Sunday, 12 February 2017

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO BAADA YA KUKATA RUFAA BODI YA MIKOPO 2016/2017

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...
Share:

Askofu Gwajima Kaachiwa Huru na Jeshi la Polisi

Askofu Josephat Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima ameachiwa na Polisi leo jioni baada ya mahojiano yaliyodumu toka Alhamisi mchana kwenye kituo cha Polisi kati Dar es salaam kufuatia sakata la dawa...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI FEB TAREHE 12.2.2017

...
Share:

Saturday, 11 February 2017

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI FEB TAREHE 11.2.2017

...
Share:

Friday, 10 February 2017

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa Ya February 10

...
Share:

Agizo wa Rais Magufuli uwanja wa ndege Dar laanza kutekelezwa

Shughuli za ujenzi wa jengo jipya la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam (Terminal 3) jana tarehe 09 Februari, 2017 zimeendelea kama ilivyoagizwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliyefanya ziara ya kushtukiza jana tarehe 08...
Share:

Thursday, 9 February 2017

TANGAZO:TUNAFANYA USAJILI WA VYUO VYA NACTE KWA WANAFUNZI WALIOMALIZA FORM 4 NA 6

Habari zenu, Je,wewe ni mhitimu wa kidato cha nne 2016 na kurudi nyuma? Nacte imefungua application kujiunga na vyuo katika ngazi ya cheti na diploma mwaka wa masomo 2017/2018 March intake. Maswayetu blog tutakusaidia kuomba kozi unayoipenda pamoja na kukupa ushauri kuhusu kozi ya kusoma nzuri yenye soko kwa sasa. Ada ya maombi ni kama ifuatavyo: Kwa eneo la Afya na Sayansi Shirikishi ada ya...
Share:

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI YA FEBRUARI 9,2017

...
Share:

UFAFANUZI JUU YA UVAAJI WA SARE ZA JWTZ NA SHUKRANI KWA VYOMBO VYA HABARI

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa ufafanuzi kuhusu uvaaji wa sare za Jeshi kwa viongozi wanajeshi wanaoteuliwa na kupewa madaraka mbalimbali nje ya Jeshi. Hivi karibuni kumekuwa na mjadala juu ya uhalali wa uvaaji wa sare hizo. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania...
Share:

MZAZI ATAKAYEMRUHUSU MTOTO WAKE KUSHIRIKI KAMARI KUSHTAKIWA

Mtu yeyote atakaye ruhusu mtoto chini ya miaka 18 kushiriki, kuingia au kukaa karibu na eneo la mchezo wa kubahatisha (kamari) anahesabiwa kufanya kosa. Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji ameyasema hayo leo Bungeni, Mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mbunge Viti Maalum...
Share:

Vita dhidi ya dawa za kulevya DSM Watu maarufu wakiwemo wanasiasa waguswa

Sakata la dawa za kulevya katika jiji la dsm limeendelea kutikisa watu maarufu,wakiwemo wafanyabiashara na wanasiasa Pamoja na Kiongozi maarufu wa dini ambao wametakiwa kwenda kituo cha polisi cha kati siku ya ijumaa kwa ajili ya mahojiano. Mkuu wa Mkoa wa dsm Paul Makonda akizungumza...
Share:

RAIS DKT MAGUFULI AFANYA ZIARA YA GHAFLA KUTEMBELEA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE WA JULIUS NYERERE (TERMINAL III) DAR ES SALAAM LEO

...
Share:

Monday, 6 February 2017

HIZI HAPA HABARI KALI SIKU YA LEO JUMATATU FEB 6 2017

HIZI HAPA HABARI KALI SIKU YA LEO JUMATATU FEB 6 2017 MAGAZETI YA LEO JUMATATU FEBRUARI TAREHE 6.2.2017,SOMA HAPO>>>>>>>>https://goo.gl/870nRt Serikali yatangaza ‘Diploma’ ndiyo kigezo cha chini cha elimu kwa waandishi wa habari,SOMA ZAIDI HAPO>>>>>https://goo.gl/dXaecr   VIDEO | MAdada Sita-TMK-MKUBWA NA WANAWE...
Share:

Chakula cha mtu mwenye Vidonda vya Tumbo

Hapo kabla tulisoma kwa kirefu kuhusu vidonda vya tumbo kisha tukasoma kuhusu dawa mbadala ya vidonda vya tumbo na leo tunaendelea kuangalia chakula cha mgonjwa wa vidonda vya tumbo.Katika kutibu vidonda vya tumbo, mara nyingi ni lazima kupunguza uzalishaji wa asidi tumboni au...
Share:

Kulala chali kwa mjazito ni hatari kwa mtoto

Wanawake wajawazito wanaopenda kulala chali  wapo kwenye hatari  ya kuzaa mtoto mfu(stillbirth),kulingana na wanasayansi.Katika utafiti  uliofanyika nchini Ghana, wanawake wajawazito ambao walipenda...
Share:

Ukata kuchelewesha utoaji wa haki

Bukoba.  Ukata katika Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba umesababisha majaji kutoendeleza vikao vya kusikiliza mashauri 24 ya kesi za mauaji, hali itakayosababisha haki kutokutolewa kwa wakati. Jaji Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Salvatory Bongole akizungumza wakati wa kilele cha...
Share:

Uporaji kwenye maduka, bodaboda wazua hofu

Mbeya. Wamiliki wa maduka, bodaboda na glosari jijini hapa wameingiwa hofu baada ya kuibuka kundi la watu wanaodaiwa kuwa majambazi wanaopora fedha na pikipiki tangu mwishoni mwa Januari. Mitaa iliyoonja adha ya wavamizi hao ni ya Mafiati, Mwanjelwa, Mabatini, Soweto na Mabanzini...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger