INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Mamlaka
ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), inajipanga kuja na mfumo wa kompyuta
utakaoratibu taarifa zote zinazopakiwa mtandaoni ili kukabiliana na
vitendo vya udhalilishaji vinavyofanywa na watu wasio na maadili ya
uandishi wa habari.







