Mwigizaji
Shamsa Ford ambaye ni mke wa Mfanyabiashara Chidi Mapenzi aliyeitwa
Polisi kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya,
ameandika yafuatayo ikiwa ni mara ya kwanza toka aitwe Polisi kuhojiwa.

Mke
wa Rais mkongwe wa Zimbabwe, Robert Mugabe, amesema kuwa mumewe ni
mashuhuri sana hivi kwamba anaweza kupigiwa kura hata akiwa maiti.
Maelfu
ya wakazi wa mkoa wa Mbeya wamejitokeza katika mazishi ya mchezaji wa
zamani Geoffrey Bonny Mwandanji aliyefariki dunia juzi na kuzikwa katika
makaburi ya kanisa Katoliki Makandana wilayani Rungwe.
Amiri
Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe
Magufuli akiwasili Kutunuku Kamisheni kwa Maafisa wapya wa Jeshi la
Ulinzi la Tanzania na kadhaa kutoka nchi marafiki katika viwanja vya
Ikulu jijini Dar es salaam Jumamosi Februari 18, 2017.