Saturday 31 October 2020

POLISI WATOA ONYO MAANDAMANO BAADA YA WAPINZANI KUKATAA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU TANZANIA


Kamishna wa Operesheni na Mafunzo, CP Liberatus Sabas.
***
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo, CP Liberatus Sabas, amesema kuwa jeshi la polisi halitamvumilia mtu yeyote awe kiongozi wa chama au mfuasi, atakayefanya maandamano batili na kama kuna yeyote ambaye hakuridhika na matokeo afuate taratibu za kisheria kudai haki zao kama zipo.

CP Sabas ametoa kauli hiyo hii leo Oktoba 31,2020, na kuwasihi akina mama kuongea na watoto wao kwamba, wasithubutu kushiriki katika maandamano hayo na wasije wakarubuniwa na watu ambao hawana nia nzuri na Taifa.

"Nasisitiza kwamba jeshi la polisi halitakuwa na simile kwa yeyote atakayejihusisha na chokochoko hizi ambazo tunaziona zinaanza kuanzishwa na watu hawa ambao hawalitakii mema Taifa hili, nawaomba akina mama mkanye mwanao kwa sababu mwisho wa siku mtoto atakapopata matatizo atakulilia mama, sasa kabla matatizo hayajamfika nakuomba mkanye mwanao", amesema CP Sabas.

Kauli hiyo ya jeshi la polisi imekuja baada ya Vyama vya ACT Wazalendo na Chadema kutangaza kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu katika ngazi ya udiwani, ubunge, uwakilishi na urais na kutaka urudiwe.

Vyama hivyo vimetoa tamko lao leo Jumamosi Oktoba 31 2020, ikiwa ni muda mfupi tangu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imtangaze John Magufuli wa CCM kuwa mshindi wa kiti cha urais wa Jamhuri ya Muungano, na siku kadhaa baada ya chombo kama hicho Zanzibar kumtangaza Dk Hussein Mwinyi kuwa rais wa visiwa hivyo.

Pia tamko hilo limekuja baada ya matokeo ya ubunge kuonyesha kuwa kati ya viti 256, ACT Wazalendo imeshinda viti vinne, CUF vitatu na Chadema kimoja.

Via Mwananchi
Share:

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) Yafungua Awamu ya Tatu ya Udahili wa mwaka wa masomo wa 2020/2021

 Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetangaza kufunguliwa kwa Awamu ya Tatu ya udahili wa Shahada ya Kwanza kwa mwaka wa masomo wa 2020/2021 kuanzia Oktoba 30 hadi Novemba 4.

Katibu Mtendaji wa TCU, Prof. Charles Kihampa amesema, hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya waombaji kukosa udahili na Jumuiya ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (TAHLISO) na baadhi ya Vyuo vyenye nafasi kupeleka maombi ya kuongezeka muda.

Kufunguliwa kwa dirisha la Awamu ya Tatu kunatoa fursa kwa waombaji ambao hawakuweza kudahiliwa au hawakuweza kuomba udahili katika Awamu mbili zilizopita kutumia nafasi hii ili kupata udahili.

Aidha, amewakumbusha waombaji waliodahiliwa katika chuo zaidi ya kimoja katika Awamu ya Kwanza na wale wa Awamu ya Pili kujithibitisha katika chuo kimojawapo kuanzia sasa.

 



Share:

JESHI LA DAR WAONYA..."OLE WAO WANAOPANGA KUINGIA BARABARANI KUANDAMANA, KITAKACHOPAWATA WATAJUTA"

Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa onyo kali kwa mtu, watu au kikundi chochote cha watu ambao wanapanga kuingia barabarani kuandamana kwani halitawaachia na kitakachowatokea wasijutie.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amewaambia waandishi wa habari jana jioni Oktoba 30,2020 kwamba wanazo taarifa kuna watu wamekaa vikao vya siri wakipanga mipango ya kuingia barabarani kuandamana.

Amefafanua uchaguzi ulikuwa umamalizila salama na amani lakini baada ya matokeo kuanza kutangazwa vimeibuka  vikundi vya watu wengine wakiwamo waliogombea  nafasi mbalimbali ambao wanaendelea kufanya vikao ya siri lakini mipango yao ni kutaka kwanza kuingilia mchakato wa  kutangaza matokeo hayo yanayoendelea.

Pia wanajaribu kuhamasisha wafuasi wao kuingia mtaani , na jambo linaloshangaza kufanya hivyo wengine wanaopanga mipango hiyo wameshindwa Hai, wameshindwa Kilimanjaro, wameshindwa Arusha lakini wamejikusanya  jijini Dar es Salaam kama eneo ambalo ni shamba la bibi, wanataka kufanya vurugu.

