Tuesday, 13 January 2026
Monday, 12 January 2026
Tanzania: IPTL's Patience Pays Off in $168m Dispute with Standard Chartered Bank

By Staff Writer
Independent Power Tanzania Limited (IPTL) has won an appeal filed by Standard Chartered Bank Hong Kong in the Court of Appeal of Tanzania which is Civil Appeal No. 386 of 2022. IPTL challenged in the High Court of Tanzania - commercial division in Commercial Application No. 67 and 75 of 2017.
The registration of foreign judgment of High Court of Justices of England, Queens Bench Court, commercial court which ordered IPTL to pay Standard Chartered Bank Hong Kong an amount tuned to $168 million and the High Court rejected the registration of the said foreign judgment hence Standard Chartered Bank Hong Kong appealed to Court of Appeal.
The ruling was handed down by Judge M.C. Levira, Judge L.E Mgonja, and Judge G. J Mdemu, justice of the Court of Appeal of Tanzania on January 9, 2026, stricking out the appeal filed by Standard Charted Bank Hong Kong and upholding the objections raised by IPTL in regards to the competency of the appeal.
According to a court order signed by W. A Hamza, Deputy registrar court of appea of Tanzania l, the appeal was deemed incompetent due to procedural irregularities and the fact that the underlying claim had already been settled under a government sovereignty guarantee. The Court of Appeal of Tanzania, Dar es Salaam, handling Civil Appeal No. 386 of 2022, which was filed by Standard Chartered Bank (Hong Kong) Limited and Standard Chartered Bank Malaysia Berhad as the 1st and 2nd appellants.
The appeal was brought against Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Pan Africa Power Solutions (T) Limited, and VIP Engineering and Marketing Limited as the 1st, 2nd, and 3rd respondents respectively in the case.
On 14th February 2025, the 1st & 2nd respondents filed a Notice of Preliminary Objection in the Court of Appeal. In the notice, the respondents argue that the appellants' appeal should be dismissed on three procedural grounds.
The first objection is that the appeal is incompetent because the respondents were not served with the Memorandum of Appeal, violating Rule 97(1) of the Court of Appeal Rules. The second objection asserts that the appeal was wrongly filed, breaching Rule 90(1) of the Court of Appeal Rules, since the request for a copy of the ruling was submitted out of time. The third objection contends that the appeal is unmaintainable because the underlying claim was already settled under a government sovereignty guarantee.
The respondents also note that the High Court of Tanzania had issued a decree in Civil Case No. 90 of 2018, rendering the court _functus officio_ in this matter. The respondents are requesting the Court of Appeal to strike out the appeal with costs. They argue that the appellants no longer have valid legal standing to pursue the matter further.
The notice was dated 14th February 2025 and filed on 17th February 2025 at the Dar es Salaam Sub-Registry, Commercial Division.
The case is now pending a preliminary hearing where the court will decide on the validity of the respondents' objections. The preliminary hearing will determine whether the appeal can proceed or be dismissed based on the objections raised.
The legal teams of both parties are preparing submissions regarding the preliminary objections for the upcoming hearing.
The Court of Appeal's decision is seen as a significant victory for IPTL and its co-respondents. Harbinder Singh Sethi, IPTL Executive Chairman, welcomed the court's ruling, saying it was a just decision.
Mr. Seth thanked the court, saying, “We thank the Court of Appeal for making the right decision to uphold justice and dismiss the incompetent appeal.”
The case has been closely watched by legal experts and industry stakeholders. The outcome is likely to have implications for similar cases in Tanzania's commercial courts.
The Court of Appeal's ruling brings an end to a long-running dispute between IPTL and Standard Chartered Bank. The decision is a testament to the strength of Tanzania's judicial system in resolving complex commercial disputes.
The IPTL team is pleased with the outcome and looks forward to putting the matter to rest. The company's management is reviewing the court's decision and will provide further updates in due course.
The ruling is expected to have a positive impact on IPTL's financial position and operations. IPTL remains committed to resolving all outstanding issues and moving forward with its business plans. The company appreciates the support of its stakeholders and partners throughout this process.
BILIONI 6.7 KUBORESHA AFYA YA MAMA NA MTOTO KAHAMA
Saturday, 10 January 2026
PROF. MKENDA AIPONGEZA LALJI FOUNDATION KUUNGA MKONO SEKTA YA ELIMU NCHINI
MAKAMU WA PILI WA RAIS KUZINDUA MASHINDANO MAKUBWA YA QUR’AAN DUNIANI
::::::::MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano makubwa zaidi ya Qur’aan Tukufu duniani yanayoandaliwa na Taasisi ya Alhikma Foundation.
Mashindano hayo yanatarajiwa kufanyika mwaka 2026 kwa mara ya 26 tangu kuanzishwa kwake, yakihusisha washiriki kutoka mataifa mbalimbali duniani.

Akizungumza Leo jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Alhikma Foundation, Sheikh Nurdeen Kishki, alisema maandalizi ya mashindano hayo yamekamilika kwa asilimia 90.
Alisema taasisi hiyo inaendelea na utekelezaji wa mipango kwa kuzingatia ratiba, huku akisisitiza kuwa hakuna ucheleweshaji wowote.
Mashindano hayo yatazinduliwa rasmi Februari 1, 2026, na mgeni maalumu atakuwa Sheikh Abdul Rashid Ali Sufi kutoka Qatar, huku taarifa kamili za mashindano zikitangazwa baada ya uzinduzi.



Friday, 9 January 2026
Thursday, 8 January 2026
SERIKALI IMEFANIKISHA AJIRA 1400 NJE YA NCHI: SANGU

Serikali imefanikiwa kuzalisha ajira zaidi ya 1,400 za vijana na wanawake kwenda kufanya kazi nje ya nchi katika kipindi cha mwezi Novemba 2025 hadi sasa ikiwa ni matokeo ya mahusiano mazuri yaliyopo kati ya Tanzania na nchi za nje ili kusaidia kupunguza tatizo la ajira.
Akizungumza kwenye hafla ya kuwaaga vijana 109 waliopata fursa ya kazi katika nchi za ughaubini leo (08 Januari 2026) jijini Dar es Salaam, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu alisema mafanikio hayo ni utekelezaji wa maono ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kukuza ajira.
"Tangu Novemba mwaka 2025 hadi Januari mwaka huu Serikali imefanikisha vijana 1,432 kwenda kufanya kazi nje ya nchi ikiwa ni matokeo ya jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan kukuza mahusiano ya kidiplomasia na mataifa ya nje", alisema Waziri Sangu.
Sangu alitaja mafanikio mengine ya Serikali kuwa ni pamoja na upatikanaji wa fursa za ajira 8,000 nje ya nchi ifikapo mwisho wa mwaka huu ambapo tayari nafasi za ajira 500 za madereva pikipiki zimetangazwa kwa nchi ya Falme za Kiarabu (UAE) na mchakato wa usaili utakamilika mwezi Februari mwaka huu.
Alitaja fursa nyingine ya ajira 50,000 nchini Japan za kukuza ujuzi kwa vijana kwenye sekta ya ujenzi ambapo majadiliano yanaendelea na yatakapokamilika vijana kote nchini watatangaziwa kuomba.
Waziri Sangu aliwahakikishaia vijana hao 109 walioagwa leo kuwa Serikali imeratibu suala la mikataba yao, usalama wao na mazingira ya kazi wanapokwenda kupitia Mabalozi wanaowakilisha nchi hivyo amewataka waende wakafanye kazi kwa weledi, nidhamu na kudumisha mila za Kitanzania.
Akizungumza awali Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano Zuhura Yunus alisema kwenda kufanya kazi nje ya nchi ni fursa nzuri ya ambapo tukio la leo kuwaaga vijana 109 ni uthibitisho wa lengo la Serikali kuzalisha ajira kwa makundi ya vijana na wanawake.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Umoja wa Mawakala wa Ajira Tanzania Bara (TRAA) Abdallah Khalid Mohamed alisema ushirikiano kati yao na Serikali umefanikisha kupatikana kwa fursa za ajira nje ya nchi na ndani kwa watanzania wengi.
Mohamed aliongeza kuwa TRAA ilianzishwa mwaka 2000 imekuwa mdau mkubwa wa Ofisi ya Waziri Mkuu katika jitihada za kutafuta fursa za ajira kwa watanzania pamoja na kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo kwa watu.
Vijana hao 1,432 hadi sasa wamenufaika kwenda katika nchi za Ujerumani, Canada, Falme za Kiarabu (UAE), Qatar, Saudia Arabia, Kuwait, na Oman ambapo wanafanya kazi katika fani za ufundi umeme, ujenzi, uuguzi,ufundi magari, udereva wa magari na pikipiki na kazi za majumbani.
KILA MTU NILIYEMWAMINI ALIISHIA KUNISALITI, HADI NIKAGUNDUA KWA NINI
Kilichoniuma zaidi ni kwamba mimi ni mwaminifu na mkarimu kiasili. Sikuwahi kumdanganya mtu yeyote au kuwatakia wengine mabaya. Niliwaunga mkono watu walipokuwa wakipambana, lakini wao waliniacha au kunisaliti mara tu walipofanikiwa. Baada ya matukio kadhaa yenye uchungu, niliacha kuwaamini watu kabisa. Niliishi kwa hofu, nikitarajia usaliti unaofuata kila wakati.
Nikiwa naishi Eldoret, mtindo huu uliathiri kila eneo la maisha yangu. Sikuweza kujenga ushirikiano thabiti au mipango ya muda mrefu. Hata watu wema walipoingia maishani mwangu, jambo fulani lingebadilika ghafla. Kutoelewana kungetokea, uongo ungesemwa, na mahusiano yangevunjika. Nilianza kujilaumu, nikijiuliza kama nilikuwa nimelaaniwa au kama kuna kitu kunihusu kilivutia usaliti.
Mabadiliko yalikuja nilipoamua kuacha kurekebisha tatizo ambalo lilikuwa la kawaida. Nilijua usaliti mara moja au mbili ulikuwa wa kawaida, lakini si kila wakati. Utafutaji huo wa majibu ulinipeleka kwa Madaktari wa Magongo. Nilielezea hali yangu kwa uaminifu, ikiwa ni pamoja na jinsi mtindo huu ulivyokuwa ukinifuata kwa miaka mingi licha ya nia yangu nzuri.
Baada ya kusikiliza kwa makini, Madaktari wa Magongo walifichua kwamba nilikuwa nikiteseka kutokana na mtindo wa usaliti wa kiroho, unaosababishwa na wivu uliofichwa na ushawishi mbaya unaowekwa katika maisha yangu. Walielezea kwamba nguvu kama hizo zinaweza kuwafanya watu wakugeukie bila sababu dhahiri, hata wakati hujafanya kosa lolote. Ukweli huu ulinishtua, lakini hatimaye ulikuwa na maana.
Walinipa uchawi wenye nguvu ili kuondoa nguvu za usaliti na kusafisha njia yangu, ingawa sikuwatembelea kimwili. Nilifuata maagizo yao haswa na nikaendelea kuwa mvumilivu. Ndani ya wiki chache, niligundua tofauti. Mazungumzo yakawa wazi zaidi, kutoelewana kukapungua, na watu walinitendea kwa heshima ya kweli tena.
Uthibitisho mkubwa zaidi ulikuja wakati mtu wa zamani wa biashara aliporudi kwa hiari kuomba msamaha na kutatua suala lililosababisha hasara hapo awali. Ushirikiano mpya uliundwa vizuri bila dhihaka. Kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi, nilihisi salama kuamini tena. Mahusiano yaliacha kuporomoka, na amani yangu ikarudi.
Leo, maisha yangu huko Eldoret, Kenya, ni tofauti kabisa. Sasa ninaelewa kwamba usaliti wa mara kwa mara hausababishwi kila wakati na dosari za tabia au chaguo mbaya. Wakati mwingine, kuna suala la kina zaidi linalohitaji uingiliaji kati unaofaa. Mara tu liliposhughulikiwa, kila kitu kilibadilika kiasili.
Ninashiriki ushuhuda wangu ili yeyote anayepitia usaliti unaorudiwa ajue kwamba hayuko peke yake. Madaktari wa Magongo husaidia katika usaliti, bahati mbaya, mahusiano yaliyofungwa, kushindwa kwa biashara, na mashambulizi ya kiroho. Wanaweza kufanya kazi kwa ufanisi hata kama hupo kimwili.
Ikiwa usaliti umekuwa mtindo katika maisha yako, usiupuuze. Unaweza kuwasiliana na Magongo Doctors kupitia info@magongodoctors.com au piga simu +255740700621. Kwangu mimi, kugundua chanzo halisi ilikuwa mwanzo wa amani, utulivu, na mahusiano ya kuaminika tena.









Magazeti











