Thursday, 15 July 2021

Head Business Advisory at Absa Bank

Head Business Advisory    Bring your possibility to life! Define your career with us With over 100 years of rich history and strongly positioned as a local bank with regional and international expertise, a career with our family offers the opportunity to be part of this exciting growth journey, to reset our future and shape […]

This post Head Business Advisory at Absa Bank has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

RM – Local Large Corporates at Absa Bank

RM – Local Large Corporates   Bring your possibility to life! Define your career with us With over 100 years of rich history and strongly positioned as a local bank with regional and international expertise, a career with our family offers the opportunity to be part of this exciting growth journey, to reset our future […]

This post RM – Local Large Corporates at Absa Bank has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Finance Business Partner – M-Pesa at VODACOM Tanzania Plc

Position: Finance Business Partner – M-Pesa Posting Country: Tanzania, United Republic of Date Posted: 14-Jul-2021 Full Time / Part Time: Full Time Contract Type: Permanent At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global community, it’s our human spirit, together with technology, that empowers […]

This post Finance Business Partner – M-Pesa at VODACOM Tanzania Plc has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

4 Job Opportunities at North Mara Gold Mine Limited – Various Posts

Overview WHAT WE CAN OFFER YOU: A comprehensive compensation package including bonuses, benefits, and where applicable. Ability to make a difference and lasting impact. Work in a dynamic, collaborative, progressive, and high-performing team. Opportunities to grow and learn with the industry colleagues are endless. If you are not contacted by Barrick – North Mara Gold […]

This post 4 Job Opportunities at North Mara Gold Mine Limited – Various Posts has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

HR Manager at Startimes

HR Manager    Job Description The Human Resource will perform different HR tasks and duties to support effective and efficient operations of the Human Resource Department and the organizations. Responsibilities    Assist with day to day operations of the HR functions and duties. Provide clerical and administrative support to Human Resources Assistant Compile and update […]

This post HR Manager at Startimes has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JULAI 15,2021











































Share:

Wednesday, 14 July 2021

Shule Ya Sekondari Geita Yafungwa Baada ya Kuungua Moto Mara ya Tatu


Mkuu wa Mkoa wa Geita, Rosemary Senyamule ameifunga Shule ya Sekondari ya Wavulana Geita (GESECO) kwa muda wa wiki mbili baada ya moto kuwaka katika bweni la wavulana usiku wa kuamkia leo Julai 14, 2021.

Kutokana na uamuzi huo, wanafunzi wote wametakiwa kurudi majumbani, na wanafunzi wanaosoma kidato cha tano watahamishiwa katika shule zingine za sekondari zilizopo katika mkoa huo.

Kufuatia tukio hilo, wanafunzi watatu wanapatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Geita baada na kupata matatizo ya kiafya, ambapo vifaa vyao yakiwemo magodoro, masanduku na nguo na mali nyingine za shule vimeteketea.

Hii ni mara ya tatu kwa shule hiyo kuungua moto ndani ya kipindi kifupi cha wiki mbili ambapo awali darasa lililokuwa likitumiwa kuhifadhi magodoro na masanduku ya wanafunzi liliungua, kisha ikifuatiwa na kuungua kwa maabara ya kemia na baiolojia na kupelekea kuharibika kwa mali mbalimbali.


Share:

Waziri Mabula Asikiliza Kero 120 Za Ardhi Ndani Ya Siku Mbili Morogoro


Na Munir Shemweta, Morogoro
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesikiliza jumla ya kero 120 za ardhi ndani ya siku mbili na kuzipatia ufumbuzi baadhi ya kero hizo ikiwa ni utekelezaji wa magizo ya rais Samia Suluhu Hassan.

Naibu Waziri Mabula ambaye alianza kusikiliza na kuzipatia ufumbuzi kero za ardhi juzi katika wilaya ya Kilosa na jana alikutana na wananchi wenye kero hizo kwenye mkutano wa hadhara eneo la stendi ya Mafiga manispaa ya Morogoro.

Akiwa ameambatana na Mkuu wa mkoa wa Morogoro Martine Shigela, Katibu Tawala Mariam Mtunguja na Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Albert Msando, Kamishna wa Ardhi Msaidizi mkoa wa Morogoro Frank Minzikuntwe pamoja na Wataalamu wa sekta ya Ardhi kutoka manispaa ya morogoro, Naibu Waziri Mabula alimpa fursa kila mwananchi mwenye kero ya ardhi aliyefika kuwasilisha kero yake kwa uwazi na kuwataka wahusika kujibu hoja za wananchi kabla ya yeye kutoa maamuzi.

Kero nyingi za ardhi zilizowasilishwa kwa Naibu Waziri wa Ardhi katika Manispaa ya Morogoro wananchi wake walilalamikia kudhulimiwa maeneo, umilikishaji ardhi mara mbili pamoja na udaiji fidia uliotokana na wananchi kuchukuliwa maeneo yao kutokana na shughuli za kimaendeleo.

Akizungumnza wakati wa kuzipatia ufumbuzi kero ambazo baadhi yake ni za miaka ya tisini Naibu Waziri Dkt. Mabula aliwataka wananchi kuwa makini wakati wa kuuziwa maeneo na kuhakikisha wanapotaka kununua ardhi waulizia ofisi za ardhi ili kujua wamiliki pamoja na matumizi ya eneo hilo.

‘’Mnapotaka kununua eneo lazima mkaulizie ofisi za ardhi ili kujua kama eneo hilo limemilikishwa kwa mtu mwingine au matumizi ya eneo hilo ni yapi maana unaweza kuuziwa eneo kumbe ni la wazi’ alisema Dkt Mabula.

Naibu Waziri wa Ardhi alitoa maelekezo kwa waendaji wa sekta ya ardhi kudhibiti ujenzi holela sambamba na kuhakikisha hakuna mtu anayejenga bila kuwa na kibali na ujenzi wowote unaofanyika unazingatia mipango miji ya eneo husika.

‘’Lazima mdhibiti ujenzi holela katika halmashauri na mshirikishe watendaji wa mitaa kwa kuwa zoezi la urasimishaji linaloendelea siyo la kudumu na hatuwezi kufanya urasimishaji huku ujenzi holela unaendelea’ alisema Dkt Mabula.

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Albert Msando alimpongeza Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kuweza kusikiliza kero 120 za ardhi katika wilaya mbili za Kilosa na Morogoro na kusema hatua hiyo inafanya wilaya yake kuongeaza juhudu za kushughulikia kero za ardhi tofauti na malengo yake ya kusikiliza kero mia tano kwa mwaka.

Kwa mujibu wa Msando, wilaya ya Morogoro imejiwekea malengo ya kusikiliza na kuzipatia ufumbuzi kero mia tano za ardhi katika kipindi cha mwaka mmoja.

Kamishna wa Ardhi Msaidizi mkoa wa Morogoro Frank Minzikuntwe alieleza katika mkutano huo kuwa, migogoro mingi ya ardhi kwenye mkoa huo imesababishwa na ununuzi holela wa ardhi unaofanywa na wananchi hasa kupitia watendaji mitaa au wenyeviti wa vijiji.

“Migogoro mingi hapa morogoro imesababishwa na wananchi kununua ardhi kiholela bila kupitia ofisi za ardhi ambazo ndizo zenye kumbukumbu za wamiliki” alisema Frank.

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula alimaliza ziara yake jana mkoani Morogoro na anaendelea katika mkoa wa Dodoma eneo la Kibaigwa ikiwa ni utekelezaji wa  maagizo ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan aliyemtaka kwenda kusikiliza na kuzipatia ufumbuzi kero za ardhi  baada ya kupokea  malalamiko kutoka kwa wananchi wa maeneo hayo.



Share:

AKUTANA NA MWANAE WA MIAKA 24 BAADA YA KUIBIWA


Mtu mmoja nchini China amekutana na mtoto wake wa kiume baada ya miaka 24 akimsaka ambapo alisafiri mwendo wa kilomita 500,000 (maili 310,000 ) kwa pikipiki kote nchini.

Guo Gangtang alipokonywa mtoto wake huyo wa kiume na watu wawili wanaofanya biashara haramu ya binadamu alipokuwa mbele ya nyumba yao katika jimbo la Shandong.

Kutoweka kwa mwanae kulipelekea kutengenezwa kwa filamu mwaka 2015, ambayo ilichezwa na mchezaji filamu nyota wa Hong Kong Andy Lau.

Kutekwa nyara kwa watoto ni tatizo kubwa nchini Uchina, huku maelfu ya watoto wakiibiwa kila mwaka.

Kulingana na Wizara ya usalama wa umma ya Uchina, polisi waliweza kumpata mtoto huyo kwa kutumia kipimo cha vinasaba -DNA.

Washukiwa watatu walifuatiliwa na baadaye kukamatwa, limeripoti gazeti la Global Times.

Washukiwa ambao walikuwa wanachumbiana wakati huo, walikuwa wamepanga kumteka mtoto kwa lengo la kumuuza kwa ajiloi ya kuipata , imesema taarifa ya China News.

Baada ya kumpata mtoto wa Bw Guo akicheza peke yake nje ya nyumba, mshukiwa wa kike aliyetambuliwa kwa jina pekee la baba yake kama Tang , alimvuta na kumchukua hadi kwenye kituo cha basi ambako mpenzi wake, Bw Hu, alikwa akisubiri.

Wawili hao walipanda basi linalosafiri kwenye miji mbali mbali wakaelekea hadi katika jimbo jirani la Henan na kumuuza huko.

Vyombo vya habari vya jimbo hilo vinaripoti kuwa kijana huyo alipatikana akiwa bado anaishi katika jimbo hilo.

"Sasa kwasababu mtoto amepatikana, kuanzia sasa ni furaha ," Bw Guo aliwaambia waandishi wa habari.

Baada ya mtoto wake kutekwa nyara mwaka 1997, Bw Guo alirirpotiwa kusafiri katika zaidi ya majimbo 20 kote nchini Uchina nyuma ya mwendesha pikipiki akifuata taarifa alizopewa na watu za mahala anakoweza kuwa mtoto wake.

Katika mchakato huo, alivunjika mifupa katika ajali za barabarani na kukabiliana na wezi. Pikipiki 10 pia ziliharibika.

Akitembea na bango la picha ya mwanae wa kiume, anasemekana ameishi akiweka akiba kwa ajili ya kumtafuta mwanae, akilala chini ya madaraja, na kuomba pesa alipoishiwa.

Wakati akimsaka mwanae, pia amekuwa mjumbe maarugu wa mashirika ya watu waliopotea nchini Uchina, na amesaidia wazazi takriban saba kuwapata watoto wao waliotekwa nyara.

Mara taarifa kwamba mtoto wa Bw Guo amepatikana ilipotangazwa, mitandao ya habari ya kijamii ya Uchina ilifurika kwa ujumbe wa kumsifu baba huyo.

"Wazazi wengi labda hata wangelikuwa wamekata tamaa muda mrefu uliopita. Ni mtu mwema sana na nimemfurahia kusema kweli ," mtu mmoja aliandika kwenye ukumbi wa mabloga wa Weibo.

Nchini Uchina, utekeji nyara na usafirishaji haramu wa watoto wachanga umekuwa tatizo kwa miongo mingi.

CHANZO-BBC SWAHILI
Share:

Security Officer at Tanica PLC

SECURITY OFFICER   INTRODUCTION. TANICA PLC was established as Tanganyika Instant Coffee Company Limited (TANICA  LTD) under Companies ordinance (Cap. 212) in 1963 as a limited liability company. TANICA has been a state – owned company since inception until it was privatized in  2004 and the small coffee farmers in Kagera Region. Through their unions, […]

This post Security Officer at Tanica PLC has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Laboratory Technician at Tanica PLC

LABORATORY TECHNICIAN   INTRODUCTION.  TANICA PLC was established as Tanganyika Instant Coffee Company Limited (TANICA  LTD) under Companies ordinance (Cap. 212) in 1963 as a limited liability company. TANICA has been a state – owned company since inception until it was privatized in  2004 and the small coffee farmers in Kagera Region. Through their unions, […]

This post Laboratory Technician at Tanica PLC has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

NAIBU WAZIRI KASEKENYA AKAGUA BARABARA NA KUONGEA NA WANANCHI MKOANI KAGERA

 

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya, akizungumza na wakazi wa kata ya Mutukula wilayani Misenyi mkoa wa Kagera, wakati akikagua barabara ya mpya ya Mutukula hadi Minziro, mpakani mwa Tanzania na Uganda.

Wakazi wa kata ya Mutukula wilayani Misenyi mkoa wa Kagera, wakimsikiliza Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya (hayupo pichani), aliposimama kuzungumza nao wakati akikagua barabara ya mpya ya Mutukula hadi Minziro, mpakani mwa Tanzania na Uganda.

Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Rashid Mohamed, akielezea jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya (wa pili kushoto), wakati Naibu Waziri huyo akikagua barabara ya Omurushaka, Kyerwa hadi Murongo (KM110), iliyotengewa fedha na Serikali kwa ajili ya kuanza kujengwa kilometa 50 kwa kiwango cha lami.

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya (wa pili kulia) akimsikiliza mtaalamu wa vipimo vya ugonjwa wa COVID katika mpaka wa Tanzania na Uganda eneo la Murongo, aliposimama wakati akikagua barabara ya Omurushaka, Kyerwa hadi Murongo (KM 110), iliyotengewa fedha na Serikali kwa ajili ya kuanza kujengwa Kilometa 50 kwa kiwango cha lami.

Muonekano wa sehemu ya barabara ya Kyaka hadi Bugene (KM60), mkoani Kagera.

PICHA NA WUU

Share:

Accountant at Tanica PLC

ACCOUNTS ASSISTANT INTRODUCTION.  TANICA PLC was established as Tanganyika Instant Coffee Company Limited (TANICA  LTD) under Companies ordinance (Cap. 212) in 1963 as a limited liability company. TANICA has been a state – owned company since inception until it was privatized in  2004 and the small coffee farmers in Kagera Region. Through their unions, KCU […]

This post Accountant at Tanica PLC has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Sales Officer at Tanica PLC

SALES OFFICER   INTRODUCTION. TANICA PLC was established as Tanganyika Instant Coffee Company Limited (TANICA  LTD) under Companies ordinance (Cap. 212) in 1963 as a limited liability company. TANICA has been a state – owned company since inception until it was privatized in  2004 and the small coffee farmers in Kagera Region. Through their unions, […]

This post Sales Officer at Tanica PLC has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

SERIKALI YAKABIDHI VIFAA VYA MIL 98 KWA VIKUNDI VYA UJASIRIAMALI WA MAZAO YA MISITU HANDENI


Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) (wa nne kulia) na Balozi wa Finland nchini Tanzania, Mhe. Riita Swan (wa tatu kulia) wakikabidhi mavazi na buti kwa kikundi cha wajasiriamali cha Uhunzi wa Majiko Sanifu katika hafla fupi ya kukabidhivifaa vya kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu kwa wajasiriamali wadogo iliyofanyika leo Wilayani Handeni, Tanga.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) (wa pili kulia) na Balozi wa Finland nchini Tanzania, Mhe. Riita Swan (wa kwanza kulia) wakikabidhi mojawapo ya mzinga wa nyuki kati ya mizinga 529 kwa kikundi cha wajasiriamali cha ufugaji nyuki katika hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu kwa wajasiriamali wadogo iliyofanyika leo Wilayani Handeni, Tanga.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akihutubia wananchi katika hafla fupi ya kukabidhivifaa vya kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu kwa wajasiriamali wadogo iliyofanyika leo Wilayani Handeni, Tanga.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) (wa sita kulia) na Balozi wa Finland nchini Tanzania, Mhe. Riita Swan (wa tano kulia) wakikabidhi mashine ya kuchakata mbao kwa kikundi cha wajasiriamali cha uselemala katika hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu kwa wajasiriamali wadogo iliyofanyika leo Wilayani Handeni, Tanga. Wengine ni Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Tanga, ambaye ni Mkuu wa Wilaa ya Handeni, Mhe. Siriel Mchemba(wa nne kulia).
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) (wa kwanza kushoto) na Balozi wa Finland nchini Tanzania, Mhe. Riita Swan (wa pili kushoto) wakikabidhi mashine ya kufua umeme kwa kikundi cha wajasiriamali cha uselemala katika hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu kwa wajasiriamali wadogo iliyofanyika leo Wilayani Handeni, Tanga. Anayeshuhudia ni Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Tanga ambaye ni Mkuu wa Wilaa ya Handeni, Mhe. Siriel Mchemba (katikati).
Baadhi ya wananchi wa vijiji vya Wilaya ya Handeni wakimsikiliza Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) alipokuwa akihutubia katika hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu kwa wajasiriamali wadogo iliyofanyika leo Wilayani Handeni, Tanga.
Mkurugenzi wa Misitu na Nyuki, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt.Ezekiel Mwakalukwa akitoa maelezo kuhusu uanzishwaji wa mradi wa kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu (FORVAC) katika hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu kwa wajasiriamali wadogo iliyofanyika leo Wilayani Handeni, Tanga.

**************************
Na Happiness Shayo-Handeni
Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imekabidhi vifaa vya kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu kwa vikundi 20 vya wajasiriamali vinavyojihusisha na ufugaji nyuki, seremala, uhunzi wa majiko banifu kutoka vijiji vya Mazingara, Kitumbi, Gole, Kwamsundi na Kwedikabu Wilayani Handeni Mkoani Tanga.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya vifaa hivyo yaliyofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Handeni.

Mhe. Masanja amesema kuwa makabidhiano hayo ni mwendelezo wa awamu za ugawaji vifaa kwa wanavijiji ili kuinua uchumi wao.

“Awamu ya kwanza ilifanyika mwezi Machi, 2021 kwa wananchi wa Wilaya ya Songea Mjini, Namtumbo na Ruangwa ambapo Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (Mb) alikabidhi mashine tatu za kisasa za kuchakata magogo” amesema Mhe. Masanja.

Amefafanua kuwa vifaa hivyo vyenye gharama ya shilingi 98,048,000 ni sehemu ya utekelezaji wa mradi mkubwa wa kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu (FORVAC) ambao pamoja na mambo mengine unaangalia namna bora ya kutumia mazao ya misitu katika hali ya uendelevu.

Aidha, amewataka wajasiriamali hao kuhakikisha wanatumia vizuri vifaa walivyokabidhiwa ili viweze kufikia malengo yaliyokusudiwa ya kuongeza mapato kwa wananchi.

Naye, Balozi wa Finland nchini Tanzania, Mhe. Riita Swan amesema mradi wa FORVAC nchini Tanzania ulianza mwaka 2018 ukiwa ni moja ya miradi mikubwa inayosaidia kukuza ushirikiano baina ya nchi ya Tanzania na Finland.

Amesema lengo la mradi huo ni kuongeza mapato ya kiuchumi, kijamii na kimazingira kiutokana na misitu inayopatikana nchini Tanzania.

Balozi Swan ametaja mikoa ambayo mradi huo umekuwa ukitekelezwa kuwa ni Tanga, Ruvuma, Lindi na Dodoma .

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Misitu na Nyuki kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Ezekiel Mwakalukwa amesema kuwa Wizara ya Maliasili na Utalii ilianzisha mradi wa FORVAC kwa lengo la kusaidia wananchi kuanzisha na kumiliki misitu ya vijiji kwa mujibu wa sheria.

Ameongeza kuwa baada ya wananchi hao kumiliki misitu hiyo, watumie fursa hiyo kuvuna rasilimali iliyopo kwa njia endelevu ili kukuza uchumi wao.

Hafla ya ugawaji vifaa vya kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu kwa wajasiriamali wadogo ilihudhuriwa na Viongozi kutoka Mkoa wa Tanga, Viongozi na Watendaji kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii, Viongozi na Watendaji kutoka FORVAC na wanavijiji wa Wilaya ya Handeni
Share:

Warehouse Officer at Tanica PLC

WARE HOUSE OFFICER   INTRODUCTION. TANICA PLC was established as Tanganyika Instant Coffee Company Limited (TANICA  LTD) under Companies ordinance (Cap. 212) in 1963 as a limited liability company. TANICA has been a state – owned company since inception until it was privatized in  2004 and the small coffee farmers in Kagera Region. Through their […]

This post Warehouse Officer at Tanica PLC has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Business Analyst Cum Project Manager at NMB Bank

Business Analyst Cum Project Manager (PMO)   Contract duration:  2 years’ contract Job Purpose To ensure business needs are addressed through definition and implementation of correct functional and technical requirements, proper translation of the requirements into functional and technical specifications and testing of delivered solution To manage projects schedule, scope, cost, quality, risks, procurements, change and […]

This post Business Analyst Cum Project Manager at NMB Bank has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger