Thursday, 24 October 2019

IT Professional Job at GIZ

IT Professional GIZ assists the German Government in achieving its objectives in the field of international cooperation. We offer demand-driven, tailor-made and effective services for sustainable development worldwide. Our actions are guided by the principles of sustainability.We advocate for human rights, equal opportunities and integrity, and we promote market-oriented, ecological and social economic development. We work to shape… Read More »

The post IT Professional Job at GIZ appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Reservation & Ticketing Sales Agent & Sales Manager Northern & Lake Zone, Jobs

Precision Air Services Plc is a fast growing private Tanzanian airline which operates in Partnership with Kenya Airways, with its strategies to expand wings beyond East Africa and Africa. In order to keep our services at a higher level and meet our customers’ maximum satisfaction, we wish to invite applications from suitably qualified candidates to fill in this… Read More »

The post Reservation & Ticketing Sales Agent & Sales Manager Northern & Lake Zone, Jobs appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Internal Auditor Jobs at TAZARA

The Tanzania-Zambia Railway Authority (TAZARA) is a statutory institution owned by the two Governments of the United Republic of Tanzania and the Republic of Zambia on a 50/50 shareholding basis. The Authority is incorporated by the Acts of Parliament of the two contracting states, with its Registered Head Office being in Dar es Salaam,Tanzania and two Regional Administrative… Read More »

The post Internal Auditor Jobs at TAZARA appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Reservation & Ticketing Sales Agent Jobs at Precision Air

  Precision Air Services Plc is a fast-growing private Tanzanian airline which operates in Partnership with Kenya Airways, with its strategies to expand wings beyond East Africa and Africa. In order to keep our services at a higher level and meet our customers’ maximum satisfaction, we wish to invite applications from suitably qualified candidates to fill in this… Read More »

The post Reservation & Ticketing Sales Agent Jobs at Precision Air appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Sales Manager Northern & Lake Zone Jobs at Precision Air

  Precision Air Services Plc is a fast growing private Tanzanian airline which operates in Partnership with Kenya Airways, with its strategies to expand wings beyond East Africa and Africa. In order to keep our services at a higher level and meet our customers’ maximum satisfaction, we wish to invite applications from suitably qualified candidates to fill in… Read More »

The post Sales Manager Northern & Lake Zone Jobs at Precision Air appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

SUA:SECOND BATCH OF ADMISSIONS INTO POSTGRADUATE PROGRAMMES DURING 2019/2020 ACADEMIC YEAR

The following applicants have been selected to join various higher degree programmes offered by Sokoine University of Agriculture (SUA) during 2019/2020 academic year. The prospective Students are advised to observe the following: Applicants who did not indicate contact information (Physical and/or Email addresses) on their application forms should arrange to either: i) visit the Directorate of Postgraduate Studies, Research,… Read More »

The post SUA:SECOND BATCH OF ADMISSIONS INTO POSTGRADUATE PROGRAMMES DURING 2019/2020 ACADEMIC YEAR appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Project Officer – Gender & Advocacy at World Vision Tanzania

Project Officer – Gender & Advocacy at World Vision Tanzania Purpose of the position: To coordinate the development of ENRICH project Gender and Advocacy strategy and oversee the implementation of the strategy. The gender specialist will be responsible for facilitating training on gender equality and Advocacy for staff and partners and for monitoring gender equality and advocacy results.… Read More »

The post Project Officer – Gender & Advocacy at World Vision Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

HESLB Loan Allocation phase One- 2019/2020

The Higher Education Student Loan Board (HESLB) has announced the first phase list consisting of 30,675 First Year students for the 2019/2020 academic year who have successfully secured loans worth TZS 113.5 billion. In the current academic year, the Government has allocated TZS 450 billion aimed at benefiting a total of 128,285 students . Of these, more than 45,000 students are first-year students and another 83,285 are undergraduate creditors. In 2018/2019, the allocated funds grew to TZS 427.5 billion and benefited a… Read More »

The post HESLB Loan Allocation phase One- 2019/2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Majina ya waliopata mkopo 2019/20 pdf – List of HESLB loan beneficiaries 2019/20

Check Find full details about majina ya wanafunzi waliopata mkopo 2019/2020 HESLB bodi ya mikopo yatoa majina –  HESLB loan allocation 2019/20 – list of HESLB loan beneficiaries 2019/20 The Higher Education Students’ Loans Board (HESLB) has release the First bach ( Batch one ) of Successful Loan Applicants 2019/20 to the public. You can download the list… Read More »

The post Majina ya waliopata mkopo 2019/20 pdf – List of HESLB loan beneficiaries 2019/20 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

MZUMBE UNIVERSITY SELECTION‐A COMPLETE LIST (AFTER ROUND FOUR) 2019

MZUMBE UNIVERSITY‐A COMPLETE LIST (AFTER ROUND FOUR) OF SELECTED CANDIDATES FOR VARIOUS BACHELOR DEGREE PROGRAMMES FOR MAIN CAMPUS-MOROGORO (MU) AND MBEYA CAMPUS COLLEGE (MMB) FOR 2019/20 CLICK HERE TO DOWNLOAD THE LIST   NOTICE FOR SELECTED BACHELOR DEGREE CANDIDATES: Payment Control Numbers  for paying tuition fee and other contributions  are on preparation,They will be available soon at your application… Read More »

The post MZUMBE UNIVERSITY SELECTION‐A COMPLETE LIST (AFTER ROUND FOUR) 2019 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Mzumbe University: Registration& Orientation Date Released

Mzumbe University: Registration& Orientation 2019/2020 TO ALL FIRST YEAR STUDENTS (DEGREE & NON-DEGREE) STAGES IN REGISTRATION PROCESS FOR 2019/20 ACADEMIC YEAR We congratulate all candidates who are selected into various undergraduate and postgraduate programmes for the year 2019/20. Please observe the following when you report for registration; Make sure you download your admission letter and joining instructions in… Read More »

The post Mzumbe University: Registration& Orientation Date Released appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

VIDEO | Rosa Ree Ft. Fik Fameica – Acha Ungese

VIDEO | Rosa Ree Ft. Fik Fameica – Acha Ungese


Share:

PICHA: Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa Akisalimiana Na Rais Wa Urusi Vladimir Putin

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimaiana na Rais wa Urusi, Vladimir Putin katika hafla ya kuwakaribisha Wakuu wa Nchi na Serikali kutoka mataifa ya  Afrika  wanaoshiriki katika Mkutano baina ya Urusi na Afrika unaofanyika  Sochi nchini Urusi, Oktoba 23, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)



Share:

Matumizi Ya Tehama Yameimarisha Usalama Wa Taarifa Na Huduma Za Serikali

Na Ismail Ngayonga,MAELEZO
SERA ya Taifa ya TEHAMA ya mwaka 2003, pamoja na mambo mengine inasisitiza juu ya Serikali kutumia fursa za TEHAMA katika utendaji kazi wa kila siku na utoaji huduma kwa wananchi.

Katika kutekeleza sera hiyo, mwaka 2004 Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma (OR-MUU) ilianza kuchukua hatua mbalimbali kuongeza matumizi ya TEHAMA katika kuimarisha mifumo ya utoaji habari na huduma kwa wananchi.

Baadhi ya hatua hizo ni pamoja na kuanza utekelezaji wa dhana ya Serikali Mtandao iliyokuwa sehemu ya utekelezaji wa Programu ya Mabadiliko katika Utumishi wa Umma (Public Service Reform Programu – PSRP).

Programu hiyo ililenga kuongeza ufanisi katika utendaji kazi na uboreshaji wa utoaji huduma kwa umma. Pamoja na mambo mengine, Wizara, Idara Zinazojitegemea, Wakala za Serikali, Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa ziliwezeshwa kuwa na mifumo imara ya Menejimenti ya Habari.

Aidha, Serikali iliziwezesha taasisi za umma kuwa na Tovuti zake ambapo hadi kufika mwaka 2010 takribani Taasisi zote za Serikali zilikuwa na Tovuti, ambapo kwa sasa matumizi ya TEHAMA yameongezeka kwa kasi Serikalini na zimeongeza uwazi, ufanisi, uwajibikaji na tija katika utoaji wa huduma kwa wananchi.

Akiwasilisha Hotuba ya Makadirio ya Bajeti ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2019/2020, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika anasema Serikali imeendelea kusimamia matumizi ya mifumo na miundombinu ya TEHAMA Serikalini ili kuongeza ufanisi na usalama wa taarifa za Serikali.

Anaongeza kuwa mifumo na miundombinu hiyo ni pamoja na Vituo Vikuu vya Kuhifadhi Mifumo  na Taarifa za Serikali kwa kuongeza Taasisi mpya 13 hivyo kufanya jumla ya taasisi zilizohifadhi mifumo na taarifa zao kufikia 43, Mfumo wa barua pepe Serikalini (GMS) kwa kuongeza taasisi mpya 39 na kufanya jumla ya taasisi zilizounganishwa kufikia 398.

Anaitaja mifumo na miundombinu mingine ni  Mfumo wa Ofisi Mtandao (e-office) kwa kuongeza taasisi  mpya  15  na  kufanya jumla ya taasisi zilizounganishwa kufikia 48, Mfumo wa kutoa huduma kwa Umma kupitia simu za Mkononi (Government Mobile Platform (GMP) kwa kuongeza taasisi mpya 24 na kufanya jumla ya taasisi zilizounganishwa kufikia 146.

Kwa mujibu wa Mkuchika anasema Serikali ilitoa mafunzo ya utekelezaji wa Serikali Mtandao kwa kwa Viongozi, Wasimamizi wa TEHAMA na watumiaji wa huduma za Serikali Mtandao kwa Taasisi za Umma 98 ili kuongeza uelewa na uwezo wa Taasisi hizo katika kutumia TEHAMA, kuongeza ufanisi wa kiutendaji na utoaji wa huduma kwa wananchi.

Waziri Mkuchika anasema Serikali pia ilitoa ushauri wa kitaalam kwenye maeneo ya Serikali Mtandao kwa Taasisi za Umma 23 ili kuhakikisha kwamba uwekezaji unaofanywa na Serikali kwenye TEHAMA unatoa matokeo yaliyokusudiwa.

‘‘Msaada wa kiufundi umetolewa kwa Taasisi za Umma 252 kupitia Mfumo wa Kutoa Msaada na Huduma kwa Wateja (Helpdesk System) unaopatikana saa ishirini na nne (24/7)’’ anasema Waziri Mkuchika.

Akifafanua zaidi Waziri Mkuchika anasema Mifumo mikubwa ya TEHAMA imetengenezwa kwa Taasisi za Umma kwa lengo la kuboresha utendaji kazi, kuboresha utoaji huduma kwa umma, kurahisisha ukusanyaji wa mapato na kuondoa mianya ya rushwa.

Anaitaja baadhi ya mifumo iliyotengenezwa ni pamoja na Mfumo wa Tiketi za Kieletroniki kwa Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL), Mfumo wa kusajili wahandisi kwa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) na Mfumo wa kufanya usajili wa wataalam wa ununuzi na ugavi kwa Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB).

‘’Wataalam wa Wakala ya Serikali Mtandao 11 wamewezeshwa kupata  mafunzo yanayotolewa na Bodi mbalimbali za Kitaalam kwenye maeneo ya usalama mtandao, miundombinu na utengenezaji wa Mifumo na Vile vile watumishi 7 wamewezeshwa kupata mafunzo ya muda mrefu katika ngazi ya Stashahada, Uzamili na Uzamivu’’ anasema Waziri Mkuchika.

Matumizi ya TEHAMA yameisaidia Serikali kuongeza uwazi, ufanisi, uwajibikaji na tija katika utoaji wa huduma kwa wananchi hususani katika zama hizi ambazo  taarifa na huduma za Serikali zimekuwa zikitolewa kwa njia ya nyaraka kupitia muundo wa karatasi.


Share:

Waziri Jafo Azitaka Mamlaka Za Serikali Za Mitaa Kuwatumia Ipasavyo Wataalam Sekta Ya Maendeleo Ya Jamii.

Na Mwandishi Wetu Dodoma
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Suleiman Jafo ameagiza Wizara yake kuhakikisha wataalam wa sekta ya maendeleo ya jamii wanapewa jukumu la kusimamia kazi  ya  Bima ya Afya ya Jamii (CHF) Iliyoboreshwa katika ngazi ya Mkoa na Halmashauri kwa kuwa ndio wenye utaalam wa kuhamasisha jamii.

Waziri Jafo ameyasema hayo wakati wa kufunga Kongamano la Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wataalam wa Sekta ya Maendeleo ya Jamii lililofanyika jijini Dodoma kwa siku tatu nakuwataka wataalam hao kutumia taaluma yao iposavyo kufanikisha zoezi hilo.

Aidha Waziri Jafo aliongeza kuwa kazi hiyo imekuwa ikitekelezwa na wataalam wa sekta ya Afya ambao kitaaluma wana fani ya tiba na madawa lakini linapokuja suala la uhamasishaji wa jamii kuhamasika kushiriki masuala ya maendeleo ni wataalam wa maendeleo ya jamii waliobobea katika fani hiyo.

“Katika wafanyakazi ambao wamekuwa hawapewi kipaumbele na kudhalauliwa katika maeneo yao ya kazi ni wataalam wa maendeleo ya jamii lakini sasa wakati umefika kuwapatia vitendea kazi na kuwatumia katika shughuli zote za maendeleo ya Taifa”. Aliongeza Waziri Jaffo.

Aidha Waziri Jafo aliongeza kuwa kwa kipindi kirefu wataalam hawa wamekuwa hawatumiki ipasavyo na badala yake wamekuwa wakitumiwa wakati wa dharula au katika kazi za zimamoto wakati ukiangalia watumishi wengi wa serikali wataalam hawa ni moja ya kada yenye wasomi wengi.

Kufuatia ari hiyo waziri Jafo ameagiza mamlaka zilizochini ya Serikali za mitaa Nchini kuboresha mazingira ya kufanyia kazi ya wataalam wa sekta ya maendeleo ya jamii kwa kuwapatia vitendea kazi ikiwemo kuhakikisha wanapatiwa magari ili waweze kufuatilia kazi zao vizuri tofauti na sasa ambapo mazingira yao ya kazi yana hali duni.

Waziri Jafo pia amewataka wataalam hao wa maendeleo ya jamii kujiamini katika utendaji kazi wao na kuhakikisha wanasimamia misimamo katika vikao vya mbalimbali vya maamuzi ikiwemo CMT ili waweze kukubalika na kuaminika kama ilivyo kada nyingine katika maeneo yao ya kazi.

Waziri huyo amewaagiza watendaji kazi wote serikalini kufanya kazi kwa bidii ili hata mtumishi akienda likizo wanaobaki ofisini waone umuhimu wake lakini kama mtumishi akiama au kwenda likizo na watu wasione upungufu wowote ujue mtumishi huyo hatoshi katika eneo hilo.

Wakati huohuo Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu katika salamu zake kwa waziri huyo alisema kuwa kongamano la wataalam wa maendeleo wa jamii limekuwa na mada ambazo kimsingi zitawaletea mabadiliko katika utendaji kazi wao ikiwemo mada ya kuamsha ari ya wananchi kuoresha makazi yao.

Aidha Dkt Jingu amesema kongamano hilo limekuja na maadhimio na mapendekezo yanayoangazia namna bora ya utendaji kazi wao lakini kutokana na kongamano hilo wataalam hawa wamejiwekea malengo yanayopimika kwa mstakabali wa taaluma yao.

Wataalamu wa Sekta ya Maendeleo ya Jamii wanakutana Jijini Dodoma katika Mkutano Mkuu wao wa mwaka kwa lengo la kukumbushana majukumu yao lakini pia kupata maarifa mapya kutoka mada mbalimbali zitakazotolewa katika mkutano huo wa siku nne.

MWISHO.


Share:

Jafo Aziagiza Halmashauri Zote Nchini Kufungua Akaunti Maalum Ya Fedha Za Wanawake, Vijana Na Walemavu

Na Mwandishi Wetu Dodoma
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Bw. Suleiman Jafo ametao mwezi mmoja kwa Halmashauri zote Nchini kuhakikisha zinafungua akaunti maalum ya Benki kwa ajili ya fedha za maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu.

Waziri Jafo ametoa agizo hilo jana wakati akifunga kongamano la wataalam wa Sekta ya Maendeleo ya Jamii jijini Dodoma nakuwataka wataalam hao kuhakikisha wanakwenda kusimamia zoezi hilo na kukamilisha katika kwa kipindi cha mwezi mmoja.

‘’Natoa maagizo ifikapo Novemba, 30 kila Halmashauri Nchini iwe imefungua akaunti maalum ya Benki kwa ajili fedha ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kwa kuwa fedha zikitolewa katika mfumo wa sasa zinakuwa kama zinaelea’’. Alisitsiiza Waziri Jaffo.

Aidha Waziri Jafo aliongeza kuwa fedha hizi zinapotelewa bila akaunti hiyo inakuwa vigumu kwa serikali kuzifanyia tathimini hivyo kuwaimiza wataalam wa sekta ya maendeleo ya jamii katika Halmashauri zao kuhakikisha wanatekeleza agizo hilo ili malengo na matumizi ya fedha hizo yaweze kufanyiwa tathimini.

Pamoja na kutoa agizo hilo Waziri Jafo pia ameongeza kuwa ili jamii iweze kuleta mabadiliko yanayotakiwa suala la kutumia wataalam wa maendeleo ya jamii halikwepiki kwa sasa wakati jamii inataka mabadiliko ya haraka kuelekea Tanzania ya viwanda.

Wataalam hawa ni chachu ya mabadiliko na katika mashirika makubwa duniani wataalam wa maendeleo ya jamii wamekuwa wakitumiwa sana ili kuleta mabadiliko katika nyanja mbalimbali na wamekuwa msaada mkubwa kitaifa na kimataifa.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Idara Kuu Maendeleo ya Jamii Dkt. John Jingu katika hotuba yake kwa Waziri huyo aliongeza kuwa kongomano hilo lilikuwa na mjadala mkubwa kuhusu kuhamasisha jamii kujiletea maendeleo  kwa kutumia istilahi zilizoko katika jamii akitolea mfano wa istilahi maalufu kwa mikoa ya ya kati ijulikanayo kama Msalagambo.

Aidha Dkt. Jingu aliongeza kuwa matokeo ya kongamano hilo pia nikuwafanya wataalam hao wajione kuwa wao ni chachu ya maendeleo katika kuhamasisha wananchi kuwa na ari ya kujiletea maendeleo.

Wakati huo huo Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka TAMISEMI aliyemwakilisha Katibu Mkuu wa Wizara yake katika Kongomano hilo Bw.John Miayo Cheo aliwataka wataam wa maendeleo ya jamii kutumia taaluma yao kuhamasisha wananchi kugombea nafasi za uongozi ili waweze kuwa viongozi wa kufuatia uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa.

Wataalamu wa Sekta ya Maendeleo ya Jamii wamekutana Jijini Dodoma katika Mkutano Mkuu wao wa mwaka kwa lengo la kukumbushana majukumu yao lakini pia kupata maarifa mapya kutoka mada mbalimbali zitakazotolewa katika mkutano huo wa siku nne


Share:

Wanafunzi 8 waliochoma mabweni shule ya sekondari Kiwanja wafukuzwa

Wanafunzi nane wa Shule ya Sekondari Kiwanja, wilayani Chunya, wamefukuzwa shule kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo kuchoma mabweni ya shule hiyo pamoja na kukutwa na simu na vitu vingine ambavyo haviruhusiwi shuleni.

Uamuzi huo umetangazwa jana  shuleni hapo na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, alipoenda kuangalia maendeo ya ukarabati wa mabweni hayo ambapo amesema uamuzi huo umefanywa na Bodi ya Shule hiyo kabla haijavunjwa.

Chalamila amesema wanafunzi saba kati ya waliofukuzwa wanakabiliwa na kesi ya kuchoma mabweni ya shule mwanzoni mwa mwezi Oktoba mwaka huu na kuisababisha serikali hasara kubwa. Na mwanafunzi mmoja amefukuzwa kosa la kukutwa na simu pamoja  na kondomu kwenye begi lake wakati akirejea shuleni.

“Hao wote wanaokabiliwa na kesi wamefukuzwa, lakini wanaunganishwa na huyo ambaye alirejea tena shuleni akiwa na simu kwenye begi lake pamoja na kondomu, inaonyesha hii shule mnabakana sana, sasa ole wenu tuje tuwakamate” amesema Chalamila.

Aidha, Chalamila amesema kwa wanafunzi ambao bado hawajakamilisha malipo yao hawataruhusiwa kuingia darasani mpaka Novemba 1, mwaka huu ambapo watatakiwa kupeleka risiti za malipo na barua ya kukiri kosa na kueleza sababu ya kwanini wamechelewa. Na endapo watakiuka agizo hilo Bodi ya Shule itatakiwa ikae na kufanya maamuzi mengine dhidi yao ikiwa ni pamoja na kufukuzwa shule.

Hata hivyo, amewapa wiki moja wanafunzi ambao bado hawajakamilisha malipo ya fedha za kukarabati mabweni yaliyoteketea kwa moto kuhakikisha wanakamilisha ili waendelee na masomo.

Mkuu wa Shule hiyo, Elly Mnyarape amewataja wanafunzi waliofukuzwa shule kuwa ni Loren Msechu, Barnaba Minga, Samwel Ibrahim na Osward Msomba kidato cha sita, James Kunambi na Baraka Kasisike kidato cha nne.

Na kijana aliyekutwa na simu pamoja na kondomu kwenye begi lake baada ya kurejea kuwa ni Peter Kabimilo wa kidato cha sita ambaye amekimbia na hajulikani alipo.



Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger