Friday, 16 September 2016

Thursday, 15 September 2016

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI(FORM SIX) WALIOCHAGULIWA KAMPALA UNIVERSITY-KIU 2016/2017

Kampala International University-dar
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI FORM 6 WALIOCHAGULIWA MARIAN UNIVERSITY 2016/2017-FIRST BATCH

Share:

Hatuhusiki kumtafutia mtu ajira - Bodi ya Mikopo

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu imesema kuwa haihusiki kumtafutia mnufaika wa mkopo ajira badala yake inahusika kumpatia mwanafunzi mkopo na akishamaliza muda wa masomo atatakiwa kurejesha mkopo wake.

Hayo yamesemwa jana Jijini Dar es salaam na Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano kutoka Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Cosmas Mwaisobwa wakati akijibu maswali ya wananchi kupitia kipengele cha Kikaango cha EATV.

“Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu inatoa mikopo suala la kutafuta ajira halituhusu hivyo mnufaika yoyote asiwe na kigezo kwamba hajapata kazi , hiyo siyo kazi yetu, kazi yetu ni kuwawezesha kupata elimu basi” Alisema Mwaisobwa.

Aidha Mwaisobwa alisema wanufaika wote ambao walipata mikopo wanatakiwa kukatwa asilimia 8% ya pato la mwezi, na kama mtu anafanya kazi binafsi na hakatwi popote atatakiwa kutoa kiwango cha 120,000/= na kwa ambao wamenufaika na hawataki kuanza kulipa mkopo watapigwa penati ya 10% ya mkopo kwa mwaka.

Pamoja na hayo Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu imewataka walioomba mikopo kuvuta subira kwani Bodi inasubiri majina kutoka Tume ya Vyuo Vikuu ili Bodi ya Mikopo iweze kufahamu vyuo walivyopangiwa na kiwango cha ada ili haki iweze kutendeka kwa waombaji.
Share:

UDOM:SUPPLEMENTARY/SPECIAL EXAMINATIONS FOR BOTH FINALISTS AND CONTINUING STUDENTS 2016

 Logo
This is to inform all Finalists and Continuing Students of the University of Dodoma that, Supplementary/ Special Examinations will commence on 3rd to 7th October, 2016 at your respective Colleges.
Kindly observe the Time Table for Supplementary/Special Examinations at UDOM website (www.udom.ac.tz) two weeks before commencement of examinations.
Failure to attend such examinations will lead to discontinuation from studies.
Share:

MPYA:UFADHILI WA MASOMO NGAZI YA CHETI NA DIPLOMA KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUPITIA NACTE 2016/2017

Tafadhali soma  Tangazo hapo chini ambalo lipo katika mfumo wa picha ili,uone kama una vigezo,
Share:

HIZI HAPA KURASA ZA NDANI MAGAZETINI LEO SEP 15 2016

Share:

Wanafunzi Vyuo vikuu kuendelea kulipwa Sh8,500/-

 Image result for Stella Manyanya
Serikali imekataa kuongeza fedha za kujikimu kwa wanafunzi wa elimu ya juu wanaopatiwa mikopo na Serikali kutoka Sh8,500 hadi kufikia Sh10,000 kwa siku.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Stella Manyanya amelieleza Bunge kuwa kiwango hicho kitaendelea hadi utakapofanyika utafiti baada ya miaka miwili.
Manyanya alikuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum,  Zainabu Katimba (CCM), aliyetaka kujua kama Serikali itakuwa tayari kuongeza fedha kwa wanafunzi hadi kufikia Sh 10,000 kwa madai gharama za maisha zimepanda.
Amesema bodi ya mikopo ilifanya ongezeko la fedha za kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kwa Sh1,000 kutoka Sh7,500 hadi kufikia 8,500 katika mwaka 2015/16.
“Ongezeko hilo haliendani na kasi ya mfumuko wa bei uliorekodiwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kutoka asilimia 4.2 Februari 2015 hadi kufikia asilimia 5.6 Februari 2016,” amesema Katimba.
Naibu waziri amesema Serikali imekuwa ikifanya utafiti wa gharama halisi za maisha kwa wanafunzi ambazo hujumuisha malazi na chakula.
Amesema katika mwaka wa fedha wa 2014/15 Serikali kupitia bodi hiyo ilifanya utafiti katika vyuo vyote nchini ili kujua gharama halisi za chakula na malazi na kuonyesha kuwa gharama halisi ilikuwa ni kati ya Sh8,000 hadi 8,500.
Naibu waziri amesema wizara itafanya utafiti mwingine ili kubaini gharama halisi za chakula na malazi kwa wanafunzi hao na matokeo yake yatatumika kupanga viwango vya fedha zitazolipwa kwa wanafunzi.
Share:

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI SEPTEMBER TAREHE 15.9.2016

Share:

Wednesday, 14 September 2016

Share:

MPYA:HIVI NDIO VYUO VIKUU VYENYE NAFASI KWA FORM 6 WALIOKOSA KUCHAGULIWA FIRST ROUND 2016/2017


Image result for tcu.go.tz
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017





Tokeo la picha la TCU.GO.TZ


Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG katika nusanusa yetu tumefanikiwa kunasa hii ambayo ilikuwa ikisubiriwa na watu wengi,ni kuhusu majina ya wanafunzi waliochaguliwa na TCU 2016/2017 kujiunga vyuo vikuu mbalimbali 2016/2017.
 wale wote mlioomba vyuo kama,
  • Chuo Kikuu cha Ardhi, (ARU)
  • Chuo Kikuu cha Hubert Kairuki (HKMU),
  • International Medical and Technological University (IMTU)
  • Moshi University College of Cooperative and Business Studies(MUCOOBS-MOCCU)
  • Chuo Kikuu cha Mlima Meru
  • Chuo Kikuu cha Muhimbili (MUHAS)
  • Chuo Kikuu cha Morogoro (MUM)
  • Chuo Kikuu cha Mzumbe (MU)
  • Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT)
  • Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCO)
  • Chuo Kikuu St. Augustine cha Tanzania (SAUT)
  • Chuo Kikuu St. John cha Tanzania (SJUT)
  • Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA)
  • Chuo Kikuu cha Zanzibar
  • Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji-TEKU
  • Chuo Kikuu cha Tumaini (TU)
  • Chuo Kikuu cha Bukoba
  • Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), established in 1970 from the split of the Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki
  • Chuo Kikuu cha Dodoma,UDOM
  • Chuo Kikuu cha Zanzibar (ZU)


NOTE:LINK IMEKAA POA ,ANDAA USERNAME NA PASWORD YAKO ILI UONE KAMA UMECHAGULIWA KWA KU LOGIN KWENYE PROFILE YAKO!

 kuangalia  umechaguliwa wapi bofya HAPA 

AU

==>Ingia hapa kuona ulipochaguliwa ==>TCU CAS | Search Selection

KUONA VYUO VYENYE NAFASI BONYEZA HAPA

  
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger