Friday, 22 January 2021

Livelihood Enhancement Manager

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Livelihood Enhancement Manager     The United Republic of Tanzania President’s Office TANZANIA SOCIAL ACTION FUND Tanzania Social Action Fund (TASAF) is currently implementing Productive Social Safety Net Program which aims at protecting the vulnerable poor households from severest consequences of poverty by implementing interventions that will lead to increased household incomes and opportunities while increasing […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Head of Communication and Public Relations at Sawa Initiative

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Head of Communication and Public Relations   SAWA INITIATIVE ORGANIZATION announces volunteering opportunity in. Instructions:   The email subject must be the position you are applying for eg; “PROJECT COORDINATOR” These positions are for applicants with bachelor degree in related field. Masters degree will be an added advantage. We only accept CV and applications letters. […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Project Coordinator at Sawa Initiative

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Project Coordinator (Volunteering)   SAWA INITIATIVE ORGANIZATION announces volunteering opportunity in. Instructions:   The email subject must be the position you are applying for eg; “PROJECT COORDINATOR” These positions are for applicants with bachelor degree in related field. Masters degree will be an added advantage. We only accept CV and applications letters. CV should have maximum […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Project Head at Sawa Initiative

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Project Head (Volunteering)   SAWA INITIATIVE ORGANIZATION announces volunteering opportunity in. Women applicants will be priotized for this position. Instructions:   The email subject must be the position you are applying for eg; “PROJECT COORDINATOR” These positions are for applicants with bachelor degree in related field. Masters degree will be an added advantage. We only accept […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

34 Job Opportunities at Startimes

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

StarTimes Group was founded in 1988.  It is the most influential system integrator, technology provider, network operator, and content provider in China’s television broadcasting industry, and it is on its way to become a media group with global influence. With a global vision, StarTimes began to expand its business to Africa in 2002, and has […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Assistant Quality Assurance Officer at NHIF

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

POST: ASSISTANT QUALITY ASSURANCE OFFICER III – 1 POST POST CATEGORY(S) HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL EMPLOYER Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) APPLICATION TIMELINE: 2021-01-20 2021-02-03 DUTIES AND RESPONSIBILITIES   To conduct inspection and supportive supervisions of health facilities. To deal with verification and checking of prescriptions; To make researches or market surveys with a view […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Communication and Member’s Affairs Officer at LHRC

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Public Relations, Communication and Member’s Affairs Officer     The Legal and Human Rights Centre (LHRC) is a Tanzanian, non-governmental organization that is private, voluntary, non-partisan, and not-for-profit sharing organization. It is registered and incorporated under the Companies (Act), Cap. 212, R.E. 2002, as a company without shares limited by guarantee, it has been in operation […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Research Associate, E-Savings at Innovations for Poverty Action (IPA)

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

 Research Associate, E-Savings     Innovations for Poverty Action (IPA) seeks a Research Associate (RA) to support IPA-Tanzania, on the project “E-Savings.” This project will rigorously evaluate the role of intra-household bargaining on the take-up, usage, and effects of e-savings accounts offered to women in Tanzania. The RA will support completion of a baseline survey and […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Mechanical Engineer at Gas Entec Co Ltd

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Mechanical Engineer PROJECT TITLE: CONSTRUCTION OF 1200 PASSENGER FERRY SHIP DESIGNATION: MECHANICAL ENGINEER (1 POST) PLACE OF WORK: MWANZA DUTIES & RESPONSIBILITIES Read and interpret blueprints, technical drawings, schematics, or computer-generated reports. Research, design, evaluate, install, operate, or maintain mechanical products, equipment, systems or processes to meet requirements. Confer with engineers or other personnel to […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

UINGEREZA YAPIGA MARUFUKU ABIRIA KUTOKA TANZANIA, DRC


Serikali ya Uingereza imepiga marufuku abiria kutoka Tanzania na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kuzuia maambukizi ya aina mpya ya virusi vya corona.

"Ili kusaidia kuzuia kuenea kwa aina ya COVID-19 iliyogundulika Afrika Kusini, tunapiga marufuku abiria wote wanaoingia kutoka Tanzania na DRC kuanzia saa 10 alfajiri kesho (Ijumaa)," ameandika Bw Grant Shapps, waziri wa usafirishaji nchini Uingereza kupitia mtandao wake wa Twitter Alhamisi usiku.

"To help to stop the spread of the COVID-19 variant identified in South Africa, we are banning all arrivals from Tanzania and Democratic Republic of Congo from 4am tomorrow.— Rt Hon Grant Shapps MP (@grantshapps) January 21, 2021"

Zuio hilo linaanza kwa wasafiri wote waliotoka ama kupita nchini Tanzania na DRC ndani ya siku 10 zilizopita. Hata hivyo, raia wa Uingereza na Ireland na raia kutoka mataifa mengine ambao wenye vibali vya ukaazi wataruhusiwa kuingia ila watatakiwa kujitenga nyumbani pamoja na familia zao kwa siku 10 baada ya kuwasili.

Tanzana na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zimeongezwa kwenye orodha ya Uingereza ya nchi zilizopigiwa marufuku ya wasafiri wake kuingia nchini humo kama hatua yza kudhibiti maambukizo ya aina mpya ya virusi vya Corona vilivyogunduliwa nchini Afrika kusini.

Awali mwezi huu mataifa mengine 11 ya Afrika yalipigwa marufuku kama hiyo. Mataifa hayo ni; Namibia, Zimbabwe, Botswana, Eswatini, Zambia, Malawi, Lesotho, Msumbiji na Angola - visiwa vya Ushelisheli na Mauritius.

Uingereza ilipiga marufuku abiria kutoka Afrika Kusini Desemba 24.

Uingereza ni miongoni mwa mataifa ambayo yanakabiliana na janga la virusi vya corona kwa kiwango kikubwa na uchumi wake ukiwa umeyumba kutokana na wimbi la kwanza la virusi mambukizi ya corona.

CHANZO- BBC SWAHILI

Share:

HAYA NDIYO MATAIFA 10 BARANI AFRIKA YENYE PASIPOTI ZENYE UWEZO MKUBWA


Mwaka 2021 unapojiandaa kusafiri kwa kutumia pasi yako ya kusafiria ni vyema kujua ni wapi pasi ya nchi yako inaweza kukupeleka.

Jinsi pasi ya kusafiria ya taifa lako inavyoweza kukuingiza katika mataifa mengi bila kutumia visa ndivyo jinsi kibali hicho kilivyo na uwezo.

Kila miezi mitatu kulingana na mtandao wa BBC Pidgin, Shirika la Henley Passport Index linashirikiana na shirika la usafiri wa kimataifa IATA ili kuripoti kuhusu uwezo wa pasipoti ya kila taifa wakati wa usafiri bila kutumia visa.

Katika robo ya kwanza ya mwaka 2021 shirika hilo limetoa idadi ya mataifa 10 yalio na pasipoti zenye uwezo mkubwa barani Afrika.

Pasipoti zenye uwezo mkubwa barani Afrika
Katika orodha hiyo taifa la Sycheles ndilo lenye pasipoti yenye uwezo mkubwa barani Afrika ikiwa na uwezo wa kukuingiza katika mataifa 151 bila kutumia Visa.

Katika nafasi ya pili, ni nchi ya Mauritius ambayo kibali chake cha usafiri kinaweza kukusaidia kuingia katika mataifa 142 bila kutumia Visa.

Taifa la tatu ni lile la Afrika Kusini ambalo unapoitumia pasipoti yake inaweza kukupeleka katika mataifa 101 bila kutumia visa.

Nafasi ya nne katika orodha hiyo ni taifa la Botswana ambalo pasipoti yake inaweza kukuingiza mataifa 85 bila kutumia visa.

Mataifa mengine yenye pasipoti zinazokaribiana kwa uwezo ni pamoja na Namibia, Lesotho, Eswatini na Malawi.

Pasi ya taifa la Nigeria inaweza kukuingiza katika mataifa 46 bila kutumia visa duniani, huku ile ya Ghana ikiwa na uwezo wa kukupeleka katika mataifa 65 nayo ya Cameroon ikikusafirisha na kukuingiza katika mataifa 49 bila ya kutumia visa.

Habari za hivi karibuni kuhusu pasi kumi zenye uwezo mkubwa Afrika zinaonesha kwamba Kenya ilishuka katika orodha hiyo na kuwa nambari 11.

Afrika mashariki

Kenya
Kulingana na mtandao huo wa Henley Index ,uwezo wa pasi ya Kenya umepungua katika miaka ya hivi karibuni kutoka nafasi ya 52 mwaka 2006.Taifa hilo la Afrika mashariki kwa sasa lipo katika nafasi ya 73 duniani huku wale wanaotumia pasi yake wakiwa na uwezo wa kuingia mataifa 72 pekee duniani.


Tanzania
Tanzania ni taifa la Afrika mashariki lenye sifa ya vivutio vya kitalii kama vile mbuga ya Serengeti na mlima Kilimanjaro ambao ndio mlima mrefu barani Afrika. limeorodheshwa kuwa taifa la 74 katika mtandao huo wa Henley index huku wanaomiliki pasi yake wakiwa na uwezo wa kuzuru mataifa 71 duniani bila kutumia visa.

Pasipoti zenye uwezo mkubwa duniani
Katika miaka mitatu mfululizo pasipoti ya Japan inasalia nambari moja kama pasi yenye uwezo mkubwa dunia ikiwa na uwezo wa kukuingiza katika mataifa 191 kote duniani bila kutumia visa.

Miaka michache iliopita walikuwa wakishikilia uwezo huo sawa na Singapore.

Hata hivyo Singapore imeshuka nafasi moja chini na kuwa nambari mbili huku pasi yake ikiwa na uwezo wa kukuingiza katika mataifa 190 duniani bila kutumia visa.

Korea Kusini na Ujerumani zinashikilia nafasi ya tatu kwa pamoja.

Mataifa matatu ambayo pasipoti zao zina uwezo wa chini duniani ni Syria, Iraq na Aghanistan.

CHANZO - BBC SWAHILI

Share:

KUWA WA KWANZA KUPOKEA HABARI UKIWA NA APP YA MALUNDE 1 BLOG...PAKUA HAPA IMEBORESHWA 2021

Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA JANUARI 22,2021




























Share:

Thursday, 21 January 2021

Tanzia : ALIYEKUWA RC KIGOMA BRIGEDIA JENERALI MSTAAFU EMMANUEL MAGANGA AFARIKI DUNIA


 Brigedia Jenerali mstaafu, Emmanuel Maganga enzi za uhai wake.
***
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Brigedia Jenerali mstaafu, Emmanuel Maganga amefariki dunia leo Alhamis usiku Januari 21,2021.

Taarifa za awali inaelezwa kuwa Brigedia Jenerali mstaafu, Emmanuel Maganga amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Jeshi mkoani Tabora.

Taaifa zaidi tutawaletea hivi punde

Share:

ALIYESHUKA KUJISAIDIA AFARIKI KWA KUKANYAGWA NA TRENI AKIDANDIA


Picha ya mfano wa treni
Na Mwandishi wetu  - Moshi
Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Noa amefariki dunia baada ya kukanyagwa na treni ya abiria akiidandia wakati ikiwa imeanza kuondoka katika stesheni ya Moshi mkoani Kilimanjaro. 

Noa anayedaiwa kuwa fundi ujenzi na aliyekuwa akitoka Dar es Salaam kwenda Arusha amekanyagwa na treni wakati akijaribu kudandia treni hiyo iliyokuwa ikitoka Dar es Salaam kwenda Arusha leo Alhamis Januari 21,2021.

Kaimu kamanda wa polisi Mkoa wa Kilimanjaro Ronald Makona amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa treni hiyo ilipofika tesheni ya Moshi, Noa alishuka na kwenda kujisaidia na hivyo treni hiyo kumuacha na alipojaribu kuikimbiza ili apande kwenye behewa lake kwa bahati mbaya aliteleza na ikamkanyaga na kumkata vipande
Share:

MAABARA YA TMDA KANDA YA ZIWA KUWA BOBEZI KWENYE CHUNGUZI ZA VIPUKUSI


Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Ziwa Sophia Mziray akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake wakati walipozuru katika maabara hiyo jijini Mwanza kuona shughuli za uchunguzi wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi zinavyoendeshwa. 
Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Ziwa Sophia Mziray akiwa na Kaimu Mkuu wa Maabara ya TMDA Kanda ya Ziwa Bw.Bugusu Nyamweru pamoja na baadhi ya waandishi wa habari katika maabara hiyo. 
Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Ziwa Sophia Mziray akiwa ofisini kwake pamoja na Meneja Mawasiliano na Elimu kwa Umma,wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA),Gaudensia Simwanza kushoto pamoja na baadhi ya waandishi wa habari ofisini kwake jijini Mwanza. 
Meneja Mawasiliano na Elimu kwa Umma,wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA),Gaudensia Simwanza akifafanua jambo kwa mwandishi wa habari Eveyline Kitomari wakati waandishi wa habari walipozuru Maabara hiyo jijini Mwanza kutoka kulia ni Kaimu Mkuu wa Maabara ya TMDA Kanda ya Ziwa Bw.Bugusu Nyamweru. 
Meneja Mawasiliano na Elimu kwa Umma,wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA),Gaudensia Simwanza kushoto akikabidhi Camera kwa Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Ziwa Sophia Mziray ambayo ni Kitendea kazi kwa ajili ya matukio mbalimbali ya mamlaka hiyo Kanda ya Ziwa.

................................................

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imeanza maandalizi ya kuifanya maabara ya Kanda ya Ziwa kuwa maabara bora na maalumu kwa uchunguzi wa dawa za kuua viini vya bakteria (vipukusi), mpango unatarajiwa kukamilishwa ndani ya miaka mitatu.

Hayo yamebainishwa na Meneja wa TMDA Kanda ya Ziwa Sophia Mziray kwa waandishi wa Habari waliozuru katika maabara hiyo jijini Mwanza kuona shughuli za uchunguzi wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi zinavyoendeshwa.

"Maabara hii ipo kwenye taratibu za kufanywa kuwa maabara kubwa ya kisasa, bora na bobezi ya kupima vipukusi katika Afrika; na nchi za kusini mwa Afrika (SADC)," alisema Mziray.

Amesema kuwa Mamlaka ipo kwenye hatua mbalimbali za kuwaandaa wachunguzi waweze kuwa wabobezi lakini vile vile kuandaa mahitaji ya kuifanya maabara hii iwe bora kwa Afrika katika kuchunguza vipukusi.

Mziray amesema kwasasa maabara ya kanda ya ziwa ndiyo pekee kwa nchi wanachama wa jumuia ya Afrika Mashariki (EAC) yenye uwezo wa kupima vipukusi na kutoa majibu yasiyo na shaka.

""Kwa kuwa ni maabara pekee katika kanda ya ziwa tunaendelea kuchunguza dawa kutoka kanda nyingine, kutoa elimu kwa umma, na kuhakikisha Watanzania wanapata bidhaa bora, salama na zenye ufanisi," alisema Mziray.

Ameongeza: "Tunaendelea kuwaelimisha wananchi kuwa wao pia ni sehemu ya wadhibiti wa dawa na vifaa tiba, hivyo wanapotumia na kubaini madhara watoe taarifa kwa haraka kwenye ofisi zetu nasi tuzifanyie kazi."

Amebainisha kuwa maabara ina mifumo ambayo imethibitishwa. Mamlaka inaandaa nyaraka, upembuzi yakinifu ujiridhisha kama rasilimali zinatosheleza ili kutimiza nia ya kuwa na maabara bora zaidi.

"Ili kuhakikisha ubora wa dawa vifaa tiba na vitendanishi unaendelea kuwepo, tuna tumia mfumo wa ufuatiliaji na udhibiti wa dawa sokoni (PMS) uchunguzi hulenga kubaini madhara ya Dawa kuanzia kwenye vifungashio," alisisitiza.

Mziray ameeleza kuwa Kanda ya Ziwa yenye mikoa Sita bado inakabiliwa na changamoto ya udhibiti wa bidhaa kwenye mipak ya Mutukula, Sirari, Kyerwa, na pia bandari ya Mwanza South na Uwanja wa ndege wa Mwanza kwakuwa dawa hizo huvushwa kwa njia zisizohalali.

"Kanda hii ni kubwa inajumuisha mikoa ya Mwanza, Shinyanga Kagera, Simiyu na Mara, watumishi wa TMDA pekee yake hawatoshi kufanikisha udhibiti hivyo Mamlaka inashirikiana na wakurugenzi wa halmashauri ambao huteua wakaguzi toka maeneo yao kisha tunawafundisha na kuwapa vitambulisho," ameeleza.

Meneja mawasiliano na elimu kwa umma wa TMDA Gaudensia Simwanza amesema ili maabara itoe majibu yasiyo na shaka lazima iwe imekidhi vigezo elekezi vya Shirika la Afya Duniani (WHO): hivyo maabara hii imekidhi na kuwa yenye kutoa majibu sahihi yanayokubalika ya uchunguzi wa sampuli za vipukusi.

"Maabara hii imepokea vipimo vya sampuli zilizochunguzwa Ujerumani na Afrika Kusini ambako baada ya kupima majibu yalionesha kutofautiana lakini baada ya sampuli hizo kupimwa toka Maabara ya TMDA yakawa suluhisho," alieleza.

Share:

WAGANGA WA TIBA ASILI WATUMIE SUA NA WATAFITI WAKE KATIKA KUBORESHA BIDHAA ZILIZOPO NA KUANZISHA MPYA


Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Utawala na Fedha Amandus Muhairwa akifungua kongamano kwa niaba ya Makamu Mkuu wa Chuo hicho Prof. Raphael Chibunda wakati akifungua Kongamano la siku moja la Watalaamu wa Tiba asili na kutoka maeneo mbalimbali nchini lililofanyika Chuoni kabla ya maonesho na uzinduzi wa jukwaa la ubunifu wa bidhaa za mimea dawa kwa maendeleo ya taifa lililoandaliwa na Mradi wa GRILI. 
Mratibu wa Utafiti na machapisho katika kurugenzi ya shahada za uzamili,utafiti,uhaulishaji wa teknolojia na ushauri wa kitaalamu ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA Prof. Japhet Kashaigiri akitoa salamu za kurugenzi yake kwenye kongamano hilo la wadau wa tiba asili nchini. 
Mtafiti Mkuu wa mradi wa GRILI Dkt. Faith Mabiki Akileza malengo ya mradi huo wa GRILI na malengo ya Kongamano hilo la wadau wa tiba asili nchini. 
Mkuu wa Ndaki ya Solomoni Mahlangu ya Sayansi na Elimu Dkt. Geofrey akitoa salamu za Ndaki yake na kuwakaribisha wageni hao Chuoni hapo. 
Wadau wa kongamano hilo ambao ni waganga wa tiba asili kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania wakifuatilia hotuba ya ufunguzi. 
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Utawala na Fedha Amandus Muhairwa (Katikati) akisikiliza maelezo toka kwa viongozi wa mradi, Prof. Samweli Kabote amabye ni Muwakilishi wa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Utawala na fedha (Wa kwanza Kushoto) Akifuatilia hotuba ya ufunguzi, wa kwanza Kushoto ni Dkt. Geofrey Kalugila Rasi wa ndaki ya Solomon Mahlangu ya sayansi na Elimu. 
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Utawala na Fedha Amandus Muhairwa akiangalia maonesho ya bidhaa mbalimbali za tiba asili zilizoletwa kwenye kongamano hilo kabla ya maonesho rasmi siku ya ijumaa. 
Washiriki wa Kongamano hilo wakifuatilia ufunguzi wa Kongamono hilo na mada mbalimbali kutoka kwa wadasu wa tiba asili,Watafiti na watunga sera. 

***************************** 

Na: Calvin Gwabara – Morogoro. 
Waganga wa tiba asili nchini wametakiwa kuangalia kwa undani namna ya kutumia matokeo ya tafiti zinazofanywa na watafiti wa Chou Kikuu Cha Sokoine cha Kilimo (SUA) na Taasisi zingine ili kuboresha bidhaa zilizopo na kuanzisha bidhaa mpya ili kuendana na mahitaji ya jamii kwa wakati sahihi. 

Wito huo ulitolewa na Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Utawala na Fedha Prof. Amandus Muhairwa kwa niaba ya Makamu Mkuu wa Chuo hicho Prof. Raphael Chibunda wakati akifungua Kongamano la siku moja la Watalaamu wa Tiba asili na kutoka maeneo mbalimbali nchini lililofanyika Chuoni kabla ya maonesho na uzinduzi wa jukwaa la ubunifu wa bidhaa za mimea dawa kwa maendeleo ya taifa lililoandaliwa na Mradi wa GRILI. 

Prof. Mhairwa alisema kuwa njia hiyo ni muhimu sana hasa katika wakati huu ambao dunia inahangaika kutafuta chanjo na tiba ya ugonjwa wa COVID 19 ambapo dawa za mimea zimeonekana kufanya vizuri Zaidi kuliko za hospitalini, 

” Wanasayansi na waganga wa tiba ya asili sio kama vyama viwili vya upinzani, sisi tunafanya kazi kwa kutegemeana, sisi tunavitu tunavumbua kisayansi lakini pia kuna vitu vingine tunavifanyia utafiti vile ambavyo mmevianzisha nyinyi ili kuweza kupata udani Zaidi wa dawa mnazogundua kwahiyo hatupingi kazi zenu wala msituone kama vile maadui sisi tufanye kazi kwa pamoja kwa faida ya jamii na taifa letu” Alisisitiza Prof. Mhairwa. 

Alisema bidaa za mimea dawa zinakabiliwa na changamoto zinazohusiana na uzalishaji,uvunaji,utengenezaji,uuzaji na upatikanaji endelevu wa malighafi hivyo ili kupunguza changamoto hizo na kuzindoa kabisa kunahitajika utafiti Zaidi wa kisayansi,ubunifu Zaidi katika masoko,uzingatiaji wa hali ya juu wa vigezo vya ubora vinavyotakiwa na kufuata taratibu za biashara zenye tija. 

Lakini pia aliwataka Wataalamu hao wa Tiba asili kuangalia masuala ya kisera yanayoleta changamoto katika kuhaulisha teknolojia hizi ili ziweze kutumika kibiashara na kuanzisha viwanda vya uzalishaji wa mimea dawa na hasa katika kipindi hiki ambapo sera ya serikali ni kusukuma uanzishwaji wa viwanda kwenye sekta hii. 

Naibu Makamu huyo wa Mkuu wa Chuo Utawala na Fedha aliwahakikishia kuwa SUA na hasa kurugenzi ya uzamili,Utafiti,Uhaulishaji wa teknolojia na ushauri wa kitaalamu kwa kushirikiana na serikali wataendelea kuwa nao bega kwa bega kwa kusaidia jitihada za wadau wote kwenye sekta hii katika kuboresha tafiti za oaina hii kwa kadri mazingira yatakavyoruhusu. 

Akitoa salamu kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufungua kongamano hilo Mratibu wa Utafiti na machapisho katika kurugenzi ya shahada za uzamili,utafiti,uhaulishaji wa teknolojia na ushauri wa kitaalamu ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA Prof. Japhet Kashaigiri alisema kuwa kurugenzi hiyo na vitengo vingne vya SUA vimekuwa na utaratibu wa kuandaa makongamano ya aina hiyo ili kujaribu kuboresha biashara za mazao ya Kilimo,Ufugaji na Misitu kwa kushirikiana na wadau mbalimbali katika sekta hizo. 

“Katika makongamano haya SUA imekuwa ikishirikisha wasimamizi na wakaguziwa ubora wa biashara hizi pamoja na watunga sera kwa ujumla na utaratibu huu umeongeza mchango mkubwa wa chou chetu katika kutatua changamoto mbalimbali na kuboresha biashara za mazao nah ii ni muhimu hasa katika awamu hii ya serikali ya tano ambayo mwelekeo wake ni kuwa uchumi wa viwanda. 

Prof. Kashaigili alisema Vyuo Vikuu kote duniani ni vitovu vya maendeleo ya kitaaluma na Tafiti mbalimbali na kwa muktadha huo kurugenzi ya uzamili kupitia kitengo chake cha uhaulishaji wa teknolojia pamoja na mradi wa GRILI zimeona ni vyema kutumia uzoefu wake wa ndani na kwa kushirikiana na wadau wengine kuandaa kongamano hili hapa SUA ili kuwaleta wadau wote pamoja na kujadili namna ya kukuza uelewa na kutatua changamoto hizo. 

Akileza malengo ya mradi huo wa GRILI na malengo ya Kongamano hilo Mtafiti mkuu wa mradi huo Dkt. Faith Mabiki amesema Utekelezaji wa mradi huu ulianza mwaka 2018 ukiwa na lengo la kuchangia katika kuongeza ubora wa bidhaa za miti dawa ili kuboresha Maisha ya watengenezaji,afya za watumiaji na kuchangia katika pato la taifa. 

Dkt. Mabiki alisema ili kufikia malengo hayo ya muda mrefu mradi huo unajenga uwezo wa kitafiti wa kitafiti kwa wanafunzi wa shahada za uzamivu 5 na shahada za uzamili 2 katika maeno muhimu ya kemikali,usugu wa dawa na masoko na unategemea kutoa matokeo ya kitafiti yatakayo tumika na wadau muhimu wa kuboresha biadhaa hizi. 

“Kongamano hili la kitaalamu la wadau likiwa ni moja ya shughuli za uzinduzi wa Jukwaa la ubunifu wa bidhaa za mimea dawa kwa maendeleo ya taifa litajikita Zaidi kwenye kujadili Uboredhaji wa uzalishaji,uchakataji,ufungsdhsji na uuzaji wa bidhaa zinazotokana na mimea dawa hapa Tanzania na namna ya kutatua changamoto hizo” Alisema Dkt. Mabiki. 

Kwa upande wake Mkuu wa Ndaki ya Solomoni Mahlangu ya Sayansi na Elimu Dkt. Geofrey alisema kwa upande wa utafiti ndaki hiyo ni ya pekee inayotoa shahada ya uzamili ambazo zinajikita moja kwa moja katika utafiti wa mazao ya mimea dawa ambayo mojawapo inahusika katika tukio hili na ina miradi Zaidi ya tisa ambayo kwa namna moja au nyingine zinagusa bidhaa hizi za mimea dawa. 

“Kwa sababu hiyo tunategemea kuchangia juhudi za SUA na Taifa katika kuongeza ubora wa bidhaa hizi ili zipate Masoko” Alisisitiza Dkt. Kalugila. 

Pia Dkt. Geofrey Kalugila aliwashukuru wadau hao kutoka maeneo yote nchini kufiki akushiriki kwenye kongamano hilo,maonesho na uzinduzi wa Jukwaa la ubunifu na kuwataka watumia siku chache watakazokuwa SUA kujifunza na kujionea mambo mbalimbali ya kistoria kwenye kampasi hiyo ambayo ilikuwa kambi ya wapigania uhuru wa Afrika kusini. 

Kongamano hilo litafuatiwa na Maonesho makubwa ya Tiba asili na bidhaa zake litakalofanyika kwenye viwanja vya soko kuu la mkoa wa Morogoro tarehe 22/01/2021 na baada siku ya jumamosi kutakuwa na uzinduzi wa Jukwaa la ubunifu wa bidhaa za tiba asili litakalofanyika kwenye kampasi ya Solomon Mahlangu Mazumbu tarehe 23/01/2021 zilizoandaliwa na Mradi wa GRILi.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger