Friday, 24 January 2020

Jobs at Save the Children Tanzania January 2020

SAVE THE CHILDREN IN TANZANIA   Since the organization began operating in Tanzania in 1994 and prior to that in Pemba since 1986, the organization has grown tremendously and now operates throughout the country. With it’s head office in Dar es Salaam, with regional offices in Lindi, Shinyanga and Zanzibar.  Save the Children Tanzania works on seven thematic… Read More »

The post Jobs at Save the Children Tanzania January 2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Naibu Waziri Mabula Azindua Mpango Kabambe Wa Mji Wa Tunduma

Na Munir Shemweta, WANMM TUNDUMA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amezindua Mpango Kabambe wa miaka ishirini (2015-2035) wa Mji wa Tunduma katika mkoa wa Songwe na kuzitaka halmashaur zote nchini ambazo hazijaadaa mipango kabambe katika Miji yao kuandaa mpango kabambe ili kuongeza kasi ya kupanga na kupima miji yote Tanzania .

Naibu Waziri Mabula amezindua Mpango huo Kabambe wa Mji wa Tunduma jana katika mji wa Tunduma wilaya ya Momba mkoa wa Songwe wakati akiwa katika ziara yake ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi pamoja na kukagua utekelezaji wa miradi ya ujenzi inayotekelezwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).

Alisema, kukamilika kwa mpango kabambe wa mji wa Tunduma kumekuja wakati muafaka kwa kuwa mpango huo utachochea utumiaji fursa na rasilimali zilizopo Tunduma na kuongeza kasi ya upangaji, upimaji na umilikishaji wa ardhi sambamba na kupunguza au kumaliza migogoro ya ardhi.

‘’Mpango huu utachochea utekelezaji wa malengo ya muda mrefu ya serikali ya kuwa na uchumi wa kati wa viwanda na hii inajidhihirisha katika mpango kabambe wa Mji wa Tunduma pale jumla ya hekta 4190 sawa na asilimia kumi ya maeneo yaliyopangwa kwa matumizi ya ardhi zimetengwa kwa ajili ya viwanda’’ alisema Waziri Mabula.

Alitoa wito kwa Halmashauri na wadau wa maendeleo katika mji wa Tunduma kuandaa mkakati wa mpango kazi wa utekelezaji Mpango Kabambe sambamba na kutafuta wabia na wawekezaji kwa ajili ya kuwekeza kwenye sekta mbalimbali zilizoainishwa katika Mpango huo.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brigedia Jenerali Mstaafu Nicodemus Mwangela alisema Mapango Kabambe wa Mji wa Tunduma ni muhimu kwa mji huo kwa kuwa uko mpakani na una shughuli nyingi huku asilimia sabini ya mizigo ikipitia katika mji huo.

Alisema, Mji wa Tunduma unahitaji kutazamwa kwa macho mawili kwa kuwa muingiliano wa wananchi wa Tanzania na nchi za SADC ni mwingi na kusisitiza katika mkoa wake Mji wa Tunduma ni wa kwanza kuandaa Mpango Kabambe. 

Akielezea Mpango huo Kabambe wa Mji wa Tunduma, Katibu Tawala wa wilaya ya Momba Mery Marcko alisema, lengo la mpango huo ni kuwa kitovu cha biashara kwenye mkoa wa Songwe, Nyanda za Juu Kusini na Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara na kutaja maeneo ya kimkakati kuwa ni Kati Kati ya Mji wa Tunduma, Miji ndani ya Mji yaani Satellite Towns, Ukanda Maalum wa Kibiashara na Ukanda wa Viwanda.

Kwa mujibu wa Katibu Tawala wa Wilaya ya Momba, jumla ya miradi 24 itatekelezwa katika awamu ya kwanza (2015-2020) na kuitaja baadhi yake kuwa ni Kituo cha Mabasi cha Mpemba ambacho ujenzi wake umeanza, Barabara ya lami kutoka Mpemba hadi Isongole itakayounganisha eneo la Mpemba na nchi jirani ya Malawi kupitia Isongole (Ileje), Ujenzi wa hospitali ya Mji wa Tunduma na ukamilishaji ujenzi wa miundo mbinu ya maji  pamoja na ujenzi wa maegesho ya malori unaojengwa katika kata ya Chapwa. 


Share:

Naibu Waziri Mabula Aipa NHC Miezi Mitano Kukamilisha Mradi Wa Ujenzi Nyumba Za Makazi Sumbawanga

Na Munir Shemweta, WANMM RUKWA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi amelitaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuhakikisha inakamilisha mradi wake wa ujenzi wa nyumba za Makazi za Jangwani katika Manispaa ya Sumbawanga mkoa wa Rukwa katika kipindi cha mwaka huu wa fedha 2019/2020.

Akizungumza wakati akikagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa nyumba hizo za makazi wenye jumla ya nyumba ishirini za ghorofa moja jana katika Manispaa ya Sumbawanga mkoa wa Rukwa Naibu Waziri Mabula alisema mradi huo lazima ukamilishwe mapema kwa kuwa fedha iliyotumika ni nyingi.

Kauli hiyo ya Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi inafuatia kuelezwa na Mkuu wa mkoa wa Rukwa Joachim Wangabo kuwa mradi huo umekuwa ukimsumbua kutokana na kuchukua muda mrefu bila kukamilika na hivyo kuufanya mkoa kutojua hatma yake wakati uhitaji wa nyumba za kupanga katika manispaa ya Sumbawanga ni mkubwa.

‘’ Naungana na RC kuwa mradi huu umechukua muda mrefu hivyo ni lazima uishe katika mwaka huu wa fedha wa kiserikali na April mwaka huu 2020 narudi hapa Sumbawanga’’ alisema Dkt Mabula.

Kwa mujibu wa Meneja Mawasiliano wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Muungano Saguya, mradi huo wa ujenzi wa nyumba za Makazi Jangwani katika Manispaa ya Sumbawanga ulianza mwezi Juni 2014 na ulisimama kupisha uchunguzi baada ya kuwepo tuhuma za ubadhilifu kwenye mradi huo.

Hata hivyo, Saguya alisema kiasi cha shilingi milioni 366.2 kinahitahika kumalizia mradi huo na tayari Shirika lake limejipanga na maandalizi kwa ajili ya ukamilishaji mradi yamekamilika na muda wowote umaliziaji nyumba hizo utaanza.

Mradi huo wa Nyumba za Makazi Jangwani katika Manispaa ya Sumbawanga mkoa wa Rukwa ambao nyumba moja ilishanunuliwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHF) zikikikamilika zitapangishwa na zitaweza kuliingizia Shirika la Nyumba la Taifa kiasi cha shilingi 5,400,000 kila mwezi.


Share:

Makusanyo Kiduchu Halmashauri Za Mkoa Wa Rukwa Yamchefua Naibu Waziri Mabula

Na Munir Shemweta, WANMM RUKWA
Makusanyo ya kodi ya pango la ardhi katika halmashauri za mkoa wa Rukwa yamemvuruga Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula baada ya kuelezwa kuwa hadi kufikia Desemba 2019 jumla ya shilingi milioni 148.2 zilikusanywa na halmashauri zote nne sawa na asilimia 7.9 .

Akiwa  katika ziara yake ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi katika mkoa wa Rukwa jana ambapo alikutana na watumishi wa sekta ya ardhi, Dkt Mabula alishangazwa na namna maafisa ardhi wa halmashauri hizo wasivyofuatilia makusanyo ya kodi ya pango la ardhi kiasi cha kuzifanya halmashauri hizo kukusanya kiasi kidogo cha fedha.

Alisema, haiwezekani ndani ya miezi sita halmashauri nne za mkoa wa Rukwa zikusanye asilimia 7.9 ya kodi ya pango la ardhi jambo alilolieleza kuwa linatia mashaka kama halmashauri hizo zitaweza kufikisha hata asilimia hamsini ya makusanyo ya kodi ya pango la ardhi kufikia mwisho wa mwaka wa fedha 2019/2020.

Kwa mujibu wa Taarifa ya mkoa wa Rukwa iliyosomwa na Mrasimu Ramani wa mkoa wa Rukwa Kelvin Maungi, katika kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 halmashauri za mkoa huo  zilikadiriwa kukusanya jumla ya sh 1,880,000,000.00 ambapo Manispaa ya Sumbawanga ilikusanya kiasi cha sh. 94,253,273.00, Halmashauri ya wilaya ya Nkasi sh. 16,494,189.00, Kalambo sh 1,793,550.00 na Halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga sh 35,680,575.00 na hadi hadi Desemba 2019 jumla ya shilingi 148,221,587.00 zilikusanywa kwa halmashauri zote sawa na asilimia 7.9.

‘’Wakurugenzi wako busy na masuala mengine, mkoa mzima una silimia 7.9 ya makusanyo ya kodi ya pango la ardhi! ni aibu na hamuwezi kufikia asilimia 50 ya makusanyo naagiza wote mkafanye uhakiki wa wadaiwa wa kodi ya ardhi na muwapelekee ilani ili watakaokaidi wafikishwe kwenye Mabaraza ya Ardhi’’ alisema Dkt Mabula.

Aidha, Naibu Waziri Mabula aliagiza kufikia Machi 2020 lazima kuwe na mabadiliko ya utendaji kazi kwenye sekta ya ardhi kwa halmashauri za mkoa wa Rukwa, vinginevyo atafikiria kama wakuu wa idara wanatosha kuendelea na nafasi zao na kusisitiza kama ni Mkuu wa Idara au Afisa Ardhi Mteule ataondolewa.

Dkt Mabula alisema mikoa yote aliyoitembelea kwenye ziara zake za kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi imefikisha asilimia thelathini ya makusanyo ya kodi ya ardhi lakini mkoa wa Rukwa umemsononesha sana na kumuagiza Kamishna wa Ardhi Msaidizi Kanda Thadei Kabonge atoe maelezo kuhusiana na utendaji kazi wa Wakuu wa idara kama wanafaa kushika nafasi zao.

Hata hivyo, Naibu Waziri Mabula alibainisha kuwa kulingana na taarifa zilizokuwa kwenye mfumo wa kielektronik Manispaa ya Sumbawanga ilitakuwa kukusanya Bilioni 6.7, Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga milioni 20, Kalambo milioni 1.6 na Nkasi milioni 16 hiyo inatokana na halmashauri hizo kuwa na malimbikizo ya wadaiwa kodi ya pango la ardhi.


Share:

Wamiliki Wa Viwanda Watakiwa Kutoa Kushirikiano Ofisi Ya Taifa Ya Takwimu

Na: Mwandishi Wetu
Wamiliki wa Viwanda nchini wametakiwa kutoa ushirikiano wa kutosha katika Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ili kukuza sekta hiyo ambayo imekuwa ni chachu ya maendeleo kwa Taifa.

Maagizo hayo yametolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshugulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (Mb) alipokuwa akifungua Mkutano wa Tatu wa wa Baraza la Tano la Wafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu ambapo alipokea taarifa ya changamoto ambazo Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imekuwa ikikabiliana nazo ikwemo suala la wenye viwanda kutokutoa ushirikiano wakati ofisi hiyo inapokusanya takwimu viwandani.

Waziri Mhagama alieleza kuwa Serikali imejiwekea mikakati maalumu katika kukuza sekta ya viwanda, ili kufikia maendeleo ya sekta hiyo taarifa sahihi zenye takwimu zilizochakatwa ni muhimu zikawepo katika kufanya maamuzi stahiki na kupanga mikakati ya maendeleo.

“Ili kufikia lengo la kuinua uchumi wa nchi, ni muhimu wenye viwanda wakatambua umuhimu wa uwepo wa takwimu sahihi ambazo zitaleta tija na ustawi wa sekta hiyo na hayo yamejidhihirisha hasa kupitia dhamira ya Serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli katika kukuza uchumi wa nchi kupitia viwanda,” alieleza Mhagama

Aliongeza kuwa uwepo wa ushirikiano huo utaleta tija na ustawi wa sekta hiyo kutokana na upatikanaji wa taarifa za takwimu mbalimbali kuhusina na viwanda vilivyopo nchini ikiwemo tafiti za uzalishaji wa viwanda, kujua masula ya ajira, ujuzi ambao haupo nchini na umekuwa ukitoa ajira kwa wageni wa nje na pia kujua mahusiano ya ukuaji wa uchumi na sheria za kazi zinavyoshahabiana.

Sambamba hayo Waziri Mhagama ametoa maagizo kwa Kamishana wa Kazi kuhakikisha anashirikiana na kuwahusisha wataalamu wa takwimu wanapokuwa wanafanya kaguzi kwenye viwanda mbalimbali hapa nchi ili takwimu zitakazokuwa zinahitajika ziweze kupatina.

 “Jukumu kubwa mlilonalo wakati huu ni kuwapatia elimu ili watambue umuhimu wa kuwepo kwa takwimu za sekta hiyo na baada yah apo watakuwa na uelewa kuwa ni wajibu wao kutekeleza suala hilo kisheria,” alisema Mhagama

Naye Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dkt. Albina Chuwa alieleza kuwa ushirikiano utakao kuwepo baina ya wataalamu kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Idara ya Kazi na Wizara ya Viwanda na Biashara utasaidia kuimarisha njia bora ya ukusanyaji wa takwimu za sekta hiyo.


Share:

Senior Tax Associate at KPMG East Africa

KPMG is a leading provider of professional services, which include audit, tax and advisory. The aim of KPMG is to inspire confidence and empower change. KPMG has a notable ‘African Footprint’ and is well used to serving clients across the continent. Our East Africa practice comprises Tanzania, Kenya, Uganda and Rwanda. We are seeking dynamic individuals to take… Read More »

The post Senior Tax Associate at KPMG East Africa appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Jobs at the US Embassy Tanzania -January 2020

Jobs at the US Embassy Tanzania -January 2020   Supervisory Budget Analyst/Accounting Technician-Click here to Apply The U.S. Mission in Dar es Salaam is seeking eligible and qualified applicants for the position of Supervisory Budget Analyst/ Accounting Technician in the Financial Management Section. Salary:(TZS) TSh48,361,493/Per Year Series/Grade:LE – 0405 – 9 Agency:Embassy Dar Es Salaam Position Info: Location:Dar… Read More »

The post Jobs at the US Embassy Tanzania -January 2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa January 24



















Share:

Rocktools Manager Job Vacancy at Sandvik Mwanza Tanzania

Sandvik Mining and Rock Technology is looking for a Rocktools Manager Currently we have an opening for a Rocktools Manager located in Mwanza, Tanzania. The successful applicant will be responsible for managing the sales, distribution, implementation and profitability of the Rock Tools department. This role is crucial in the technical and application support for Rock Tools within the business area.… Read More »

The post Rocktools Manager Job Vacancy at Sandvik Mwanza Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Child Protection Coordinator Job vacancy at Save the Children Kigoma- Tanzania

Child Protection Coordinator Job Vacancy at Save the Children Kigoma- Tanzania Job Description Child Protection Coordinator – (200000KH) TITLE: CHILD PROTECTION COORDINATOR TEAM/PROGRAMME: Child Protection LOCATION: Kigoma region Refugee Camp GRADE: 3 CONTRACT LENGTH: 1 year, renewable CHILD SAFEGUARDING: Level 3: the post holder will have contact with children and/or young people either frequently (e.g. once a week… Read More »

The post Child Protection Coordinator Job vacancy at Save the Children Kigoma- Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Thursday, 23 January 2020

PHYSIOTHERAPIST ASSISTANT – 1 POST | KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC)

POST PHYSIOTHERAPIST ASSISTANT – 1 POST POST CATEGORY(S) HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL EMPLOYER KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC) APPLICATION TIMELINE: 2020-01-22 2020-02-05 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES (i)Receiving and preparing patients on the area of physiotherapy; (ii)Preparing a room/space for patients treatment; (iii)Establishing patients’ records before start receiving treatmen; (iv)Offering physiotherapy treatment under the guidance of the physiotherapist such… Read More »

The post PHYSIOTHERAPIST ASSISTANT – 1 POST | KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

NURSING OFFICER II – 1 POST | KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC)

POST NURSING OFFICER II – 1 POST POST CATEGORY(S) HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL EMPLOYER KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC) APPLICATION TIMELINE: 2020-01-22 2020-02-05 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES (i)Providing health education to patients and relatives; (ii)Communicating effectively internally and externally; (iii)Ensuring that prescribed instructions are carried out; (iv)Setting and communicating standards of nursing care to the ward/department; (v)which are… Read More »

The post NURSING OFFICER II – 1 POST | KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

NURSE II – 3 POST | KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC)

POST NURSE II – 3 POST POST CATEGORY(S) HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL EMPLOYER KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC) APPLICATION TIMELINE: 2020-01-22 2020-02-05 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES (i)Delivering quality health care to patients; (ii)Creating and maintaining harmonious working environment to all personnel; (iii)Liaising with staff in other disciplines who are contribution towards promoting well-being of patients; (iv)Involving patients and… Read More »

The post NURSE II – 3 POST | KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

ASSISTANT NURSING OFFICER II – 7 POST | KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC)

POST ASSISTANT NURSING OFFICER II – 7 POST POST CATEGORY(S) HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL EMPLOYER KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC) APPLICATION TIMELINE: 2020-01-22 2020-02-05 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES (i)Delivering high quality nursing care to patients; (ii)Organizing and assisting clients and relatives towards patients’ well-being; (iii)Creating and maintaining harmonious working environment to all personnel; (iv)Liaising with staff in other… Read More »

The post ASSISTANT NURSING OFFICER II – 7 POST | KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

LIVE: Hafla Ya Kukabidhi Nyumba Za Maafisa Na Askari Wa Magereza . Ukonga Dsm

LIVE: Hafla Ya Kukabidhi Nyumba Za Maafisa Na Askari Wa Magereza . Ukonga Dsm


Share:

Nafasi MPYA Za Kazi 200 Zilizotangazwa Mwezi Huu...Zipo za Benki na Mashirika Mbalimbali....BOFYA HAPA

Share:

Halmashauri Ya Wilaya Ya Ushetu Yapisha Bajeti Ya Shilingi Bilioni 30.7 Kwa Mwaka Wa Fedha 2020/21

SALVATORY NTANDU
Baraza la madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Ushetu mkoani Shinyanga imepitisha Makadirio ya bajeti ya shilingi bilioni 30.744  itakayotumika katika mwaka wa fedha 2020/2021 ikiwa na ongezeko la asilimia 16 ya bajeti ghafi ya mwaka 2019/2020.

Akisoma Bajeti  hiyo Jana Januari 21 mwaka huu  kwa niaba ya Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Ushetu, Afisa Mipango wa Halmashauri hiyo Adrew Hagamu katika kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika makao makuu ya Halmashauri hiyo Nyamilangano.

Hagamu alifafanua kuwa  fedha hizo zimegawanywa katika makundi ya fuatayo, shilingi bilioni 2,522,160,000 ni fedha za makusanyo ya ndani, shilingi bilioni 19,551,691,536 bajeti ya mishahara - Ruzuku (PE), shilingi bilioni 2,159,872,650 bajeti ya Matumizi mengineyo, na shilingi bilioni 6,510,851,707 za program za maendeleo.

“Jumla kuu ya fedha ambazo tunatarajia  kuzitumia katika bajeti ya mwaka 2020/21 ni shilingi bilioni 30,744,575,893 , zitatumika kuendesha shughuli zote za umma ikiwemo kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo imepitishwa baada ya kuibuliwa na wananchi kupitia kamati zao za maendeleo alisema Hagamu.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo,  Wandere Lwakatare alisema bajeti hiyo imezingatia vipaumbele vyote muhimu vya maendendeleo hususani katika sekta za afya, elimu, na Miundombinu  ili kuhakikisha kero zilizopo katika sekta hizo zinapatiwa ufumbuzi.

“Waheshimiwa madiwani tutahakikisha miradi  yote ambayo meiibua na imepitishwa katika  bajeti hii ya mwaka huu tunaitekeleza katika kata zenu,hakikisheni mnatoa ushirikiano kwa serikali katika ukusanyaji wa mapato husasani kati vyanzo ambavyo vipo katika maeneo yenu ya kazi” alisema Lwakatare.

Akizungumza kwa niaba ya Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu Makamo mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Tabu Katoto ambaye ni Diwani kata ya Igunda alisema kuwa bajeti hiyo imezingatia mapendekezo ya miradi mbalimbali iliyoibuliwa na wananchi kupitia kamati zao za maendeleo za vijiji na kata.

“Nitoe rai kwa mkurugenzi na wataalamu wa halmashauri hii hakikisheni mnatekeleza bajeti hii kikamilifu ili wananchi tunaowatumikia wawezekufaika nay ale ambayo tumeyaahidi kuyatekeleza kupitia ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) fedha za miradi kama vile afya na elimu zipelekwe kwa wakatika katika maeneo husika”alisema Katoto.

Bajeti hii imeongeza kwa asilimia 16 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka 2019-2020 ambayo ilikuwa shilingi bilioni 25,892,445,461.

Mwisho.


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger