Tuesday, 2 July 2019

Daktari Atoa Ushahidi Kesi Ya Mbowe na Vigogo Wengine CHADEMA

Shahidi wa tano, Inspekta Msaidizi Dk. Juma Alfani (54) katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake, amedai mahakamani kwamba aliwapokea Koplo Rahim na Konstebo Fikiri wakiwa wanapiga kelele za kulalamika maumivu...
Share:

Kampuni ya Ranchi ya Taifa (NARCO) Watakiwa Kujiendesha Kwa Faida Na Kutoa Gawio Serikalini

Na. Edward Kondela Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeitaka Kampuni ya Ranchi ya Taifa (NARCO) kubadilika na kufanya shughuli zake kwa tija ili iweze kunufaika na rasilimali ardhi na mifugo inayomiliki. Akizungumza wakati akitembelea na kujionea shughuli zinazofanywa katika ranchi za Ruvu iliyopo Mkoani...
Share:

Mkutano Wa Saba Wa Mwaka Wa Bodi Za Maji Kufanyika Tarehe 9 Hadi 11,julai ,2019

...
Share:

Waziri Wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga Akutana Na Mkurugenzi Mkaazi Wa Usaid Tanzania Ndg Andy Karas, Amueleza Mambo Makubwa Matano

Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo - Dar es salaam Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb)  jana Tarehe 1 Julai 2019 amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) Ndg Andy Karas katika Ofisi za Wizara ya Kilimo Jijini Dar es salaam. Katika...
Share:

TAKUKURU Dodoma Yaibua Madudu Mradi Wa Maji Kelema, Chemba Baada Ya Kuingilia Kati Na Kuokoa Tsh.milioni 67,laki 5,elfu 42 Na Mia 600.

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma. Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa takukuru mkoa wa Dodoma imeingilia kati ujenzi wa mradi wa maji wa kijiji cha kelema kuu wilayani chemba  baada ya kubaini thamani ya fedha iliyotumika kutoendana na kazi halisi na kuokoa shilingi  Milioni  67...
Share:

TAIFA STARS,HARAMBEE STARS WAGONGWA TATU TATU

Sadio Mane aliifungia Senegal bao moja na kuisaidia timu yake kuchukua nafasi ya pili katika kundi C baada ya kuilaza Kenya 3-0 na kufuzu miongoni mwa timu 16 bora. Penalti ya mshambuliji huyo wa liverpool iliokolewa na kipa Patrick Matasi wa Kenya kabla ya Senegal kufunga goli lake la kwanza kupitia...
Share:

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMANNE

Kocha wa United, Ole Gunnar Solskjaer amewaambia wakuu wa klabu hiyo kumsajili kiungo wa kati wa Newcastle Muingereza Sean Longstaff, 21, kwa mshahara wa pauni milioni 21 kwa wiki. (Star) Barcelona wako tayari kulipa euro milioni 100 ya kumwezesha mshambuliaji wa Inter Milan Muargentina Lautaro...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne 2 July

...
Share:

Monday, 1 July 2019

Tanzania na Nchi ya Falme za Kiarabu Zakubaliana kuimarisha hali ya usalama katika nchi za Somalia na Sudan.

Tanzania na Nchi ya Falme za Kiarabu zimekubaliana kuendelea kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia na kiuchumi ikiwa ni pamoja na kushirikiana katika masuala ya usalama wa eneo la Ghuba na bahari ya Hindi pia kusaidia kuimarisha hali ya usalama katika nchi za Somalia na Sudan. Hayo yamebainika wakati...
Share:

Katibu Mkuu CCM Atoa ONYO Kwa Viongozi Wadokozi wa Mali za Chama Hicho

Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally, amekemea viongozi wenye uchu na mali za chama, akiagiza waondolewe ili kuepusha migogoro isiyokuwa na tija ndani ya chama hicho. “Msiwavumilie hawa viongozi wenye uchu na mali za chama. Wafukuzeni wote. CCM haina uhaba wa wanachama na kila mwanachama ana haki...
Share:

Zitto Kabwe Apasua Jipu Kutekwa Kwa Msaidizi Wake.

Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT- Wazalendo), Zitto Kabwe ameitaka Serikali ya Tanzania kuangalia kwa uzito suala la kutekwa kwa raia wa Kenya anayeishi Tanzania, Raphael Ongagi. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu Julai 1, 2019 jijini Dar es Salaam, Zitto amesema masuala ya utekaji yamekuwa...
Share:

Fahamu Chanzo Halisi cha Kupungukiwa Nguvu za Kiume

Unafahamu kwa kina tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume na  maumbile ya kiume kusinyaa? Wanaume wengi kwa sasa wanasumbuliwa na tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile  kuwa mafupi na wengi wao huamua kutafuta tiba ili waweze kujilejeshea nguvu zao za asili bila kujua ni nini...
Share:

Waziri wa Nishati: Tumieni Umeme Kuanzisha Miradi Ya Maendeleo

Na Veronica Simba - Chato Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amewaasa wananchi wa Kitongoji cha Mwamagili, Wilaya ya Chato, mkoani Geita kutumia umeme aliowawashia rasmi jana, Juni 30, 2019 kwa kuanzisha miradi mbalimbali ya kimaendeleo. Akizungumza na wananchi hao muda mfupi kabla ya kuwasha...
Share:

Jinsi ya kukabiliana na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

Tunapozungumzia upungufu wa nguvu za kiume tunakuwa katika uwanja mpana zaidi wa tafakari za kibaiolojia na kisaikolojia walizonazo wanaume. Lakini kwa kufupisha mlolongo wa mambo sehemu kuu tatu zinaweza kabisa kukidhi mchanganuo mzima wa jinsi tatizo hili linavyowasumbua wanaume wengi duniani. Sehemu...
Share:

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) yaanza kupokea maombi ya mikopo

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), leo inafungua dirisha la uombaji mikopo kwa mwaka wa masomo 2019/2020. Bodi hiyo imeboresha utoaji elimu kwa waombaji wapya pamoja na kutembelea kambi za jeshi walizopo wanafunzi kuwapa maelekezo ya kujaza fomu kabla ya kurejea majumbani kuomba...
Share:

Afcon 2019: Taifa Stars Kuvaana na Algeria Leo

Timu  ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, leo inatarajia kushuka uwanjani kucheza na Algeria katika mchezo wa tatu wa Kundi C wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon 2019), inayoendelea jijini Cairo nchini Misri. Michuano hiyo ambayo ilianza Juni 21 na kutarajiwa kumalizika Julai 19,...
Share:

WANAUME WAPEWA BURE DAWA NGUVU ZA KIUME

Na Theopista Nsanzugwanko - Habarileo IMEELEZWA kuwa asilimia 85 ya upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume unatokana na magonjwa ya moyo na kisukari, hivyo Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imeamua kuleta dawa za kurejesha nguvu hizo wakati wanaume wakiendelea na matibabu ya vishawishi. Dawa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger