzi kuhusu tukio la mauaji ya kijana ambaye hajafahamika jina wala makazi yake (25-30) ambaye amekutwa ameuawa na kutobolewa macho usiku wa kuamkia leo Jumamosi Novemba 6,2021 katika ghuba la kuhifadhia uchafu la Ngokolo Mitumbani Mjini Shinyanga.
Akizungumza na Malunde 1 blog, Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga ACP George Kyando amesema bado wanafanya upelelezi ili kuwabaini chanzo cha mauaji na wahusika wa mauaji hayo
"Jeshi la Polisi tumefika eneo la tukio, tumekuta pembeni ya mwili wa marehemu kuna vyuma ambavyo huenda ndivyo vimetumika kufanyia mauaji. Tunaendelea kufanya upelelezi ili kujua chanzo cha tukio lakini pia kuwabaini wahusika wa mauaji haya",amesema.
"Tumechukua mwili wa marehemu na tuumepeleka hospitali kwa ajili ya uchunguzi, bahati mbaya huyu mtu hajulikani jina wala makazi yake, hatujajua kama aliuawa pale, au aliuawa mahali pengine akaja kutupwa pale, tunaendelea kufanya uchunguzi ili kubaini nini hasa hasa kilitokea",ameongeza Kamanda Kyando.
Baadhi ya mashuhuda waliofika eneo la tukio wamesema wameukuta mwili wa kijana huyo akiwa ameuawa kinyama na kutobolewa macho na watu wasiojulikana majira ya saa moja asubuhi kisha Jeshi la polisi lilifika na kuuchukua mwili huo na kuupeleka katika chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Head of Marketing at School of St Jude
Head of Marketing Want to work for one of the largest charities of its kind in Africa? Do you love creating engaging and successful content for a good cause? Are you passionate about fundraising? Do you have experience leading a team? Does it sound like we’re talking about you… Keep reading! The School of St […]
This post Head of Marketing at School of St Jude has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Sales Agents at Biss Company
Sales Agents COMPANY: BISS COMPANY We are a B2B and B2C e-commerce platform that that deals with selling clothes & accessories. We provide hassle free shopping experience to both consumers and businesses by providing a seamless integration of service. Location: Dar es Salaam Job Title: Sales Agents (Wakala Wa Mauzo) Job requirements: Must have a […]
This post Sales Agents at Biss Company has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Friday, 5 November 2021
MVUA YAUA MTU MMOJA SONGWE, YAJERUHI NA KUHARIBU MALI





WAZIRI MKUU MGENI RASMI MAADHIMISHO MIAKA 10 YA LSF
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika madhimisho ya miaka 10 ya Shirika la Legal Services Facility (LSF) yanayotarajiwa kufanyika tarehe 11 Novemba mwaka huu jijini Dar es Salaam.
LSF ni shirika lisilo la kiserikali linalofanya kazi ya kukuza upatikanaji wa haki nchini Tanzania kupitia utekelezaji wa program ya upatikanaji wa haki.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana tarehe 4 Novemba, 2021, Afisa Mtendaji Mkuu wa LSF, Lulu Ng’wanakilala amesema tukio hilo linalenga kusherehekea matokeo na mafanikio makubwa yaliyopatikana kupitia utekelezaji wa program mbalimbali.
Ametaja progamu hizo kuwa ni upatikanaji wa haki nchini Tanzania (Access to Justice Program), Mradi wa Uwezeshaji wa Kisheria Maeneo ya Mijini (Urban Legal Empowement Project) pamoja na miradi mingine ya kimkakati.
“LSF imejikita katika maeneo makuu manne ikiwemo; upatikanaji wa huduma za msaada wa kisheria kupitia kwa watoa huduma za msaada wa kisheria takriban 4,000; kuwa na jamii iliyowezeshwa kisheria; kuboresha mazingira Rafiki ya upatikanaji wa huduma bora za msaada wa kisheria; pamoja na kujenga mazingira ya utoaji wa huduma za msaada wa kisheria endelevu katika ngazi ya kitaasisi,” amesema.
Aidha, amesema tukio hilo linakwenda sawia na maadhimisho ya Wiki ya Msaada wa Kisheria, ambapo wadau nchi nzima hususani wasaidizi wa kisheria wanaendelea kutoa bure katika kila wilaya nchi nzima.
Amesema katika kipindi cha miaka 10, LSF imetoa ruzuku kwa mashirika yanayotoa huduma za msaada wa kisheria na wasaidizi wa kisheria zaidi ya 200 Tanzania bara na Visiwani Zanzibar.
Amesema LSF imekuwa ikishirikiana na serikali katika ngazi ya chini mpaka juu serikalini kupitia Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI) na kufanikiwa kutoa elimu ya kisheria kwa wananchi milioni sita na kjutatua migogoro 90,000 kwa mwaka.
“Pia imekuwa ikifanya kazi na Wizara ya Mambo ya Ndani katika mradi wa haki jinai (Criminal Justice Project) ambao unatekelezwa na shirika mdau wetu wa kimkakati ENVIROCARE wakati kwa upande wa Jeshi la Polisi Tanzania, LSF inashirikiana nao kupitia makubaliano yaliyolenga kuwezesha zoezi la kupitia upya mwongozo wa jeshi hilo (General Police Orders – PGO,” amesema.
Amesema LSF imekuwa ikifanya kazi na Wizara ya Afya katika mpango wa kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na Watoto.
Vilevile LSF imekuwa ikifanya kazi na Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora, Visiwani Zanzibar katika kukuza upatikanaji wa haki visiwani humo pamoja na kuboresha sera ya wasaidizi wa kisheria Zanzibar.
Amesema katika kutambua tija iliyo nayo sekta ya kilimo nchini Tanzania, katika kipindi cha miaka 10, LSF imekuwa na makubaliano na Benki ya Taifa ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) kwa kusaidia kuvijengea uwezo wakulima, vyama vya msingi vya wakulima (AMCOS) na wajasiriamali wengine katika sekta ya kilimo.
“Kubwa zaidi katika kipindi hiki, LSF ni sehemu ya mafanikio ya upatikanaji wa Sheria ya Msaada wa Kisheria iliyopitishwa mwaka 2017 ili kuwatambua rasmi wasaidizi wa kisheria nchini.
“Hivyo, tukielekea kuadhimisha miaka 10 ya LSF, tunawashukuru wadau wetu muhimu wa maendeleo ikiwemo DANIDA, Umoja wa Ulaya, UKAID, DFiD, ambao tumekuwa nao katika hatua mbalimbali za safari hii katika kukuza upatikanaji kwa watu wote hususani wanawake na Watoto,” amesema Afisa Mtendaji huyo.
LSF NA MPANGO WA UWEZESHAJI WANAWAKE KUTAMBUA HAKI ZAO KIUCHUMI
Intern – Information Technology at Absa
Intern – Information Technology Bring your possibility to life! Define your career with us With over 100 years of rich history and strongly positioned as a local bank with regional and international expertise, a career with our family offers the opportunity to be part of this exciting growth journey, to reset our future and […]
This post Intern – Information Technology at Absa has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Government Banking at CRDB Bank
Relationship Manager; Government Banking Reporting line- Senior Manager; Local Government Job Summary To drive the Government business portfolio both in volume and value through building a positive relationship with the Government and its stakeholders within Zanzibar (Unguja and Pemba) by generating/identifying new business opportunities/avenues for the Bank. Key responsibilities: Grow unit’s profitability through […]
This post Government Banking at CRDB Bank has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
📲DOWNLOAD APP MPYA KABISA YA MALUNDE 1 BLOG.... UPATE HABARI NA MATUKIO YOTE HARAKA ZAIDI KWENYE SIMU YAKO
Pakua App mpya ya Malunde 1 blog imeboreshwa zaidi ili kukidhi mahitaji ya wasomaji wetu.
Design software application for WASH monitoring at SNV
Company Description SNV is a not-for-profit international development organization that applies practical know-how to make a lasting difference in the lives of people living in poverty. We use our extensive and long-term in-country presence to apply and adapt our top-notch expertise in agriculture, energy and WASH to local contexts. SNV has an annual turnover of […]
This post Design software application for WASH monitoring at SNV has been posted by Udahiliportaldaily
Get more post by visiting Udahiliportal.com
know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details










