Thursday, 31 October 2024

WANAOHUJUMU MIUNDOMBINU WASAKWA, DC ATAKA RIPOTI NOVEMBA5

Na Hamida Kamchalla,  TANGA.  VIONGOZI wote wa kata, mitaa na vijiji wametakiwa kulinda miundombinu ya aina zote iliyowekwa na serikali kwa matumizi ya wananchi iliyowekwa barabarani na kuufichua mtandao wa wizi ambao inahujumu miundombinu hiyo na kuiuza kwenye vyuma chakavu. Wito...
Share:

TBS YATOA ELIMU YA UDHIBITI UBORA KATIKA MAONESHO YA WIKI YA MWANAKATAVI MPANDA

Afisa udhibiti ubora Kanda ya Magharibi (TBS) Bw. Hassan Hassan, akitoa elimu ya masuala ya udhibiti ubora kwa wananchi na wajasiriamali waliotembelea banda la TBS kwenye Maonesho ya tatu ya Wiki ya Mwanakatavi yanayoendelea katika viwanja vya Azimio Mpanda, Mkoani Katavi. *************** SHIRIKA...
Share:

Wednesday, 30 October 2024

Wimbo Mpya : JUMA MARCO - MASAMVA

 ...
Share:

Ngoma Mpya : NELEMI MBASANDO - LEO LEO

 ...
Share:

RAS KATAVI AIPA HEKO TANROADS KWA MAFUNZO YA WATUMISHI WA MIZANI

Na Mwandishi Wetu,Katavi Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi, Bw. Albert Msovela amewapongeza Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kuendesha mafunzo ya sheria ya uzito wa magari ya Afrika Mashariki ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 kwa watumishi wake wa Kanda ya Magharibi yenye mikoa...
Share:

Tuesday, 29 October 2024

RAIS SAMIA AMLILIA MUSUGURI

  Mkuu wa Majeshi wa zamani Tanzania, Jenerali David Musuguri amefariki Dunia Mkuu wa Majeshi wa zamani Jenerali David Musuguri, amefariki Dunia, Oktoba 29, 2024, jijini Mwanza alipokuwa akipatiwa matibabu. Jenerali Musuguri, aliyezaliwa Januari 4, 1920 aliitumikia nchi katika Jeshi kuanzia...
Share:

TBS YAWAHIMIZA WAZALISHAJI WA BIDHAA NCHINI KUTHIBITISHA BIDHAA ZAO

Na Mwandishi Wetu, Manyara WAZALISHAJI wahimizwa kuthibitisha ubora wa bidhaa wanazozalisha ili waweze kuuza bidhaa zao nje ya soko la Afrika Mashariki na pia kunufaika na sera ya Local Content. Rai hiyo imetolewa Meneja wa TBS Kanda ya Kaskazini, Mhadisi Joseph Ismail, kwenye maonesho yaliyoandaliwa...
Share:

RAIS SAMIA NI CHAGUO LA MUNGU - ASKOFU SHOO

Askofu Fredrick Shoo wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ambaye pia ni mkuu Mstaafu wa KKKT amesema uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ni mpango wa Mungu kuithibitishia Dunia kwamba wanawake wanao uwezo wa kuongoza...
Share:

Monday, 28 October 2024

SMAUJATA TANGA YAWATAKA VIJANA KUCHAGUA VIONGOZI WATAKAOKUWA SAUTI YA WANANACHI

Na Oscar Assenga, TANGA VIJANA Mkoani Tanga wametakiwa kuhakikisha wanawachagua viongozi ambao watakuwa sauti ya wananchi kwenye maeneo yao na sio wachuma tumbo wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu . Wito huo ulitolewa leo na Mkuu wa Idara ya Vijana Hamasa...
Share:

Sunday, 27 October 2024

HOFU YATANDA MATUMIZI YA KEMIKALI YA ZEBAKI KWA WACHIMBAJI WADOGO WA DHAHABU, WACHENJUAJI NA WAMILIKI WA LESENI NZEGA

WACHIMBAJI Wadogo wa madini ya dhahabu, wachenjuaji na wamiliki wa leseni wilayani Nzega mkoani Tabora wameeleza hofu yao juu ya matumizi ya kemikali ya zebaki (Mercury)  kwenye shughuli zao na kuishauri Serikali kuzuia matumizi yake baada ya kubaini athari zake kiafya na kimazingira. Baadhi...
Share:

MRADI WA BAHARI MAISHA KUONGEZA USHINDANI KATIKA SOKO LA MAZAO BAHARI KIMATAIFA

Na Mwandishi Wetu. Mradi wa Bahari Maisha unaotekelezwa na Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) unatarajiwa kuongeza ushindani katika soko la mazao bahari kimataifa.  Hayo yamebainishwa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo...
Share:

OUT YATOA MAFUNZO KUIMARISHA UFUATILIAJI NA USIMAMIZI WA MIRADI SERIKALINI

Mafunzo ya ufuatiliaji na tathmini yanayoendeshwa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kwa watumishi wa mamlaka za serikali za mitaa pamoja tawala za mikoa yanatarajiwa kuimarisha usimamizi pamoja na ufuatiliaji wa maendeleo ya miradi inayowekezwa na serikali katika kupeleka shughuli za maendeleo kwa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger