
Na Hamida Kamchalla, TANGA.
VIONGOZI wote wa kata, mitaa na vijiji wametakiwa kulinda miundombinu ya aina zote iliyowekwa na serikali kwa matumizi ya wananchi iliyowekwa barabarani na kuufichua mtandao wa wizi ambao inahujumu miundombinu hiyo na kuiuza kwenye vyuma chakavu.
Wito...