
Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya dereva tax (UBER) aliyefahamika kwa jina la Joseph Tillya Mpokala,(51),Mkazi wa Mbezi kwa Msuguli .
Watuhumiwa hao :-
1. Godson Laurent Mzaura,(29),Mkazi wa Mbezi Beach,Mpiga picha.
2. Said Mohamed...