Tuesday, 5 April 2022

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE APRILI 5,2022

...
Share:

Monday, 4 April 2022

CHUKUA SIRI HII KUTOKA KWA KIWANGA

Wananiita Priscilla Kishama na bwanaangu ni mfanyabiashara mashuhuri ambaye ana magari za abiria nyingi mno na kwa siku yeye hutengeza hela nyingi anazoziweka kwa hazina ya benki.  Kwa kweli sisi ni matajiri! Lakini kumbuka kuwa tulipopatana naye alikuwa mtu maskini asiyejiweza; hata chakula...
Share:

KIKAO KAZI NA MAFUNZO WENYEVITI WA MABARAZA YA ARDHI NA NYUMBA YA WILAYA CHAANZA MKOANI TANGA

Mkurugenzi wa Idara ya Sheria Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Michael Luena akizungumza katika kikao Kazi na Mafunzo cha Wenyeviti wa Mabaraza ya Ardhi na Nyumba nchini kinachoendelea mkoani Tanga tarehe 4 April 2022 Sehemu ya Wenyeviti wa Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya wakiwa...
Share:

SIMBA NA RSB BERKANE ZATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA

Na Alex Sonna SIMBA na RSB Berkane zimetinga kibabe hatua ya Robo Fainali ya Michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kupata ushindi katika mechi zao za mwisho Kundi D. Simba akicheza uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam wameichapa US Gendarmerie mabao 4-0 bao la kwanza...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU APRILI 4,2022

Bandari Dar, ATCL kuvuna neema DRC... ...
Share:

Sunday, 3 April 2022

Video Mpyaaa!!! NTEMI OMABALA - MAJUNGU

Hii hapa ngoma mpya ya Msanii Ntemi Omabala inaitwa Majungu.. ...
Share:

NIC YADHAMINI MBIO ZA BIMA MARATHON 2022, YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WATANO

Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja (NIC), Bw.Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza wa mbio za Bima marathon za kilometa 21 kwa uppande wa wanaume zilizofanyika leo Aprili 03,2022. Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja (NIC), Bw.Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi zawadi...
Share:

DKT. MABULA ATAKA USHIRIKISHWAJI UTATUZI MIGOGORO YA MATUMIZI YA ARDHI KATIKA VIJIJI 975

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula (Kulia) akifurahia jambo na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdlah Ulega mara baada ya kutua na helikopta mkoani Tanga wakati timu ya Mwaziri wa Wizara za Kisekta ilipokwenda kutoa mrejesho wa utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger