Friday, 2 May 2014

KAJALA: SIMLIPI WEMA MIL.13 NG'O!

JAMBO limezua jambo! Zile shilingi milioni 13 alizolipa staa mkubwa wa kike Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ mahakamani ili kumnusuru Kajala Masanja kwenda gerezani, zinaendelea kusababisha fukuto na sasa Kajala amejibu mapigo, akisema hatamlipa Wema fedha hizo. Malkia wa filamu...
Share:

CHID BENZ NA USTAA PORI

NI bwana mdogo, lakini ana mwili mkakamavu wenye kumuonyesha kama kijana mwenye ubavu. Ana sauti nzuri ya kukwaruza akiwa nyuma ya Mic, ambayo kwa mashabiki wa Hip Hop za Kimarekani, wanaweza kumlinganisha na rapa Ja Rule! Namzungumzia Rashid Makwiro, maarufu kama Chid Benz, mtoto wa Ilala...
Share:

MSANII HUYU KUTOKA KENYA AAMUA KUACHIA PICHA AKIWA UCHI, ICHEKI PICHA HIYO HAPA

Mwimbaji wa Kenya Victoria Kimani ameamua kuweka picha yake ya uchi akiwa  ufukweni akiogelea.picha hipo hapo chini Kuangalia picha shariti uwe na umri +18  ...
Share:

FOOD SCIENCE AND TECHNOLOGY SCHORALSHIP 2014/2015

: International financial aid and grants are offered for those students who are pursuing career in food science. Food science is the applied ...ANGALIA ZAIDI HA...
Share:

MAURITIUS - AFRICA SCHOLARSHIPS 2014

The Government of the Republic of Mauritius is offering scholarships for undergraduate studies in public tertiary education institutions in Mauritius. Applications are invited from qualified Tanzanians to apply for undergraduate programs tenable in the Republic of Mauritius for 2014/2015 academic year in the following areas of specializations:- Medicine, Engineering, Science...
Share:

Thursday, 1 May 2014

TUCTA "KIMA CHA CHINI CHA MFANYAKAZI KIWE 750,000"

Wakati Rais Jakaya Kikwete akitarajiwa kuhutubia wafanyakazi katika kilele cha Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), limeitaka Serikali kupandisha kima cha chini hadi kufikia Sh750,000. Katibu Mkuu wa Tucta,...
Share:

WAKUBWA TU!!. VIDEO YA KINA MAMA WACHEZA UCHI KAMA WALIVYO ZALIWA BAADA YA KUVURUGWA NA POMBEEE

tazama video hapa chini ...
Share:

RAYUU "NATAFUTA MWANAUME WA KUNIOA NA KUNIWEKA NDANI"

Staa katika tasnia ya filamu Alice Bagenzi "Rayuu" amefunguka na kusema amechoka maisha ya kuishi kiupweke hivyo anatafuta mwanaume wa kumuoa ili naye awe katika ndoa na aachane na maisha ya ukapera maana kwa sasa yanamuelemea na kila aonapo watu walio olewa jinsi wanavyoishi na wanaume zao...
Share:

BREAKING NEWS:Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi YATANGAZA NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU KWA MWAKA WA MASOMO 2014/2015,SASA WENYE DIVISION FOUR YA 32 HADI 34 RUKSA KUAPPLY

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inatangaza nafazi za Mafunzo ya Ualimu ngazi ya Stashahada na Cheti kwa Mwaka wa Masomo 2014/2015. Kuzidownload bofya link hizo hapo chini, ya kwanza ngazi ya cheti (Certificate Grade A) na ya pili ni stashahada (Diploma).  TANGAZO LA MAFUNZO...
Share:

KIKWETE ALIVYOSHEREHEKEA MEI DEI JIJINI DAR

Rais Jakaya Kikwete akihutubia wafanyakazi katika Uwanja wa Uhuru, Dar leo wakati wa kilele cha Siku kuu ya Wafanyakazi Duniani, Mei Dei iliyofanyika kitaifa. Brass Bend ikipita mbele ya Rais Kikwete wakati wa maandamano ya wafanyakazi. …wafanyakazi wa mali asili wakipita mbele ya Rais Kikwete. …...
Share:

HUYU NDIYE SNURA MAMA WA MAJANGA , JIONEE PICHA ZAKE ZA UTATA AKIWA JUKWAANI..!!NI SHIDAAA

 Naamini kwapicha hizi uwezi kosa show yake jumapili hi EW MAISHA CLUB atazindua video yake ya majanga kuwa mjanja kuwa wa kwanza kuiona, atasindikizwa na WEMA SEPETU atakata utepe wa video ya majanga,MIRROR,SAMIR,ALI NIPISHE,TIMBULO,BAUCHA,MENINAH, na MADEE kiingilio 10,000...
Share:

HUYU NDIYE MREMBO WA OMMY DIMPOZ...TAZAMA PICHA YAKE HAPA

Mastaa wa muziki wa Marekani wanafahamika kwa desturi yao kuwatambulisha wapenzi wao hadharani na kwenda nao kwenye matukio mbalimbali. Tanzania ni tofauti hata hivyo. Ni mastaa wachache wenye ujasiri wa kuwaweka hadharani wapenzi wao, mfano mzuri akiwa Diamond Platnumz. Mastaa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger