Thursday, 3 October 2019

Naibu Waziri Ikupa: Wenye Ulemavu Wajumuishwe Katika Masuala Ya Ukimwi

NA.MWANDISHI WETU Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masula ya Watu wenye Ulemavu Mhe. Stella Ikupa ameuasa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza kushirikisha kundi la wenye ulemavu katika masuala ya UKIMWI ili kuhakikisha jamii nzima inapata elimu na huduma ya masuala hayo. Ametoa...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi October 3

...
Share:

Wednesday, 2 October 2019

Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura Aomba Msamaha na Kukiri Makosa kwa DPP

Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania(TFF), Michael Wambura ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu kuwa ameandika barua kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini(DPP) kwa ajili ya kuomba msamaha na kukiri makosa yake. Wambura alifikishwa Mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Februari 11...
Share:

Mahakama Kuu Kanda Ya Dar Es Salaam Kusikiliza Kesi 3,372

Na Aziza Muhali- (SJMC) Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, inaendelea kusikiliza kesi 3,372 zilizosajiliwa Mahakamani hapo kwa sasa, zikiwamo za madai, jinai na ardhi. Hayo yamesemwa na Naibu Msajili Mfawidhi, Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Mhe. Joachim Tiganga, wakati akitoa elimu kwa umma...
Share:

Korea Kaskazini Yarusha Makombora Mapya

Jeshi la Korea ya Kusini limesema, Korea Kaskazini imerusha makombora kutoka baharini hii leo.  Kwa mujibu wa jeshi la Korea Kusini, huenda Korea kaskazini imefanya majaribio ya kombora la chini ya maji kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka mitatu kabla ya kuanza upya kwa mazungumzo ya...
Share:

Tambua Visababishi Vikuu Vinavyosababisha Kupungukiwa Nguvu Za Kiume Na Maumbile madogo

1 ugonjwa wa kisukari, 2 presha,usongo wa mawazo,3 magonjwa ya moyo 4 ngiri tumbo, kuunguruma na kuumwa chini ya kitovu 5 kupiga punyeto kwa mda mrefu 6 kukosa choo au kupata choo kama cha mbuzi 7.maumivu ya mgongo na kiuno 8. joto kali kwenye mfuko wa korodani Ni nini tiba ya nguvu za kiume; MAJINJAS...
Share:

Maabara Bubu 13 Zafungiwa, Huku 48 Zikipewa Onyo Kali

Na Rayson Mwaisemba WAMJW- DODOMA SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, imezifungia jumla ya maabara 13, ambazo ni sawa na asilimia 21% kati ya Maabara 61 zilizokaguliwa, huku ikitoa onyo kali kwa Maabara 48 kutokana na baadhi ya Maabara hizo kutokidhi viwango vya kutoa huduma za upimaji. Hayo yamesemwa...
Share:

Mtalaam Na Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Nayaliyoshindikana Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo  limekuwa kubwa kwa rika zote hapa duniani Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA...
Share:

DIWANI AJITOLEA KULIPIA JENGO LITUMIKE KAMA OFISI YA KUSIKILIZA KERO ZA WAZEE

Diwani wa Kata ya Izigo Edwin Njunwa Na Lydia Lugakila -Malunde 1 blog Diwani wa Kata ya Izigo Wilayani Muleba mkoani Kagera Edwin Njunwa amejitolea  kulipia miezi 6 kodi ya jengo lililopo kwenye kata hiyo liwe ofisi ya kuhudumia wananchi hususani kutatua kero za wazee kutokana na wazee kufuata...
Share:

Naibu Waziri Kanyasu: Ujenzi Wa Bwawa La Kufua Umeme La Julius Nyerere Limezingatia Masuala Ya Usalama Wa Uhifadhi

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu amesema nia ya Serikali ya ujenzi wa bwawa  la kufua umeme la Julius Nyerere iko pale pale na ujenzi wake unaendelea kwa kasi huku ukizingatia masuala ya Uhifadhi katika Pori la Akiba la Selous. Akizungumza leo na Wabunge wa Kamati...
Share:

Ongeza Nguvu Za Kiume, Maumbire Madogo Pamoja Na Tiba Mbalimbali

MASISA 3 POWER nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya...
Share:

Waziri Lugola Aagiza Polisi Kuwasaka Wabakaji Waliokimbilia Nchini Zambia......Asisitiza Dhamana Zitolewe Saa 24 Bila Kuombwa Rushwa Wananchi

Na Felix Mwagara, MOHA, Rukwa. WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola ametoa siku saba kwa Jeshi la Polisi Mkoani Rukwa, kuwasaka na kuwatia mbaroni wabakaji wanne waliokimbilia nchini Zambia. Lugola alisema wabakaji hao lazima wakamatwe na waletwe nchini kwasababu Jeshi hilo lina mbinu zote...
Share:

DC KOROGWE ATAKA WAZEE WAENDELEE KUPEWA ELIMU YA UGONJWA WA UKIMWI ILI KUEPUKANA NAO

...
Share:

Vigogo 9 NSSF Kortini Kwa Kutakatisha Bilioni 2

Vigogo tisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), akiwamo Kaimu Mkurugenzi wa Fedha, Jamila Vulu, wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi ikiwamo kughushi, wizi na kutakatisha zaidi ya Sh. bilioni mbili. Washtakiwa hao walisomewa jana mashtaka yao mbele ya Hakimu...
Share:

Naibu Waziri wa Ardhi Dkt Angeline Mabula Aagiza Mabaraza Ya Ardhi Ya Kata Na Vijiji Yasiyotenda Haki Mafia Yavunjwe

Na Munir Shemweta, WANMM MAFIA Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia Erick Mapunda kuyavunja Mabaraza yote ya Kata na Vijiji ya ardhi yasiyotenda haki wakati wa kutoa maamuzi katika wilaya ya Mafia mkoani Pwani. Dkt...
Share:

Mwandishi wa Habari Erick Kabendera Amuomba Rais Magufuli Amsamehe

Siku moja baada ya Rais John Magufuli kuongeza siku saba kwa washtakiwa wa makosa ya uhujumu uchumi, ambao hawajawasilisha maombi yao, Mwandishi wa Habari Erick Kabendera, anayekabiliwa na kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, amejitokeza kuomba radhi. Ombi hilo lilitolewa...
Share:

Wazee CHADEMA Wavunja Ukimya

Baraza la Wazee la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limeitaka serikali kurejea ahadi yake ya kumalizia mchakato wa katiba mpya iliyoitoa mwaka 2015 wakati wa uchaguzi mkuu.   Wazee hao wamedai kuwa  mchakato huo bado una umuhimu mkubwa kwa Watanzania. Akizungumza na waandishi...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger