Monday, 29 December 2025

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU DESEMBA 29,2025



Magazeti
Share:

Sunday, 28 December 2025

VIJANA WASHAURIWA KUKUZA BIASHARA KWA HATUA STAHIKI



Na Sifa Lubasi, Dodoma

VIJANA wametakiwa kufuata hatua zinazotakiwa katika ukuaji biashara pasipo kuwa na matamanio na mafanikio ya haraka.

Akizungumza wakatii wa mahojiamo jana, Kaimu Meneja wa SIDO mkoa wa Dodoma Crispin Kapinga alisema kuwa biashara kabla hazijaanza zina kanuni na taratibu za kufuata ili ziwe endelevu.

Amesema kuwa biashara nyingi hasa za vijana hazifanyiwi tathimini za kutosha juu ya hali halisi, masoko, kutunza mahesabu na hivyo kukosa uendelevu

"Miradi mingi ya vijana inayoendelea ni wale waliokubali kufuata hatua zinazotakiwa za ukuaji biashara pasipo kuwa na matamanio na mafanikio ya haraka, biashara ni kama mtoto haikui tu," amesema

Amesema kuwa biashara ina hatua ya kuzaliwa na wazo la unataka kufanya nini.

"Unatakiwa kuanza na wazo, kulitekeleza, hatua ya kukua ni muhimu kwani hapo wateja wanaongezeka,kila kitu kinaongezeka,pia unapofanya biashara unajifunza tabia za binadamu,"amesema

Amesema kuwa hatua muhimu ni kufanyia tathimini biashara kabla ya kuanza lakini changamoto kubwa wengi wanaanzisha biashara na kusema watajifunza mbele ya safari.

"Biashara yoyote inalenga kundi fulani. Usitangaze tu mtandaoni kuwa bidhaa inapendwa,Je inapendwa kwa kiwango gani lazima ifanyike tathimini ya kutosha na ufahamu walioko sokoni ni akina nani," amesema

Aidha amesema kumekuwa na swali ambalo wengi wamekuwa wakijiuliza kwa nini biashara nyingi zinakufa.

"Kwenye biashara lazima kuwe na wateja wenye uwezo wa kununua hizo bidhaa,, kundi la wateja." amesema

"Hakuna biashara mpya lazima ufanye tathimini ya kufahamu zile zilizo sokoni zina mipango gani,ni nani anakuwa na soko kubwa," amesema

Alisema kuwa vijana wengi wana makundi ya wateja wa mdomoni si halisia na hawana chaguo la pili hali inayopelekea biashara kukosa faida na hatimaye kufa.

Pia alisema unapomuuliza kijana uhalisia wa mtaji wengi huwa hawana majibu,wanakata tamaa

Kapinga alisema kuwa SIDO imekuwa ikishughulika na biashara ndogo ndogo,viwanda vidogo na vya kati ni vyema vijana wakawa wadadisi na kufuatilia fursa zilizopo kwenye taasisi mbalimbali.

"Fursa kama maembe mabichi,kipindi unasubiri yaive sisi tunapopoa tunakula na chumvi, kumbuka kwamba maisha yako yako mikononi mwako," alisema

Alisema kuwa vijana wengine wamekuwa wakikatisha tamaa wenzao ili wakose wote.

"SIDO inatoa ushauri wa kibiashara,kiufundi bure, ushauri wa kifedha wa namna ya kutumia na kutunza fedha, Pia kuwaunganisha na Taasisi za kifedha na Taasisi mbalimbali bila gharama yoyote.," alisema

Pia alisema SIDO wamekuwa wakishighulika na kutoa malezi na kutenga uelewa.

"Vijana wanatakiwa kutumia fursa zilizopo wajasiriamali wengi wanahitaji watu wa masoko na 'branding ',wengi wanahitaji kutangaza bidhaa kutumia mitandao ya kijamii,taarifa za fursa hawazitafuti,mwisho wa siku wao ndio wanalalamika," alisema

Aliwataka vijana kubadilika kwani kwani maisha yao yako mikononi mwao.

" Serikali kazi yake ni kutengeneza' mazingira rafiki jinsi ya vijana kufanya biashara,wakiulizwa mikopo ya Halmashuri kwa nini wanaogopa kwenda wanasema imekuwa lkitolewa kwa udugu tu je uliwahi kuomba au jus unasikia tu maneno,? alihoji.

Share:

Saturday, 27 December 2025

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI DESEMBA 28,2025


Magazeti ya leo
Magazeti ya leo

Magazeti ya leo

Share:

MAPACHA WA ARUSHA: KUTOKA MAADUI WAKUBWA HADI MARAFIKI WA DAMU


 Huu ni ushuhuda wa kweli kutoka jijini Arusha, kuhusu familia ya Mzee Abdulah na mkewe. Maisha yao yalianza kwa furaha tele walipowapata watoto wao mapacha, Baraka na Faraji. Tangu utotoni, walikuwa kama pete na kidole; walivaa sare, walisoma shule moja, na hata mmoja akiumwa, basi mwingine naye aliishiwa nguvu.

Matatizo yalianza baada ya kumaliza elimu ya msingi. Baraka alichaguliwa kujiunga na shule ya kutwa ya kawaida, huku Faraji akifanikiwa kwenda Shule ya Kitaifa (National School). Tangu siku hiyo, ule uzi uliowaunganisha ulikatika. Chuki ilitanda, dharau ikaingia, na mapacha hawa wakawa kama paka na panya. Nyumba ya Mzee Abdulah ilijaa huzuni na simanzi.Baada ya jitihada za kifamilia kushindikana, Mzee Abdulah alimshirikisha rafiki yake wa karibu ambaye alimuelekeza kwa mtaalamu mashuhuri, Dr. Magongo. Ingawa Mzee Abdulah alikuwa na kusitasita awali, upendo kwa wanawe ulimfanya apige hatua hiyo ya kishujaa kutafuta suluhu kwa Dr. Magongo.

Dr. Magongo alimpokea Mzee Abdulah kwa ukarimu na busara. Hakutumia nguvu, bali alitumia tiba asilia na maarifa ya kale ya kurekebisha mahusiano yaliyovunjika:
• Dawa ya ‘Muungano wa Damu’: Dr. Magongo alimpa Mzee Abdulah dawa ya asili ya kupaka na kunyunyizia kwenye nguo za vijana hao, iliyolenga kuamsha ile hali yao ya asili ya kuzaliwa pamoja.
• Maelekezo ya Kiroho: Dr. Magongo alifanya tambiko maalumu la kuondoa roho ya husuda na mashindano iliyoingia kati ya Baraka na Faraji baada ya kutengana shule.
• Maneno ya Busara: Alimshauri Mzee Abdulah jinsi ya kuzungumza nao kwa namna ambayo haitaonyesha upendeleo kwa mmoja.

Baada ya Mzee Abdulah kufuata maelekezo yote ya Dr. Magongo, anga la nyumba yake lilianza kubadilika. Siku ya kwanza ya kukutana kwao ilikuwa ya kipekee na haitasahaulika.Baraka alikuwa ameketi nje, kwenye kile kiti cha mbao ambacho mapacha hao walipenda kukaa zamani kabla ya chuki kuingia. Faraji alitoka ndani, na badala ya kupita kwa dharau kama ilivyokuwa desturi yake, alisimama ghafla na kumtazama ndugu yake. Kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi, macho yao hayakujawa na hasira, bali yalijawa na shauku na majonzi ya kupotezana.

Faraji alikuwa wa kwanza kuvunja ukimya. Alimsogelea Baraka na kumuwekea mkono begani, ishara ambayo ilimfanya Mzee Abdulah, aliyekuwa akichungulia dirishani, kutokwa na machozi ya furaha.”Ndugu yangu Baraka, nimekukumbuka. Shule na madaraja vilitutenganisha, lakini damu yetu ni moja.”Fariji alisema (Akisimama na kumkumbatia ndugu yake kwa nguvu) Baraka alinena na kusema “Nilidhani umenisahau kwa sababu ya mafanikio yako, lakini moyo wangu ulikuwa unakuita kila siku.”

Walikaa hapo kwa saa kadhaa, wakisimuliana mambo ya shuleni na kucheka kama walivyofanya walipokuwa watoto wadogo. Ile hali ya mmoja kuhisi maumivu ya mwingine ilirejea papo hapo; Baraka alipokuwa akisimulia changamoto za shule yake, Faraji aliahidi kumsaidia kwa vifaa na maarifa aliyopata kwenye shule ya kitaifa.Tangu siku hiyo, ile kuta ya chuki ilibomoka kabisa.

Dr. Magongo hakurudisha tu maelewano, bali alirudisha roho ya pacha mmoja ndani ya miili miwili. Leo hii, Arusha nzima inawajua Baraka na Faraji kama mfano wa kuigwa wa upendo wa ndugu. Mzee Abdulah sasa anatembea kifua mbele, akijua kuwa familia yake imepona na itabaki imara milele.Mzee Abdulah sasa anaishi kwa amani, akimshukuru Dr. Magongo kwa kuirudisha furaha iliyokuwa imepotea nyumbani kwake. Wasiliana na Dr. MAGONGO Leo.Usikubali kutaabika na matatizo kama haya. Dr. MAGONGO yuko hapa kukusaidia popote ulipo.
• Simu (Kenya): +254 720899984
• Simu (Tanzania): +255 740700621
• Barua Pepe: info@magongodoctors.com

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger