Monday, 8 March 2021

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YASHIRIKI KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIA WILAYANI BAHI

...

 

Watumishi wa Wizara Maliasili na Utalii washiriki kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika leo kimkoa katika Wilaya ya Bahi,jijini Dodoma.

Baadhi ya watumishi Wa Wizara ya Maliasili na Utalii wakimsikiliza mgeni rasmi wakati Wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa wilayani Bahi, jijini Dodoma Watumishi Wa Wizara ya Maliasili na Utalii wakiwa kwenye maandamano wakati Wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kilichofanyika kimkoa wilaya ya Bahi

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger