Friday, 15 May 2020
Waziri Mkuu Akagua Ujenzi Wa Reli Ya Kisasa (SGR)....Asema Nguzo Za Umeme 154 Kati Ya 160 Zimeshasimikwa
Serikali Yaridhishwa Na Utendaji Kazi Wa Bodi Za Parole Nchini
Wagonjwa Wa Corona Uganda Wafika 160...Ni Baada Ya Wengine 21 Kuongezeka
♦️Today, 14 May, 2020, 21 new COVID-19 cases confirmed from 1,593 samples of truck drivers. This brings the total number of COVID-19 cases to 160 in Uganda.— Ministry of Health- Uganda (@MinofHealthUG) May 14, 2020
🔺The new cases include: Ugandans, Kenyans, Tanzanians and South Sudanese who arrived via Mutukula, Busia and Elegu borders
The new cases are:— Ministry of Health- Uganda (@MinofHealthUG) May 14, 2020
🇰🇪 8 Kenyans
🇹🇿 7 Tanzanians
🇺🇬 5 Ugandans
🇸🇸 1 South Sudanese
Tumefanya Maboresho Kwenye App Yetu ya Mpekuzi Ili Kukuwezesha Kupata Habari zetu Haraka hasa Wakati huu wa janga la Corona
Thursday, 14 May 2020
UDSM-CALL FOR PROPOSALS FOR COMPETITIVE RESEARCH AND INNOVATION GRANTS FOR YEAR 2020-2021
The University of Dar es Salaam has a noble obligation to contribute to the national development through teaching, research, innovation and public services. Guided by its grand Vision 2061, the University seeks to become a leading center of intellectual wealth spearheading the quest for sustainable and inclusive development. This Vision is coupled with an aspiration of becoming a… Read More »
The post UDSM-CALL FOR PROPOSALS FOR COMPETITIVE RESEARCH AND INNOVATION GRANTS FOR YEAR 2020-2021 appeared first on Udahiliportal.com.
Jeshi La Polisi Dodoma Lakamata Magari 6 Ya Wizi......latangaza Dau La Milioni Moja Kwa Mtu Atakayesaidia Kutoa Taarifa Za Wizi Wa Magari
Katika uchunguzi wa awali imegundulika kuwa hayana kumbukumbu zozote na yaliingia nchini bila Uhalali huku uchunguzi zaidi ukiendelea kwa kushirikiana na Interpol na mtuhumiwa Omari Chilipachi [29] mkazi wa Sinza DSM anahojiwa na jeshi la Polisi.
Kijana Atiwa Mbaroni Baada Ya Kutumia sare za JWTZ alizomwibia Baba Mkwe Wake Na Kuzitumia Kutapeli Watu
Job Opportunity at EWURA, Senior Electricity Inspector
- To participate in coordination of the process of overseeing effective and efficient application of provisions of the Electricity Act in order to ensure environmental and safety aspects of electricity sector are in conformity with provision of the Act and good industry practices.
- To inspect electrical installations in buildings and any other electricity supply infrastructure to ensure compliance with applicable industry standards.
- To review performance and ethics of Electrical Installation Licensees to identify malpractices in electrical installation activities.
- To inspect various premises under construction and submit inspection report for further recommendations to responsible authorities for
- To participate in dispute resolutions of various customers’ complaints.
- To inspect premises damaged by electrical accidents.
- To respond to any reported electrical emergency event.
- To conduct pre and post installation inspections of standby and own uses generators.
- To participate in pre licensing inspection of electrical facilities undertaken by the Directorate.
- To assist in coordinating and preparation of the Annual Directorate report and Annual Sector report.
- To undertake any other duties as assigned by superiors.
- University Degree in Electrical Engineering.
- Possession of Master degree qualifications in the relevant field will be an added advantage.
- Registration with Engineers Registration Board as a professional engineer (ERB) is a must.
- Knowledge and Competence in Information and Communications Technology (ICT) application
- Possession of at least five (4) years working experience in relevant field.
Job Opportunity at EWURA, Office Attendant
- To move/run mails, other correspondences goods and supplies within the Authority.
- To move/run mails and other correspondences outside the Authority.
- To provide general administrative assistance.
- To provide cleaning to the Authority’s offices.
- To undertake any other duties as assigned by the supervisor.
Head, Financial Crime Compliance at Standard Chartered Bank
Head, Financial Crime Compliance Job: Compliance Primary Location: Africa & Middle East-Tanzania-Dar es Salaam Schedule: Full-time Employee Status: Permanent About Standard Chartered We are a leading international bank focused on helping people and companies prosper across Asia, Africa and the Middle East. To us, good performance is about much more than turning a profit. It’s about showing how… Read More »
The post Head, Financial Crime Compliance at Standard Chartered Bank appeared first on Udahiliportal.com.
Office Attendant at EWURA
Office Attendant at EWURA The Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) is an independent, world class regulatory authority responsible for licensing, tariff setting and quality of sendee regulation of the electricity, water, petroleum and natural gas sectors. EWURA has the following vacancies for which suitably qualified Tanzanian are invited to apply. CORPORATE AFFAIRS DIVISION Post Title: Office… Read More »
The post Office Attendant at EWURA appeared first on Udahiliportal.com.
Kabudi Atoa Sababu Tanzania Kutohudhuria Mikutano ya EAC, SADC
Senior Electricity Inspector at EWURA
Senior Electricity Inspector The Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) is an independent, world class regulatory authority responsible for licensing, tariff setting and quality of sendee regulation of the electricity, water, petroleum and natural gas sectors. EWURA has the following vacancies for which suitably qualified Tanzanian are invited to apply. THE ELECTRICITY DIVISION Post Title: Senior Electricity… Read More »
The post Senior Electricity Inspector at EWURA appeared first on Udahiliportal.com.
Waziri Kabudi Asema Zambia Haijafunga Mpaka Wake na Tanzania....."Hawajafunga Mpaka na Nina Barua Yao Wametuandikia"
" Nataka niwaambie Zambia haijafunga mpaka na Tanzania, narudia tena Zambia haijafunga mpaka na Tanzania ,haya si maneno yangu,ninayo barua kutoka kwa Waziri wa Mambo ya Nje nchini Zambia Joseph Malanji ambaye Mungu amemjaalia kujua lugha nyingi.
"Kwa hapa Tanzania anazungumza kinyakyusa , Kinyiha, Kinyamwanga, na jana na leo tumezungumza kwa Kiswahili. Naomba nisome barua yake japo ni jambo ambalo si la kawaida , ameniandikia barua ambayo imefika leo baada ya kufanyika kwa mazungumzo,"alisema Profesa Kabudi na kisha kuisoma barua hiyo iliyoandikwa kwa lugha ya Kingereza.
Profesa Kabudi alifafanua kwa mujibu wa barua hiyo ambayo imefafanua kwa kina kuwa Zambia haijafunga mpaka, imeeleza kuwa Kamati ya timu ya watalaamu kutoka Tanzania na Zambia watakutana kwa pamoja kuweka mambo sawa na kisha huduma kurejea kama kawaida.
SHIRIKA LA SEMA LATOA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA KWA WASAIDIZI WA KISHERIA ILONGERO MKOANI SINGIDA
Kampeni hiyo ilifanywa na Shirika lisilo la Kiserikali la Sustanable Environment Management Action (SEMA) kwa kushirikiana na wadau kutoka Taasisi ya Empower Youth Prosperity ( EYP) ya mkoani Mbeya kwa ufadhili wa Shirika la Stromme East Africa Foundation lenye Makao Makuu Kampala nchini Uganda huku ufadhili mkuu wa mashirika hayo ukitolewa na Shirika la Stromme Foundation la Norway kupitia mradi wa uwezeshaji jamii kiuchumi unaowalenga vijana wa kiume, wa kike, watoto na wakina mama.
Finance Team Leader at Hyatt
Finance Team Leader Summary Person responsible for below Account payable Cost control General cashier Qualifications To be Successful in This Role, You Will Require to Have; Minimum of two years’ experience in the industry and previous experience at a 5 start hotel. Certificate or qualification in Finance and/or Accounting. CLICK HERE TO APPLY
The post Finance Team Leader at Hyatt appeared first on Udahiliportal.com.
























