Tuesday, 5 January 2021

GIGGY MONEY AIPONZA WASAFI TV... YAFUNGIWA KURUSHA MATANGAZO MIEZI 6


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

Mamlaka  ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeisitisha utoaji huduma za utangazaji kwa Televisheni ya Wasafi TV kwa muda wa miezi 6 kuanzia Januari 6 mwaka huu hadi Juni 2021 kwa makosa ya kukiuka taratibu za utangazaji.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Johannes Kalungula, amesema maamuzi hayo yanakuja kufuatia kipindi cha "Tumewasha Concert," Wasafi Tv cha Januari Mosi, 2021 majira ya saa mbili hadi saa tano usiku iliyorusha maudhui ya picha jongefu yaliyomwonesha msanii wa bongo Fleva Gift Stanford Mwakyusa maarufu kama Giggy Money akicheza katika jukwaa kwa mitindo iliyokuwa ikionesha utupu wa mwili wake kinyume na kanuni namba 11 (1) (b) (c) na (d) za kanuni za Mawasiliano ya kielektroniki na Posta (Maudhui ya utangazaji wa Redio na Televisheni,) ya mwaka 2018 inayomtaka mtoa huduma wa maudhui kuhakikisha kuwa hatangazi maudhui yasiyozingatia utu na maadili ya Jamii.

Aidha Wasafi TV wametakiwa kutumia siku ya leo iliyobaki kuahirisha matangazo yote na kutumia muda wote uliobaki siku ya leo kuomba radhi kwa Umma wa watanzania wake kufuatia ukiukaji wa kanuni za utangazaji kupitia kipindi cha "Tumewasha Live Concert." Na wakikaidi au kukataa hatua zaidi za kisheria na udhibiti zitachukuliwa dhidi ya Wasafi TV.
Share:

MAYALA : WAFUGAJI WA KUKU MJIKITE ZAIDI KATIKA KUMKINGA KUKU DHIDI YA MAGONJWA BADALA YA TIBA

Mtaalamu wa Magonjwa ya Kuku kutoka Silver Land Tanzania Bw. Daudi Mayala
Na Josephine Charles - Shinyanga
Rai imetolewa kwa wafugaji wa kuku kujikita zaidi katika kumkinga kuku dhidi ya magonjwa na siyo tiba.

Rai hiyo imetolewa na Mtaalamu wa Magonjwa ya kuku kutoka Silver Land Tanzania Bw. Daudi Mayala wakati akizungumza Katika Kipindi cha Mambo Leo kinachorushwa na Radio Faraja fm stereo kila Juma tatu hadi Ijumaa saa tatu asubuhi hadi saa saba kamili mchana. 

Amesema wafugaji wengi wa kuku hawana tabia ya kumkinga kuku dhidi ya magonjwa badala yake wan kuwa wa kwanza kumwambukiza kuku magonjwa pasipo wao kujua kwa kutokuzingatia mavazi na usafi wakati wa kuingia kwenye vibanda vya kuku hivyo hujikuta wamewapelekea kuku virusi vinavyosababisha ugonjwa kwa kuku na ndipo huanza kuhangaika kutafuta dawa za kutibu ule ugonjwa matokeo yake huchelewa na kusababisha kuku kufa. 

Ameyataja baadhi ya magonjwa ambayo huwapata kuku mara kwa mara kuwa ni Kideri,Gumboro,Ndui,Koraiza,Typhoid,TB na ugonjwa wa mfumo wa upumuaji ambapo baadhi ya hayo magonjwa mengine huwapata kuku kwa njia ya Virusi na Bakteria.
Share:

JAMII YATAKIWA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KUPUNGUZA GHARAMA ZA MAISHA


Stanley Isaac Manyonyi 

Na Josephine Charles - Shinyanga
Jamii imesisitizwa kutumia mitandao kwa ajili ya kupata maarifa kujenga tabia ya kuongeza thamani, ufanisi na kupunguza gharama za maisha ya kila siku.
Rai hiyo imetolewa na Mtaalamu wa Kompyuta na Teknolojia ya Habari na mawasiliano TEHAMA kutoka Chuo cha Cha Nelson Mandela Kilichopo jijini Arusha Stanley Isaac Manyonyi wakati akizungumza katika kipindi cha Mambo Leo kinachorushwa na Radio Faraja Fm kila Jumatatu hadi Ijumaa saa tatu asubuhi mpaka saa saba kamili mchana. 

Hiyo inatokana na baadhi ya watu kutumia miandao vibaya kwa kuchapisha (kuposti) picha za utupu, kuchapisha picha zenye kuleta madhara kwa kizazi cha baadaye, mfano mama anachati mtoto amelala na mbwa pembeni,wengine kuunguza vyakula wakati wa kupika na kwa akina baba kutokuwajali wake zao kipindi cha ujauzito wanatumia muda mwingi mtandaoni badala ya kuwafariji wake zao. 

Amesema kwa mujibu wa Tovuti ya Mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA Takwimu inaonesha kuna ukuaji wa matumizi ya mtandao(internet) hasa kwenye simu ambapo 2013 kulikuwa na watumiaji wa internet milioni 9,2016 wakaongezeka na kufikia million 19 na 2020 mwezi Septemba ongezeko la watumiaji Tanzania likafikia milioni 27.9. 

Amefafanua kuwa kwenye sekta ya TEHAMA kuna ukuaji mkubwa wa matumizi ya Internet ambao unahusisha watu, miundombinu na sera ambazo serikali ya Tanzania inazidi kuweka.
Share:

Naibu Waziri Bashe Atoa Maagizo Kwa Tume Ya Taifa Ya Umwagiliaji


 Na Mwandishi Wetu – Dodoma.
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, Ameitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, kutumia wataalamu na rasilimali za ndani katika kazi za upembuzi yakinifu katika ujenzi wa Miundombinu ya Umwagiliaji,ili kupunguza gharama za ujenzi wa miradi ya miundombinu hiyo.

Bashe aliliyasema hayo Jijini Dodoma alipokutana na Management ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Wahandisi wa Umwagiliaji nchini nakuagiza Mitambo 56 inayomilikiwa na Tume popote ilipo nchini ikaguliwe nakufanyiwa matengenezo huko iliko na yenye hali mbaya iletwe katika ofisi za makao makuu ya Tume jijini Dodoma kwa matengezo zaidi.

Sambamba na hilo aliagiza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji ifanye Utaratibu wa kuyutambua maeneo yote ya kilimo cha umwagiliaji nchini yapo wapi yana ukubwa gani na yanalima mazao gani ilikuweza kujua ni maeneo gani yanayoweza kufanyiwa maboresho na kumwagiliwa kihalisia.

Naibu Waziri Bashe aliwashauri wataalamu hao, kuweza kuona namnayakuhusisha sekta binafsi katika kuboresha miundombinu ya umwagiliaji na kuanzisha kilimo Biashara kupitia sekta ya umwagiliaji, pamoja, nakuwaagiza kuainisha eneo litakalotumika kwa kilimo cha umwagiliaji katika Bwawa la mwalimu Nyerere, nakuliwekea mipaka ili lisiweze kuvamiwa na shughuli nyingine za kibinadamu.

Aidha, Naibu Waziri Bashe ameiagiza Tume hiyo iwe na mpango mkakati wa miaka mitano wautekelezajiwa kuongeza eneo la Umwagiliaji, lenye ukubwa wa Hekta milioni moja sambamba na hilo kuangalia litazalisha mazoa ya aina gani, kwa kiasi gani litakuwa katika vijiji gani na litatumiwa na wakulima wangapi.

“Pamoja na hili mkaena Tasisi ya kuzalisha Mbegu (ASA), Taasisi ya Tafiti ya Mazao ya Kilimo (TARI) ili katika eneo hilo kuweza kutenga walau asilimia ishirini 20% ya eneo kwa ajili ya kuzalisha mbegu”.Alisisitiza.

Naibu Waziri Bashe, Aliitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Ifanye ukarabari wa mundombinu ya Umwagiliaji katika skimu kwa kuwwashirikisha wakulima.


Share:

Uhakiki Wa Taasisi Za Kidini Na Jumuiya Za Kijamii Katika Kanda Ya Kaskazini Kuanzia Tarehe 15 Februari



Share:

IGP Sirro : Makosa Ya Usalama Barabarani Yamepungua Kwa Asilimia 34


Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema makosa ya ajali barabarani nchini yamepungua kwa asilimia 34 kutokana na madereva wengi kuendelea kutii sheria na alama za barabarani kunakochangiwa na usimamizi mzuri wa askari wa usalama barabarani.

IGP Sirro amesema hayo jana wakati alipofanya kikao kazi na maofisa na askari wa Kikosi cha usalama barabarani wa mikoa ya Kanda maalum ya DSM, Rufiji na mkoa wa Pwani huku akiwataka askari wa Jeshi hilo kupunguza malalamiko kutoka kwa wananchi wanaowahudumia na hasa kuacha kujihusisha na vitendo vya rushwa na kuwasisitiza suala la kutoa huduma bora kwa mteja


Share:

HIV Care & Treatment Advisor at MDH

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

HIV-CARE & TREATMENT ADVISOR  Management and Development for Health (MDH) is a non-profit, non-governmental organization whose primary aim is to contribute to address public health priorities of the people of Tanzania and the world at large. These priorities include: communicable diseases such as HIV/AIDS, Tuberculosis and Malaria; Reproductive, Maternal, New-born and Child health (RMNCH); Nutrition; […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Project Coordinator Support at Médecins Sans Frontières (MSF)

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

JOB VACANCY  – PROJECT COORDINATOR SUPPORTTitle: PROJECT COORDINATOR SUPPORT Direct Reports: PROJECT COORDINATOR Location: NDUTA CAMP   FOR NATIONAL STAFF ONLY    INTRODUCTION: Médecins Sans Frontières (MSF) is an international, independent, medical humanitarian organisation that delivers emergency aid to people affected by armed conflict, epidemics, natural disasters and exclusion from healthcare. MSF offers assistance to people based on […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Vehicle Driver (6 positions) at MDH

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

MDH in collaboration with Ilala, Temeke, Kinondoni, Ubungo and Kigamboni Municipal Councils invite suitable candidates to apply for the position of General Service Drivers under the mentioned Municipal Directors for nine months from January 2021 to September 2021. 1. Vehicle Driver (6 positions) Reports to: Transport Officer Duties and Responsibilities To facilitate transport needs of MDH staff […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Motorcycle Drivers (8 positions) at MDH

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

MDH in collaboration with Ilala, Temeke, Kinondoni, Ubungo and Kigamboni Municipal Councils invite suitable candidates to apply for the position of General Service Drivers under the mentioned Municipal Directors for nine months from January 2021 to September 2021.   Motorcycle Drivers (8 positions) Report to: Transport Officer Duties & Responsibilities: To ensure that the motorcycle is […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

CAMERAMAN II at TBC

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

POST CAMERAMAN II – 1 POST POST CATEGORY(S) MARKETING,MEDIA AND BRAND EMPLOYER Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) APPLICATION TIMELINE: 2021-01-04 2021-01-17 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To undertake filming/recording of television programmes such as talk shows, education, documentaries, religion etc. in good quality standard and consonant with the requirement of the producer; ii.To load and […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

JOURNALIST II – 3 POST at TBC

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

POST JOURNALIST II – 3 POST POST CATEGORY(S) MARKETING,MEDIA AND BRAND EMPLOYER Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) APPLICATION TIMELINE: 2021-01-04 2021-01-17 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To gather and write news and stories; ii.To Write scripts and continuities and prepares programmes for radio and television products; iii.To collect, reports and comments on news and current […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

TECHNICIAN II – 7 POST at TBC

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

POST TECHNICIAN II – 7 POST POST CATEGORY(S) ENGINEERING AND CONSTRUCTION EMPLOYER Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) APPLICATION TIMELINE: 2021-01-04 2021-01-17 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To carry out technical operations; ii.To carry out servicing and maintenance work of technical equipment under supervision of experienced technician; iii.To ensure proper maintenance of all equipment at workplace; […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

PRODUCER II – 2 POST at TBC

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

POST PRODUCER II – 2 POST POST CATEGORY(S) CREATIVE AND DESIGN MARKETING,MEDIA AND BRAND EMPLOYER Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) APPLICATION TIMELINE: 2021-01-04 2021-01-17 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To assist in undertaking production of television programmmes; ii.To assist in production of radio programmes, drama, light entertainment; iii.To Select and produce music programmes; iv.To assist […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

ICT OFFICER II at TBC

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

POST ICT OFFICER II – 1 POST POST CATEGORY(S) IT AND TELECOMS EMPLOYER Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) APPLICATION TIMELINE: 2021-01-04 2021-01-17 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To Initiate development of information systems; ii.To assist in setting up and maintains servers, workstations and peripherals; iii.To carry out system back-up and periodically tests recovery procedures; iv.To […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Resident Technologist at HEBO Consult

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Resident Technologist   HEBO Consult Dar es Salaam, Tanzania Marketing Professional looking to build capacity in East Africa so as to develop competent Marketing professionals and compelling brands in the region. HEBO Consult is a growing organization looking for candidates that are keen to work and qualified for the position of Resident Technologist. In the […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

NAIBU WAZIRI BASHE ATOA MAAGIZO KWA TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI

Picha ni Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo,  Mhe. Hussein Bashe, akizungumza na Management ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Wahandisi wa Umwagiliaji wa Mikoa hawapo pichani, katika ukumbi wa Wizara ya Kilimo Uliyopo jijini Dodoma
Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kushoto, akifuatilia taarifa inayowasilishwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Bw. Daudi Kaali (kulia)  katika kikao kazi kilichofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Kilimo Jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Bi. Mary Mwangisa akizungumza  kabla ya kuanza kwa kikao kazi na NaibuWaziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe katika ukumbi wa Wizara ya KilimoJijiniDadoma

Picha ikionesha baadhi ya Wahandisi wa Umwagiliaji wa Mikoani chini wakishiriki katika kikao kazi kilichoongozwa na Naibu Waziri wa Kilimo  Hussein Bashe jijini Dodoma
Picha ikionesha baadhi ya watumishi wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji wakimsikiliza Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Hussein Bashe katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Wizara hiyo mapema

 
 Na Mwandishi Wetu - Dodoma.


Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, Ameitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, kutumia wataalamu na rasilimali za ndani katika kazi za upembuzi yakinifu katika ujenzi wa Miundombinu ya Umwagiliaji,ili kupunguza gharama za ujenzi wa miradi ya miundombinu hiyo.

Bashe aliliyasema hayo Jijini Dodoma alipokutana na Management ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Wahandisi wa Umwagiliaji nchini nakuagiza Mitambo 56  inayomilikiwa na Tume popote ilipo nchini  ikaguliwe nakufanyiwa matengenezo huko iliko na yenye hali mbaya iletwe katika ofisi za makao makuu ya Tume jijini Dodoma kwa matengezo zaidi.

Sambamba na hilo aliagiza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji ifanye Utaratibu wa kuyutambua maeneo yote ya kilimo cha umwagiliaji nchini yapo wapi yana ukubwa gani na yanalima mazao gani ilikuweza kujua ni maeneo gani yanayoweza kufanyiwa maboresho na kumwagiliwa kihalisia.

Naibu Waziri Bashe aliwashauri wataalamu hao, kuweza kuona namnayakuhusisha sekta binafsi katika kuboresha miundombinu ya umwagiliaji na kuanzisha kilimo Biashara kupitia sekta ya umwagiliaji, pamoja, nakuwaagiza kuainisha eneo litakalotumika kwa kilimo cha umwagiliaji katika Bwawa la mwalimu Nyerere, nakuliwekea mipaka ili lisiweze kuvamiwa na shughuli nyingine za kibinadamu.

Aidha, Naibu Waziri Bashe ameiagiza Tume hiyo iwe na mpango mkakati wa miaka mitano wautekelezajiwa kuongeza eneo la Umwagiliaji, lenye ukubwa wa Hekta milioni moja sambamba na hilo kuangalia litazalisha mazoa ya aina gani, kwa kiasi gani litakuwa katika vijiji gani na litatumiwa na wakulima wangapi.

 “Pamoja na hili mkaena Tasisi ya kuzalisha Mbegu (ASA), Taasisi ya Tafiti ya Mazao ya Kilimo (TARI) ili katika eneo hilo kuweza kutenga walau asilimia ishirini 20% ya eneo kwa ajili ya kuzalisha mbegu”.Alisisitiza.

Naibu Waziri Bashe, Aliitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji  Ifanye ukarabari wa mundombinu ya Umwagiliaji katika skimu kwa kuwashirikisha wakulima.

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger