Sunday, 11 September 2016

magazeti ya leo jumapili septemba tarehe 11.9.2016

Share:

Saturday, 10 September 2016

MPYA:RAIS MAGUFULI AMTUMIA SALAMU ZA RAMBIRAMBI MKUU WA MKOA WA KAGERA KUFUATIA TETEMEKO LA ARDHI KUUA NA KUJERUHI WATU

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi74qvUT5OpO0x65QYWF8tsTyT3IKxe2qSHi_65fbjIpa_kiqsQ4zTivlN6nNjTwiTvb6c6ArwStURlF2MfiE8dZJow3CzEwk2LjFkB9Lrx3Yn9qo1yz6IJg0SyP2AVCAG-EowYXPs92v8/s1600/2016-09-10-PHOTO-00000035.jpg
Share:

MPYA:KUHUSU MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VYA AFYA,UALIMU,KILIMO,MIFUGO,UVUVI NK.CHETI NA DIPLOMA SECOND SELECTION 2016/2017

 
Hi,

Kutokana na NACTE kutangaza kwamba tarehe 5 sep wangetangaza majina ya wanafunzi ambao watakuwa wamechaguliwa kujiunga na vyuo mbalimbali awamu ya pili,hali haikuwa hivyo na kuamua MASWAYETU BLOG kufuatilia swala hili.

Ukweli ni kwamba SELECTION ZIPO TAYARI ,UNAWEZA KU LOGIN KWENYE PROFILE YAKO NA KUANGALIA KAMA UMECHAGULIWA.Kama ikitokea hujachaguliwa tafadhali badilisha machaguo yako kabla ya sep 15 kwani system ipo wazi.

Maswayetu Blog tunakupenda sana.

 Kulogin kwenye profile yako bonyeza hapo>>LOG IN NACTE
Share:

TAARIFA MUHIMU KWA WANAFUNZI WA UDOM-SOCIAL SCIENCE WALIOKATAZWA KUFANYA MITIHANI YAO

Share:

Official VIDEO | King Crazy GK - Mzuri Pesa | Watch/Download


Msanii mkongwe wa rap na bongo fleva King Crazy GK aliyewahi kuwa kiongozi wa East Coast Team ametoa video mpya. video hii inaitwa Mzuri Pesa.
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA SCHORALSHIP ZA ALGERIA 2016/2017

Selected Algeria Scholarships 2016-2017 

Ministry of Education, Science and Technology


The Ministry of Education, Science, Technology would like to announce to the public List of Tanzanian students selected to  enroll at Algerian Universities for the forthcoming Academic Year 2016/2017
Share:

RAIS MAGUFULI ATEUA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA,WAKURUGENZI WA HALMASHAURI 13



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 10 Septemba, 2016 amemteua Bw. Eliya Mtinangi Ntandu kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe.

Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa nafasi ya Katibu Tawala Mkoa wa Songwe ilikuwa wazi na uteuzi huu umeanza leo.

Bw. Eliya Mtinangi Ntandu pamoja na Makatibu Tawala walioteuliwa jana tarehe 09 Septemba, 2016 ambao ni Ado Steven Mapunda aliyeteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara na Bw. Tixon Tuliangine Nzunda aliyeteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa wataapishwa katika tarehe itakayotangazwa baadaye.

Wakati huo huo, Rais Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya 11, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji 1 na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa 1 ili kujaza nafasi zilizokuwa wazi katika Halmashauri hizo.
 
Wakurugenzi walioteuliwa ni kama ifuatavyo;

1.      Godwin Emmanuel Kunambi - Manispaa ya Dodoma
2.      Elias R. Ntiruhungwa             - Mji wa Tarime
3.      Mwantumu Dau                     - Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
4.      Frank Bahati                          - Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe
5.      Hudson Stanley Kamoga        - Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu
6.      Mwailwa Smith Pangani         - Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo
7.      Godfrey Sanga                       - Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama
8.      Yusuf Daudi Semuguruka      - Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
9.      Bakari Kasinyo Mohamed     - Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
10.   Juma Ally Mnwele                 - Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo
11.   Butamo Nuru Ndalahwa       - Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
12.   Waziri Mourice                    - Halmashauri ya Wilaya ya Karatu
13.   Fatma Omar Latu                 - Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

Wakurugenzi wa halmashauri wote 13 walioteuliwa wanatakiwa kuripoti Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mkoani Dodoma siku ya Jumanne tarehe 13 Septemba, 2016 kwa ajili ya kupata maelekezo zaidi.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
10 Septemba, 2016
Share:

MTANGAZAJI WA CLOUDS TV ATEULIWA NA RAIS MAGUFULI KUWA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU


Leo Septemba 10, Rais Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya 11, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji 1 na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa 1 ili kujaza nafasi zilizokuwa wazi katika Halmashauri hizo.




Miongoni mwa Wakurugenzi wa Halmashauri walioteuliwa, yumo pia mtangazaji wa kipindi cha Clouds 360 cha Clouds Tv kinachorushwa kila siku kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa.

Hudson Stanley Kamoga ameteuliwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara.

Hii sio mara ya kwanza kwa Rais Magufuli kuteua watangazaji kushika nyadhifa mbalimbali kwani alimteua aliyekuwa Mtangazaji wa ITV, Godwin Gondwe kuwa Mkuu wa Wilaya ya Handeni.

Wakurugenzi wengine walioteuliwa leo ni pamoja na;-

  1. Mwailwa Smith Pangani – Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo
  2. Godfrey Sanga – Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama
  3. Yusuf Daudi Semuguruka – Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga
  4. Bakari Kasinyo Mohamed – Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
  5. Juma Ally Mnwele – Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo
  6. Butamo Nuru Ndalahwa – Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
  7. Waziri Mourice – Halmashauri ya Wilaya ya Karatu
  8. Fatma Omar Latu    – Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo
  9. Godwin Emmanuel Kunambi – Manispaa ya Dodoma
  10. Elias R. Ntiruhungwa – Mji wa Tarime
  11. Mwantumu Dau – Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
  12. Frank Bahati – Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe
Share:

PICHA:TETEMEKO LA ARDHI BUKOBA,MWANZA NA SHINYANGA LEO TAREHE 10.9.2016


image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
Bukoba12.jpg
image.jpeg
WhatsApp Image 2016-09-10 at 15.59.05.jpeg
WhatsApp Image 2016-09-10 at 15.59.12.jpeg
Bukoba9.jpg
bukoba11.jpg
bukoba10.jpg
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI SEP TAREHE 10.9.2016


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger