Mtumishi atakayekwenda kusomea FIRST DEGREE anatakiwa achukue LIKIZO
ISIYO NA MALIPO na hastahili kulipwa chochote na Mwajiri wake ikiwa ni
pamoja na kutolipwa Mshahara kwakuwa HAYUPO KAZINI.
Hakuna malipo yoyote ya UHAMISHO kwa Mtumishi atakayehamishwa umbali usiozidi kilometa 10....
Mamlaka ya mapato Tanzania 'TRA' imetoa
ufafanuzi kuhusu kodi ya ongezeko la thamani kwenye huduma za kifedha
kuwa marekebisho ya sheria ya mwaka 2014 yaliyopitishwa na bunge
yanayolenga kutoza kodi la ongezeko la thamani kwa kiwango cha 18%
kwenye ada ambazo benki inatoza wateja wake kwenye...
Habari iliyoripotiwa hivi punde na kituo cha ITV ni kuhusu ajali ambayo
imetokea eneo la Veta Dakawa mkoani Morogoro ikihusisha magari matatu
ambayo ni lori la mafuta, kontena lililobeba mchele pamoja na basi.
Taarifa hiyo inasema kuwa watu 11 wamefariki dunia na wengine ambao...
WAZIRI
MKUU Kassim Majaliwa amesema Halmashauri zitaelekezwa kwa waraka ni
vyanzo vipi vitahitaji kutumia wawakala wa ukusanyaji mapato kwani siyo
kila chanzo cha mapato ya Halmashauri kitakusanywa kwa ufanisi kwa
kutumia au kwa kutotumia mawakala.
Waziri
Mkuu ametoa agizo...
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage leo
amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa shirika la Viwango Tanzania TBS Bwana Joseph B. Masikitiko ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili.
Pia Waziri Mwijage ameagiza Bwana Emmanuel M. Ntelya Meneja wa
Fedha, Mipango na Utawala wa TBS,...
Mh Tundu Lissu apandishwa kizimbani Muda huu mahakama ya kisutu kwa
zile tuhuma za maneno ya kuudhi, nunachokisubiri hapa ni maneno mengine
yenye tafsiri nyingine kwa watu wengine atakayoitoa leo baada ya kupata
dhamana panapo majaliwa. Ndio kwanza kumekucha mapambano yataendelea.
UPDATES:
Lissu...
Habari zenu;
Kwanza natumaini mu wazima wa afya,pia kwa upande wangu namshukuru Mungu nipo fresh kabisa.
Leo nimeamua kufafanua kwa kina vigezo na masharti ya Kupata mkopo mwaka wa masomo 2016/2017.
NANI ANAFAA KUPATA MKOPO?
mwanafunzi anaehitaji mkopo lazima akidhi vigezo vifuatavyo;
1.yatima...
Wanajamvi wasalaam!
Leo hii kamati ya haki,maadili na madaraka ya bunge leo inataraji kusoma
taarifa ya shauri la Mbunge Joseph Mbilinyi baada ya kutoa ishara ya
matusi bungeni na kunaswa na kamera za bunge!
Tunataraji Mbunge Mbilinyi kupewa adhabu kali ili iwe fundisho kwa vizazi na wabunge wa aina yake ndani na nje ya bunge!
Kwakuwa Joseph Mbilinyi alitoa ishara ya matusi kwa bunge na wabunge...