
Wednesday, 27 January 2021
RAIS MAGUFULI ATOA MSIMAMO CHANJO YA CORONA...."SITEGEMEI KUTANGAZA KUJIFUNGIA NDANI"

TAKUKURU SINGIDA YAOKOA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 270
Na Dotto Mwaibale, Singida
TAASISI ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Singida imeokoa zaidi ya shilingi 270.7 kutoka maeneo mbalimbali ikiwemo mikopo umiza.
Akitoa taarifa ya utekelezaji kwa kipindi cha miezi mitatu Oktoba hadi Disemba 2020 Mkuu wa Taasisi hiyo Mkoani hapa Adili Elinipenda alisema Takukuru imeokoa shilingi milioni 270,079,600 ndani ya kipindi hicho kutoka maeneo mbalimbali.
Elinipenda alisema shilingi milioni 154,416,000 pekee zimeokolewa kutoka mikopo umiza, shilingi milioni 28,000,000 ziliokolewa kutokana na fidia ya maeneo ya wananchi yaliyotwaliwa kufanya shughuli za uchimbaji madini Wilayani Mkalama,wakati kiasi kingine kikiokolewa kutoka maeneo mengine ikiwemo mahakama ya Manyoni.
"Fedha hizi tulizikabidhi kwa wahusika baada ya kuokolewa ambapo fedha tulizoziokoa kutoka mikopo umiza, Mkuu wa Mkoa Dk Nchimbi aliwakabidhi wananchi hao wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani Manispaa ya Singida." alisema Elinipenda.
Alisema katika kuhakikisha Vitendo vya Rushwa vinaisha Takukuru kwa kushirikiana na wadau wengine imeendelea kutoa Elimu kwa jamii kwa kushirikisha makundi mbalimbali ikiwemo Vijana wa shule za msingi, Sekondari na Vyuo.
Aidha Elinipenda alisema Taasisi hiyo imeanzisha utaratibu wa Takukuru inayotembea (MOBILE PCCB) ambapo itatenga siku moja ndani ya mwezi ili kuwatembelea wananchi kwenye maeneo yao lengo la kufanya hivyo ni kusikiliza na kutatua kero zao.
Hata hivyo Taasisi hiyo inazidi kutoa rai kwa wananchi wa Mkoa wa Singida kujiepusha na Vitendo vya Rushwa huku ikiwataka kushiriki kikamilifu katika kutoa taarifa za Vitendo hivyo pamoja na kutoa ushirikiano kwenye uchunguzi na kutoa ushahidi mahakamani
WATOTO WAFARIKI KWA KUANGUKIWA UKUTA MVUA IKINYESHA GEITA

DC AGEUKA MBOGO WAFANYAKAZI MGODI WA DHAHABU MAHIGA - MWAKITOLYO KUNYANYASWA NA WAWEKEZAJI
WAITARA AMTAKA DED TARIME KULIPA DENI LA MIL.185 LINALODAIWA NA MSD NA KUSABABISHA KUTOPATIWA DAWA
Diwani wa kata ya Kemambo Rashid Bogomba aliongeza, "Kuna hospitali zingine ukienda huna bima wanakushangaa lakini ukiwa na bima wanakujali kama mfalme shida ya hapa wao wanajali watu wanaotoa fedha kuliko watu wenye bima".
RAIS MAGUFULI KUZINDUA SHAMBA LA MITI LEO CHATO

Tuesday, 26 January 2021
Graphic Design Intern at Abel & Fernandes
This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content
Graphic Design Intern Abel & Fernandes Communications Dar es Salaam, Tanzania Abel & Fernandes is an integrated marketing agency specialising in a strategic hybrid of traditional PR, SEO, Social media and media-rich content. Based in Dar es Salaam, Tanzania Abel & Fernandes has over 20 years of collective experience working with some of the […]
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Assistant Nursing Officer at Muhimbili Orthopaedic Institute
This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content
Assistant Nursing Officer TEMPORARY EMPLOYMENT OPPORTUNITIES BACKGROUND Muhimbili Orthopaedic Institute (MOI) is an autonomous institute established through an Act of parliament No 7 of 1996 with the main objective of providing service in the fields of Orthopedics, Traumatology and Neurosurgery. Also to offer training and research on how to provide best services to Tanzanians. […]
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Laboratory Technologist II at Muhimbili Orthopaedic Institute
This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content
Laboratory Technologist II TEMPORARY EMPLOYMENT OPPORTUNITIES BACKGROUND Muhimbili Orthopaedic Institute (MOI) is an autonomous institute established through an Act of parliament No 7 of 1996 with the main objective of providing service in the fields of Orthopedics, Traumatology and Neurosurgery. Also to offer training and research on how to provide best services to Tanzanians. […]
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Legal Officer II at Muhimbili Orthopaedic Institute
This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content
Legal Officer II TEMPORARY EMPLOYMENT OPPORTUNITIES BACKGROUND Muhimbili Orthopaedic Institute (MOI) is an autonomous institute established through an Act of parliament No 7 of 1996 with the main objective of providing service in the fields of Orthopedics, Traumatology and Neurosurgery. Also to offer training and research on how to provide best services to Tanzanians. […]
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details



