"Nimekuja kwa umma kutoa onyo kwao , kipindi cha kampeni ambacho tulikuwa wastaarabu sana ,tumewapa nafasi ya kunadi sera zao, na kipindi hiko kimeshikwa ,sasa tuko katika kutekeleza dhima na dhumuni la Jeshi la Polisi ambalo ni kulinda maisha ya watu na mali lakini ni pamoja na kuwalinda viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) ambao wanaendelea kukamilisha matokeo kwenye majimbo ambayo nafas ya urais yanaendelea kutolewa.

"Nitoe onyo wananchi mnaokaa Dar es Salaam wapuuzeni ,anayetaka kuingia mtaani aingie yeye, kama ana mke atangulize mke wake, kama ni mme atangulie yeye , tukutane naye tumejipanga na hatuna mjadala katika hili, tunachotaka kuhakikishia watanzania wote wanaokaa Dar es Salaam , mko salama na jeshi limesimama na linaendelea kufanya kazi yake, tumezunguka maeneo yote, tumekaa kuhakikisha mtu atakayeachiwa afanye lile analolifikiria.

"Niwaombe wale ambao watapata taarifa watu kutaka kuingia barabarani watupe taarifa mapema, tunaendelea kufuatilia lakini mahali popote watakapoanzia tutawa labda umbali wa hatua 10 na wasijutie kitakachowapata , kwasababu tumeamua kuhakikisha hatuwapi nafasi kuchezea demokrasia hii ambayo kimsingi kinachotangazwa ni maamuzi ya wananchi wenyewe,"amesema.

Amesisitiza hakuna sababu ya kwenda kugombea kama hauko tayari kushinda au kushindwa, yoyote anayeingia kwenye ushindani ategemee mawili, kupewa ama kukosa,waliokosa basi wavumilie na wanakatibishwa mwaka 2025 lakini kwa sasa mchezo wa kampeni kushawishi,kuvuruga havina nafasi."Hayo ndio maamuzi ya Watanzania ,yanayoendelea kutangazwa ni lazima tuyaheshimu na yoyote atakayepuuza asilie na kile atakachokutana nacho.Tumesimama kuhakikisha hatumuachii mtu nafasi ya kufanya lolote, na narudia tena mtu asijutie kwa lile atakalokutana nalo.

" Niwaombe watanzania wote wapuuze vitendo vya kuingia barabarani havina afya,havina baraka, lakini pia vinakinzana na demokrasia  yenyewe ,wananchi wameamua halafu unataka wagomee,unagomea ili umuongoze nani".
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi October 31



Share:

Friday 30 October 2020

Ally Keissy Aangushwa, Chadema Yashinda Nkasi Kaskazini


Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Nkasi Kaskazini amemtangaza Aida Khenani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa mshindi wa Ubunge katika Jimbo hilo baada ya kupata kura 21,226 akifuatiwa na Ally Keissy wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyepata kura 19,972.


Share:

James Mbatia Aangushwa Ubunge Vunjo, Kimei wa CCM Ashinda


Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Vunjo amemtangaza Dkt. Charles Kimei wa Chama cha Mapinduzi-CCM  kuwa mshindi wa Ubunge katika Jimbo hilo baada ya kupata kura 40,170 – Grace Kiwelu wa CHADEMA amepata kura 8,675, James Mbatia wa NCCR amepata kura 4, 949 na Agustino  Mrema kutoka TLP kura 606

Share:

CHADEMA YAPATA MBUNGE WA KWANZA UCHAGUZI MKUU 2020.... NI AIDA KHENANI, AMEMBWAGA ALLY KEISSY


Aida Khenani, mbunge mteule wa jimbo la Nkasi Kaskazini kupitia CHADEMA.

Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Nkasi Kaskazini, amemtangaza Aida Khenani, wa CHADEMA kuwa ndiye mbunge wa jimbo hilo baada ya kupata kura 21,226, na kumshinda Ally Keissy wa CCM aliyepata kura 19,972 na hivyo yeye kuwa mgombea wa kwanza kukitetea chama chake katika nafasi hiyo.

Aida Khenani kabla ya Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuvunjwa, alikuwa ni Mbunge wa Viti Maalum kuanzia mwaka 2015 hadi 2020 kupitia chama chake cha CHADEMA.

Mbali na CHADEMA kupata mtetezi wake wa kwanza Bungeni mpaka sasa tangu matokeo ya uchaguzi yaanze kutangazwa, chama cha CUF pia kinaye mwakilishi kutoka jimbo la Mtwara Vijijini, ambaye ni Shamsia Mtamba, aliyepata kura 26,262, na kumshinda aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kupitia CCM Hawa Ghasia aliyepata kura 18,505.

Katika matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 28 mwaka huu, mpaka sasa vyama vya upinzani yaani CHADEMA na kile cha CUF kina wawakilishi wawili pekee wa ubunge ambao tayari wamekwishatangazwa, huku wabunge wengine wa vyama vya upinzani wakishindwa kutetea majimbo yao ambayo kwa asilimia kubwa yamechukuliwa na CCM.

Chanzo - EATV
Share:

TPSD second round selected applicants 2020/2021

The Tanzania Public Service College Dar es Salaam Campus TPSD second round selected applicants 2020/2021 are the names of students who have passed the Second-round admission selection stage and successfully approved by TCU to join undergraduate studies at Tanzania Public Service College Dar es Salaam Campus (TPSD) for the 2020/2021 academic year second round application […]

The post TPSD second round selected applicants 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

AMUCTA second round selected applicants 2020/2021

The Archbishop Mihayo University College of Tabora AMUCTA second round selected applicants 2020/2021 are the names of students who have passed the Second-round admission selection stage and successfully approved by TCU to join undergraduate studies at Archbishop Mihayo University College of Tabora (AMUCTA) for the 2020/2021 academic year second round application window. The Archbishop Mihayo […]

The post AMUCTA second round selected applicants 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

STEMMUCO second round selected applicants 2020/2021

The Stella Maris Mtwara University College STEMMUCO second round selected applicants 2020/2021 are the names of students who have passed the Second-round admission selection stage and successfully approved by TCU to join undergraduate studies at Stella Maris Mtwara University College (STEMMUCO) for the 2020/2021 academic year second round application window. The Stella Maris Mtwara University […]

The post STEMMUCO second round selected applicants 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Mzumbe University MU second round selected applicants 2020/2021

Mzumbe University MU second round selected applicants 2020/2021 are the names of students who have passed the Second-round admission selection stage and successfully approved by TCU to join undergraduate studies at Mzumbe University (MU) for the 2020/2021 academic year second round application window. The Mzumbe University MU second round applications and MU second selection 2020/2021 […]

The post Mzumbe University MU second round selected applicants 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

KIUT second round selected applicants 2020/2021

The Kampala International University in Tanzania KIUT second round selected applicants 2020/2021 are the names of students who have passed the Second-round admission selection stage and successfully approved by TCU to join undergraduate studies at Kampala International University in Tanzania (KIUT) for the 2020/2021 academic year second round application window. The Kampala International University in […]

The post KIUT second round selected applicants 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

UAUT second round selected applicants 2020/2021

The United African University of Tanzania UAUT second round selected applicants 2020/2021 are the names of students who have passed the Second-round admission selection stage and successfully approved by TCU to join undergraduate studies at United African University of Tanzania (UAUT) for the 2020/2021 academic year second round application window. The United African University of […]

The post UAUT second round selected applicants 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

DMI second round selected applicants 2020/2021

The Dar es Salaam Maritime Institute DMI second round selected applicants 2020/2021 are the names of students who have passed the Second-round admission selection stage and successfully approved by TCU to join undergraduate studies at Dar es Salaam Maritime Institute (DMI) for the 2020/2021 academic year second round application window. The Dar es Salaam Maritime […]

The post DMI second round selected applicants 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

University second round selection 2020/2021

If you have applied for the second-round admission at various universities and colleges , the second-round selection process will be finalized by 18th October 2020 and second selection results will be out by 29th October 2020. Once the selection results are out, All the candidates who have applied for second round admission can visit the […]

The post University second round selection 2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Regional Finance Coordinator – East & Southern Africa at Farm Radio International October, 2020

Position title: Regional Finance Coordinator – East & Southern Africa Position Location: Arusha, Tanzania; Addis Ababa, Ethiopia; Kampala, Uganda Reports to: Field Finance Manager (FFM) Contract term: 12 months (renewable) Deadline to apply: Open until filled Type of posting: External / Internal Nature and Scope: The Regional Finance Coordinator is a position of project financial […]

The post Regional Finance Coordinator – East & Southern Africa at Farm Radio International October, 2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Country Director at WaterAid Tanzania

It’s hard to believe that today 844 million people do not have clean water and 2.3 billion do not have a decent toilet – around one in three of the world’s population. Every two minutes, a child under five dies from diarrheal diseases caused by poor water and sanitation. We started because no NGO like […]

The post Country Director at WaterAid Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger