Lori hilo limesababisha mafuta aina ya diesel kumwagika ambapo tayari vyombo vya Ulinzi na usalama vya Wilaya ya Kahama vikiongozwa na Mkuu wa wilaya hiyo Anamringi Macha vimewasili eneo la tukio.
Saturday, 17 August 2019
Breaking : LORI LA MAFUTA LAANGUKA ISAKA - KAHAMA
Lori hilo limesababisha mafuta aina ya diesel kumwagika ambapo tayari vyombo vya Ulinzi na usalama vya Wilaya ya Kahama vikiongozwa na Mkuu wa wilaya hiyo Anamringi Macha vimewasili eneo la tukio.
Nafasi za kazi Mzumbe University August 2019
Nafasi za kazi Mzumbe University. Mzumbe Jobs. Find a latest Lecturers Jobs in Mzumbe University. Nafasi za kazi chuo kikuu cha mzumbe: ajira mpya Mzumbe University. MZUMBE UNIVERSITY (CHUO KIKUU MZUMBE) VACANCIES The Mzumbe University invites applications from suitably qualified and competent Tanzanians to fill the following vacant posts: ASSISTANT LECTURER – (5 Posts) (a) Qualification and Experience… Read More »
The post Nafasi za kazi Mzumbe University August 2019 appeared first on Udahiliportal.com.
MANYANYA AWAONYA WANAOENEZA PROPAGANDA CHAFU NA KUKIMBIZA WAWEKEZAJI TANZANIA

Na Lydia Lugakila - Malunde1 blog
Maombi ya kujiunga na veta 2019- VETA Call for application 2019
VETA CALL FOR APPLICATION: FURSA ZA KUJIUNGA NA MAFUNZO KATIKA VYUO VIPYA VYA VETA 2019, veta certificate, veta long courses,TANGAZO NAFASI ZA KUJIUNGA NA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI KATIKA VYUO VYA VETA 2019, veta application form, veta courses 2019, veta courses 2019, , fomu za kujiunga na veta 2019, sifa za kujiunga na veta 2019, sifa… Read More »
The post Maombi ya kujiunga na veta 2019- VETA Call for application 2019 appeared first on Udahiliportal.com.
SERIKALI YAPONGEZWA KUTIMIZA AHADI YA UMEME BUSINDE - KIGOMA


PICHA: Marais 12 kati ya 16 Wahudhuri Mkutano wa SADC Tanzania
Tanzania Yamwagiwa SIFA Kwa Kuwa Nchi Pekee ya SADC Ambayo Uchumi Wake Unakua Kwa Asilimia 7
Kauli hiyo ametoa wakati wa mkutano wa kwanza wa SADC uliofanyika jijini Dar es salaam, ambapo viongozi mbalimbali wa jumuiya hiyo wakiwemo viongozi wastaafu na Mawaziri wamehudhuria.
"Uhimilivu wa uchumi ni nyenzo muhimu katika maendeleo, nchi wanachama zimekidhi vigezo vya SADC kiuchumi, takwimu zimeonesha Tanzania inafanya vizuri, na kwa vigezo pekee Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo imefikia ukuaji wa asilimia 7, mjipongeze." Amesema Dr Tax na kuongeza;
"Katika kufikia uchumi wa Viwanda nchi wanachama hawana budi kukuza uzalishaji wa umeme, kwa kuwa ni kitu muhimu kwenye ujenzi wa viwanda, nashukuru katika wiki ya Viwanda hata Tanzania , tumeona mradi mkubwa wa umeme katika maporomoko ya mto Rufiji ambao ujenzi wake unaendelea"
Bashe ataka Bodi ya nafaka na mazao mchanganyiko kuwa kiungo cha biashara ya mazao Baina ya Kenya na Tanzania
Ufahamu Ugonjwa Wa Ngiri Na Tiba Yake
51 minutes ago
Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikiria au kubeba viungo (organs) fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi (Opening) na hivyo kusababisha viungo hivyo kutoshikiriwa ipasavyo katika sehemu vinapostahili kuwepo.
Katika mwili wa binadamu, maeneo ambayo tatizo hili hutokea mara kwa mara ni maeneo ya tumboni, katika eneo la kinena, eneo la paja kwa juu na pia ngiri inaweza kutokea katika eneo ambalo mtu alifanyiwa upasuaji (operesheni).
Dalili za Ngiri
Tumbo kuunguruma, kiuno kuuma, kupata choo kama cha mbuzi, kushindwa kufanya tendo la ndoa, mishipa ya uume kulegea, kutokuwa na hamu ya kulundia tendo la ndoa, korondani moja kuvimba, mgongo kuuma.
Dalili zingine za ugojwa wa ngiri ni pamoja na;
Uvimbe unaoteremka kuingia ndani ya korodani unaojulikana kitaalamu kama Direct Scoratal inguinal Hernia.
Uvimbe unaojitokeza tumboni na kuteremka hadi ndani ya korodani, uvimbe huu hauumi na unaweza kurudishwa kwa urahisi iwapo mgonjwa atalala chali na kusukuma kwa vidole, uvimbe huu.
Na pindi ukikubali kurudi ndani ndipo unapoitwa Reduible direct scrotal inguinal hernia.
Na pia endapo utashindikana kurudi tumboni ndipo unapoitwa Irreduible direct scrotal inguinal hernia.
Ugojwa huu wa ngiri unaweza kutibika
Mpate mpenzi wako unayempenda na kumfunga mume,mke mpenzi asitoke kwa mwingine .
Kwa Ushauri na Msaada wa Wasaliana na 0714006521
Dkt. Slaa Awakemea Watanzania Wanaoikosoa Serikali Mitandaoni
Jela Miaka 30 Kwa Kumpa Mimba Mwanafunzi
Polepole: Rais Magufuli amenituma niwaeleze kwamba hataongeza hata dakika tano Muda wake wa Uongozi Ukiisha
Polepole amezungumza hayo jana akiwa mkoani Dodoma wakati akizungumza na baraza kuu la umoja wa wanawake wa chama hicho (UWT) ambapo amewataka wanachama hao kuacha kuendeleza mjadala huo ambao Mwenyekiti wao amesema unamkwaza.
Serikali Yaahidi Kuendelea Kutatua Changamoto Za Utalii Nchini.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Constantine Kanyasu alipokuwa akizungumza na Wadau wa Utalii nchini katika kongamano la Utalii lililofanyika mkoani Arusha.
Amesema Serikali kwa kushirikiana na wadau wa utalii nchini imejenga vituo vya ukaguzi wa magari vya utalii ili kupunguza usumbufu kwa watalii barabarani.
Amesema vituo hivyo vitashughulikia masuala ya msingi likiwemo suala madereva wenye watalii kupimwa kilevi.
Amesema mbali na kilevi, Vituo hivyo vitashughulikia vitendo vyote ya uhalifu watakavyofanyiwa watalii.
Aidha, Mhe.Kanyasu amesema lengo la Serikali ni kupunguza kero kwa watalii ili wafikie milioni mbili mwaka 2019.
Akizungumza kwenye kongamano hilo, Mhe.Kanyasu amesema licha ya kujengwa vituo hivyo vya ukaguzi lakini bado kuna kero ambazo zinafanyiwa kazi lengo likiwa ni kuboresha sekta ya utalii.
Kwa upande wake, Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha, Jonathan Shana amewataka wadau wa utalii kufuata sheria lakini akataka kupewa taarifa za polisi wanaowakwaza.
"Nipigieni simu hata saa nane za usiku kwa askari wanawaomba rushwa nishughulike nao" Alisisitiza Shana.
Naye Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe.Mrisho Gambo amesema lengo la Arusha kuanzisha vituo vya ukaguzi magari ni kupunguza kero.
Amesema uwepo wa vituo hivyo vitafanya mazingira bora kwa watalii na wafanyabiashara.
Mwenyekiti wa Chama cha Wasafirishaji Watalii (TATO) Wilbard Chambulo amesema ujenzi wa vituo hivyo ni hatua muhimu ya kuwahakikishia watalii usalama wao pindi wakiwa barabani pamoja na mali zao.
Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Prof.Adolf Mkenda amesema mkoa wa Arusha ni mfano wa kuigwa kwa mikoa mingine kwa kujenga vituo hivyo ili kupunguza kero kwa watalii.
Rais Wa Zambia Edgar Lungu Aongoza Kikao Cha Siasa,ulinzi Na Usalama Cha SADC Troika Jijini Dar
Rais wa Angola Mh. Joao Lourenco Mwenyekiti wa Taasisi ya Siasa, Ulinzi na Usalama (SADC Troika) anayemaliza muda wake akiwa katika kikao hicho kilichofanyika jana jioni kwenye ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.
Rais wa Zimbabwe Mh. Emmerson Dambudzo Mnangagwa anayechukua nafasi ya Uenyekiti wa Taasisi ya Siasa, Ulinzi na Usalama (SADC Troika) akipitia baadhi ya nyaraka za kikao hicho kilichofanyika jana jioni kwenye ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.
MENO BANDIA YAKWAMA KOONI KWA WIKI MOJA..ASHINDWA KUMEZA VITU
















































