Wednesday, 3 June 2020

WAZIRI WA ELIMU ATOA SIKU TATU KWA VYUO VIKUU WAPEWE FEDHA ZA KUJIKIMU

Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako ametoa muda wa hadi kufika Ijumaa wiki hii ambayo itakuwa Juni 5, 2020, vyuo vyote vya elimu ya juu hapa nchini viwe vimemaliza kuwapa fedha za kujikimu wanafunzi wote na si vinginevyo. Amesema hayo leo Juni 6, 2020 wakati akizungumza...
Share:

GGML YATOA MILIONI 100 UJENZI WA CHUO KIKUU HURIA – GEITA

Makamu Rais wa GGML, Simon Shayo Na Mwandishi Wetu Katika kukuza sekta ya elimu ya juu nchini, Kampuni ya Geita Gold Mining Ltd. (GGML) kupitia sera yake ya uwajibikaji kwa jamii imetoa kiasi cha Sh milioni 100 kusaidia ujenzi wa Kituo cha Chuo Kikuu Open University cha Mkoa wa Geita.  Awamu...
Share:

Mtangazaji Maarufu wa Clouds FM Hamisi Mandi (B Dozen ) atimkia E-FM

Aliyekuwa mtangazaji wa kituo cha Redio cha Clouds FM Hamis Mandi maarufu B Dozen amejiunga na Kituo cha redio cha EFM- Tanzania Mandi ambaye anafahamika zaidi kwa jina la utangazaji la B-Dozen (The Navigator, Msafiri) kwa muda mrefu alikuwa akiongoza kipindi cha XXL cha Clouds FM, pamoja na vingine. Kupitia...
Share:

WASIOSHIRIKI MISIBA SASA KUCHARAZWA VIBOKO

Diwani wa Kata ya Mwangata, Manispaa ya Iringa, Edward Nguvu Na Zuhura Zukheir, Iringa Wakazi wa Kata ya Mwangata, Manispaa ya Iringa wamepongeza uamuzi wa Diwani wa Kata ya Mwangata, Edward Nguvu kutaka watu wasiohudhuria misibani wacharazwe viboko ili iwe fundisho kwa wengine. Akizungumza na...
Share:

FAMILIA YASHEREHEKEA KIFO CHA BIBI WA MIAKA 126 MOSHI

Kushoto ni Bibi Susana Mmari wakati wa uhai wake, kulia ni mazishi yake. Hivi karibuni kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, zilisambaa video na picha zikionesha watu wakisherehekea kifo cha Bibi mmoja aliyejulikana kwa jina la Susana Benjamin Mmari, aliyefariki na umri wa miaka 126, kilichotokea...
Share:

Daladala Dar Ruksa Kusimamisha Wanafunzi Wanne

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ameagiza daladala za mkoa huo, ziruhusu wanafunzi wanne kusimama ili kuondoa changamoto ya usafiri. Makonda alitoa agizo hilo jana jijini Dar es Salaam wakati akipokea vifaa tiba na vifaa vya ujenzi na kueleza kuwa, agizo hilo la kubeba wanafunzi lianze...
Share:

DC Macha Awatoa Hofu Wanafunzi Wa Kidato Cha Sita Kuhusiana Na Covid 19

SALVATORY NTANDU Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imewatoa hofu wanafunzi wa kidato cha sita walioanza masomo June Mosi mwaka huu katika shule sita zilizopo wilayani humo kuhusiana na ugonjwa wa homa kali ya Mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona. Pia imewataka kuchukua tahadhari kwa...
Share:

Mtoto Afariki Kwa Kushambuliwa Na Fisi Shinyanga, RPC Atoa Wito Kwa Wazazi

SALVATORY NTANDU Wazazi na Walezi Mkoani Shinyanga wametakiwa kuchukua tahadhari kwa watoto wao dhidi ya  wanyama aina ya Fisi ambao wamekuwa wakionekana katika maeneo mbalimbali  na kusababisha madhara kwao ikiwemo ya vifo. Kauli hiyo imetolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga ACP...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano June 3

...
Share:

Tuesday, 2 June 2020

Aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu anashikiliwa na TAKUKURU.

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) inamshikilia aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu, pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Lojistiki wa MSD, Byekwaso Tabura, kwa tuhuma za kutumia madaraka yao vibaya na kusibabishia serikali hasara. ...
Share:

RC Malima Ataka Wakulima Wauze Kahawa Yao Kwa Bei Nzuri ....Aunga Mkono Wanunuzi Binafsi

Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Mara Uongozi wa Mkoa wa Mara umesisitiza kuendelea kutekeleza maagizo yaliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt John Pombe Magufuli kuhusu wanunuzi binafsi wakati akizungumza na wananchi wa Kyaka, Rwamisheye, Kemondo Muleba, Nyakabango na Kyamyorwa...
Share:

Riwaya Kali ya Kusisimua....SIN- Sehemu Ya Kumi (10)

Mwandishi- EDDAZARIA G.MSULWA Age-18+ Simu-0657072588(whatsapp) au 0768516188 ILIPOISHIA “Nawe pia mwanangu, ila ni vibaya kwa mtoto wa kike kulala chini huku mimi mwanaume niliye komaa nikilala kitandani. Huo utakuwa ni unyanyasaji mkubwa sana na nina weza nisipate usingizi kabisa mwanangu. Ninacho...
Share:

KIJANA AMUUA BABA YAKE KWA KUMTWANGA NGUMI USONI MOROGORO

Polisi mkoani Morogoro inamshikilia Yohana Isaya Lameck (17) mkazi wa Manyani wilayani Gairo kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi Isaya Lameck (41) kwa kumpiga ngumi usoni na kumkanyaga sehemu mbalimbali za mwili.  Kamanda wa polisi mkoa wa wa Morogoro SACP Wilbroad Mutafunga amethibitisha. Soma...
Share:

ALIYEKUWA MTENDAJI MKUU WA BOHARI YA MADAWA -MSD BWANAKUNU NA MWENZAKE MBARONI KWA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA

Laurian Bwanakunu ...
Share:

CCM YATOA ONYO RUSHWA WANAOJIPITISHA MAJIMBONI KUGOMBEA UCHAGUZI MKUU…TOA TAARIFA KWENDA NAMBA HII

Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeweka utaratibu wa kuboresha namna ya kusimamia maadili kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu kwa kuanzisha kituo cha taarifa za uchaguzi kitakachosaidia kubaini viongozi wanaolaghai watu kwa kutoa rushwa ili wapigiwe kura. Akizungumza na waandishi wa habari...
Share:

MTOTO WA MIAKA MIWILI AFARIKI DUNIA KWA KUNG'ATWA NA FISI SHINYANGA

Picha ya Fisi Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Mtoto aliyejulikana kwa jina la Charles Christian Makilika mwenye umri wa miaka miwili na nusu amefariki dunia baada ya kung’atwa na fisi akicheza na wenzake nje ya nyumba yao katika kitongoji cha Mwagala maeneo ya Ugweto kata ya Ibadakuli Manispaa...
Share:

Mkataba Mpya Waliosaini Yanga,GSM Na La Liga

Uongozi wa Klabu ya Yanga wakishirikiana na wadhamini wao Kampuni ya GSM Mei 31 wameingia mkataba wa misimu minne wa makubaliano ya kimaendeleo ya timu hiyo na kampuni La Liga  Makubaliano ya kuingia mkataba huo yalifikiwa juzi kwenye Hoteli ya Serena, jijini Dar ambayo yatahusisha maendeleo...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger