Mkurugenzi Mtendaji wa ATE - Bi. Suzanne Ndomba akizungumza wakati akizindua Awamu ya 9 ya Programu ya Mwanamke Kiongozi iliyofanyika leo Machi 23,2023 katika Hoteli ya Sea cliff Jijini Dar es Salaam. 
Mkurugenzi Mtendaji wa ATE - Bi. Suzanne Ndomba akizungumza na waandishi wa habari katika hafla ya uzinduzi wa Awamu ya 9 ya Programu ya Mwanamke Kiongozi iliyofanyika leo Machi 23,2023 katika Hoteli ya Sea cliff Jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi Rasilimali Watu- CRDB , Bw.Godfrey Rutasigwa akizungumza na waandishi wa habari katika hafla ya uzinduzi wa Awamu ya 9 ya Programu ya Mwanamke Kiongozi iliyofanyika leo Machi 23,2023 katika Hoteli ya Sea cliff Jijini Dar es Salaam
Makamu wa Rais GGM- Bw. Saimon Shayo akizungumza na waandishi wa habari katika hafla ya uzinduzi wa Awamu ya 9 ya Programu ya Mwanamke Kiongozi iliyofanyika leo Machi 23,2023 katika Hoteli ya Sea cliff Jijini Dar es Salaam







Meneja Mkuu wa mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika ya Mashariki ( EACOP) Wendy Brown akipeana mkono na kiongozi wa kimila wa kabila la Wataturu Gesuda Masanja wakati wa zoezi la kusaini makubaliano na EACOP ili bomba la mafuta kuchepuka makaburi yao ya asili ili kuheshimu mila na tamaduni zao. 