Tuesday, 22 March 2016

New Music: Izzo Bizness Ft Barnaba & Shaa – Usijiovadoze

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

http://old.hulkshare.com/dl/zlt3xm4z6yo0/Izzo_Bizness_ft_Barnaba_%26_Shaa_-_Usijiovadoze.mp3?d=1
Share:

New Music: Amini – Hawajui

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 
http://old.hulkshare.com/dl/puruut6agmww/Amini_-_Hawajui.mp3?d=1
Share:

Kutoka Ofisi ya Bunge:Majina ya Wabunge Waliobadilishwa Kwenye Kamati za Kudumu za Bunge na Spika wa Bunge Job Ndugai

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Zitto Kabwe Atangaza Kujiuzulu Ujumbe Kamati ya Huduma Za Jamii Baada ya Wajumbe wake Kutuhumiwa Kwa Rushwa

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, ameishtumu Kamati ya Huduma za Jamii anayohudumu kuwa kuna baadhi ya Wajumbe wammepokea rushwa.

Kutokana na shtuma hizo ameamua kumuandikia spika  barua  ya kujiuzulu  na kumtaka achunguze na kuchukua hatua.

Hii  ni nakala ya barua yake aliyomwandikia spika wa bunge
Share:

Monday, 21 March 2016

MAJINA AJIRA MPYA WIZARA YA AFYA 2015/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
AM-Logo
Habari yenu,
Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG ni kunusanusa na kutafuta habari roho inapenda ,hatimae wizara ya afya imetoa ajira kwa wahitimu wa vyuo vya afya 2015/2016 nchi nzima.
Tunaendelea kutoa huduma ya kuangalizia watu majina endapo unataka kujua umepagiwa wilaya ipi,au umepata kazi,fanya yafuatayo;
nitext watsup kwa namba 0768260834-nitakujibu

KUANGALIA MAJINA HAYO BONYEZA HAPO CHINI
>>>>>>>>>>>>BONYEZA HAPA<<<<<<<<<<<<<<<
Share:

SELECTED APPLICANTS FOR BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE IN PRIMARY EDUCATION FOR THE YEAR 2015/2016, MARCH INTAKE-MAKUMIRA UNIVERSITY ARUSHA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA

SELECTED APPLICANTS FOR BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE IN PRIMARY EDUCATION  FOR THE YEAR 2015/2016, MARCH INTAKE

Click on your name to obtain your admission letter and bring it with you when reporting to the University.
Infomation about fee structure is availble here
SN NAME SEX
1 ABISTARIKI EDEN MCHARO M
2 AIRINE ANOLD F
3 ALHAJI M. SHAYO M
4 ANANDE KANANKIRA F
5 BARAKA VELLO LAIZER M
6 BOSHI KITITI LAIZER M
7 CATHERIN AYO F
8 DAINESS G TUNGUHOLE F
9 DAVIS DONALD MAENDEKA M
10 DITIMARY MELKIORI NJAU M
11 EDENLIGHT NICHOLAUS MUSHI F
12 ENAIS E. URIO F
13 GLORY ZELOTHE F
14 HALIMA JUMA SHABANI F
15 JESCA G. TILYA F
16 JOHN E. MNGULWI M
17 JOHN WILLBERTH AKYOO M
18 JOYCE JOHN F
19 JOYNESS REOBERT KWEKA F
20 JUSTON MARK M
21 KENNETH ANDREW JOB M
22 LOVENESS PAUL KARIONGI F
23 LUCAS N SANGAYON M
24 LUCY NGOWA F
25 MAHIJA ABDALAH SAIDI F
26 MARIA KIMANGA MOLLEL F
27 MWANAIDI D MAGOBA F
28 NAOMI T SIMON F
29 NGITORIA N MAYANI M
30 PETRO MBISE M
31 SABRA S.SELEMANI F
32 SARA NGOMA AGUSTINO F
33 SAYUNI J KILEO F
34 SHAMIMU AMIRI MVUNGI F
35 UPENDO YOHANA MNGOYA F
36 VIOLET LYMO F
37 WALTER G. MWANRY M
Share:

Information To Students Who Have Been Transferred From St. Joseph University ( Songea and Arusha Cumpuses) To Sokoine University of Agriculture (SUA)

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Image result for suanet
The management of SUA is pleased to inform all students who have been transferred from St. Joseph University (Songea and Arusha Campuses) to Sokoine University of Agriculture (SUA) that they are required to report at SUA on 28th March, 2016.
Read More:

Share:

DC MASWA AAGIZA JESHI LA POLISI MASWA KUMKAMATA MENEJA WA MAMLAKA YA MAJI MASWA LEMA JEREMIAH

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

DC Maswa Rosemary Kirigini ameliagiza jeshi la polisi kumkamata na kisha kumfikisha katika vyombo vya sheria Meneja wa Mamlaka ya Maji Maswa(MAUWASA)Lema Jeremiah (pichani) kwa kuidanganya kamati ya ulinzi na usalama juu ya gharama za ujenzi wa chujio la maji katika bwawa la Zanzui.Naye Rc Simiyu,Antony Mtaka ameitaka TAKUKURU kuchunguza uendeshaji wa Mauwasa kwani kuna dalili za matumizi mabaya ya fedha za serikali.Pia kuwanweshwa maji yenye tope wakazi wa Maswa na bila kuyawekewa dawa ya kuua vijijidudu.
Share:

MPYA:MWISHO WA KUTUMA MAOMBI KOZI ZA AFYA NI TAREHE 31 MARCH 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Habari zenu,
naepnda kuwakumbukusha kwamba endapo unahitaji kujiunga na vyuo vya afya  ninakushauri utume maombi sasa.kwani deadkline ni tar 31/3/2016 na masomo yataanza tar 18 april 2016,wahi mapema kutuma maombi,kwani zimebaki siku chache sana,tafadhali mpe taarifa mwenzio ambae hana taarifa hizi muhimu.
wako,innocent the blogger boy(maswayetu blog)
BONYEZA HAPA KUFANYA APPLICATION ZA AFYA SASA
Share:

Msafara wa Kamati ya Bunge Utawala na TAMISEMI Wapata Ajali Mbaya Bagamoyo ....Watu Watano Wafariki Dunia

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

WATU watano wamefariki dunia huku nane wamejeruhiwa, katika ajali iliyoyahusisha magari manne, mawili yakiwa katika msafara wa Kamati ya Bunge Utawala na TAMISEMI maeneo ya Kerege, Bagamoyo Pwani.

Waliofariki katika ajali ni Hilda Msele (59), Mkuu wa Idara ya Mipango ya Uchumi, Makame Ally (40), Dereva wa Tasaf, Khalid Hassan (40), Tunsime Duncan, Mwanasheria wa Wilaya  na Ludovick Palangya, Mchumi.

Majeruhi waliolazwa katika hospitali ya Taifa ua Muhimbili ni Ibrahim Matovu, Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Bagamoyo, Juliana Msaghaa, Mhandisi wa Maji wilaya, Dorothy Njetile, Mratibu wa Tasaf, George Mashauri, Mweka Hazina wa Wilaya, Amadeus Mbuta, Mshauri wa Tasaf, Julius Mwanganda, Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii, Tauliza Halidi, Mwananchi na Amari Mohamed, Mwananchi.

Aliyepelekwa katika hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo na kuruhusiwa ni Grace Mbilinyi ambaye ni Afisa Utumishi na Utawala wa Wilaya.

Ajali hiyo ilihusisha lori la mchanga, gari dogo yaliyokuwa yanatokea Bagamoyo kuja Dar es Salaam, na magari mawili yaliyokuwa kwenye msafara wa Kamati hiyo, yaliyokuwa yanaenda Bagamoyo kwa shughuli zake za kibunge.

Magari yaliyokuwa katika msafara wa kamati hiyo, ni gari la Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) na gari la Mkurugenzi wa Wilaya ya Bagamoyo ambayo yaligongwa na lori hilo la mchanga na kusababisha vifo vya watu hao na kuwajeruhi wengine kadhaa.

Ajali hiyo ilitokea baada ya gari dogo lililokuwa linatokea Bagamoyo kupunguza mwendo ghafla na kusababisha lori lililokuwa nyuma yake kuligonga na kuhama upande wa pili na kuyagonga magari mawili yaliyokuwa katika msafara wa kamati ya Bunge.
Share:

PRESS RELEASE-CoNAS 50 YEARS ANNIVERSARY FROM 30TH MARCH TO 1ST APRIL 2016, NKRUMAH HALL

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 Home

PRESS RELEASE-CoNAS 50 YEARS ANNIVERSARY FROM 30TH MARCH TO 1ST APRIL 2016, NKRUMAH HALL

The College of Natural and Applied Sciences (CoNAS) is proudly celebrating its 50 years anniversary since its establishment in 1965 as Faculty of Science (FoS) and later transformed into a College in April 2009. Following this historical event, the Principal of the College, Prof. Thomas Lyimo, invites all alumni of the former FoS and current CoNAS, UDSM and the constituent colleges community, esteemed Government officials, Development Partners, Ambassadors, friends and the general public to join hands and celebrate 50 years of Science in Tanzania.

Click <<HERE>> for more Information.
 
source: UDSM
Share:

TCU: Additional List of Transferred Students from SJUIT to other Universities as at 21st March 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Additional List of Transferred Students from SJUIT to other Universities as at 21st March 2016
source: Tcu 
Share:

VIDEO:MATOKEO YA URAIS KATIKA UCHAGUZI MKUU ZANZBAR DKT.ALI MOHAMED SHEIN ATANGAZWA RAIS WA ZANZBAR

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 MATOKEO RASMI:
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Jecha Salim Jecha amemtangaza Dr. Mohammed Shein kuwa Rais wa Zanzibar kwenye uchaguzi wa marudio uliofanyika Machi 20, 2016 kwa asilimia 91.4.
shein.jpg

Dr. Mohammed Shein

Kwa mujibu wa Jecha, Shein amepata ushindi wa kishindo wa kura 299,982 ambazo ni sawa na asilimia 91.4. Nafasi ya pili imeshikiliwa na mgombea urais wa ADC, Hamad Rashid aliyepata kura 6,734 huku Maalim Seif Sharif Hamad (CUF) akishika nafasi ya tatu kwa kupata kura 6,076.

Kutokana na matokeo hayo, Dk. Ali Mohamed Shein ndiye atakayeendelea kuiongoza Zanzibar kwa muhula wake wa mwisho kwa mujibu wa Katiba.
matokeo.jpg
 
Share:

SERIKALI YAANZA KUHAKIKI MISHAHARA HEWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Siku chache baada ya wakuu wa mikoa kuapishwa na Rais John Magufuli, imeelezwa kuwa wakuu hao wametoa agizo la kuhakiki taarifa za watumishi wa umma kwenye mikoa yao.

Agizo hilo la Rais linalenga kubaini watumishi hewa katika mikoa na wilaya nchini. Kazi hiyo imeanza kutekelezwa kwenye baadhi ya hospitali za Serikali nchini.

Taarifa zilizoptaikana jana, zimeleza kuwa Hospitali ya Wilaya ya Temeke na nyingine za mikoani, watumishi wote wametakiwa kupeleka viambatanisho kadhaa kwa ajili ya uhakiki wa taarifa zao za ajira.

Chanzo kutoka hospitali ya Temeke kilieleza kuwa viambatanishi hivyo ni pamoja na barua ya ajira, wasifu wa kazi na stakabadhi ya malipo ya mshahara.

Chanzo hicho kilisema kuwa agizo hilo lilitolewa mwishoni mwa wiki iliyopita na wafanyakazi wanatakiwa kukabidhi viambatanisho hivyo kuanzia wiki hii.

Ofisa Uhusiano wa Manispaa ya Temeke, Joyce Msumba alisema, “Hatuhakiki watumishi wa sekta ya afya tu ni watumishi wote wa umma.”

Alisema watumishi ambao wako nje ya vituo vyao vya kazi, wametakiwa kurejea mara moja kwa ajili ya kazi hiyo.
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATATU MARCH 21 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

Sunday, 20 March 2016

Matokeo ya Uchaguzi wa urais na ubunge Zanzibar: Nahodha Shamsi Vuai (CCM) apeta Ubunge Jimbo la Kijitoupele.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


East Africa Television (EATV)'s photo.
Nahodha ShamsiVuai
Mgombea Nahodha Shamsi Vuai (CCM) ametangazwa mshindi wa Ubunge Jimbo la Kijitoupele.

‪#‎UchaguziZanzibar‬ Nahodha Shamsi Vuai (CCM) ametangazwa mshindi wa Ubunge Jimbo la Kijitoupele.

East Africa Television (EATV)'s photo.
Share:

VYUO VYA AFYA VITAKAVYOCHUKUA WANAFUNZI APRIL 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI

    

MAOMBI YA NAFASI ZA MAFUNZO MWAKA WA MASOMO MACHI 2016/2017

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) wanatangaza nafasi za masomo kwa kozi mbalimbali za afya zinazotolewa na vyuo vilivyosajiliwa na NACTE na kutambuliwa na wizara. Vyuo vitakavyoendesha mafunzo haya kwa muda huu ni:

BONYEZA HAPA KUONA VYUO HIVYO

Kufuatia tangazo hili watu wote wanaopenda kujiunga na kozi hizi, watume maombi yao ili wajiunge na kozi hizi ifikapo mwezi April 2016.
  1. Muda wa Mafunzo:  
  • Miaka mitatu (3)kwa kozi za Stashahada (Ordinary Diploma)
  • Miaka miwili (2) kwa kozi za astashahada (Technician Certificate)
  • Mwaka mmoja (1) kwa astashahada ya awali (Basic Technician Certificate)
  1. Sifa za Muombaji Watarajali (Pre-service):
  2. Kozi za stashahada (ordinary diploma)
  • Kozi za Stashahada ya Maabara (Ordinary Diploma in medical laboratory sciences) amemaliza kidato cha nne na ufaulu wake  uwe wa kiwango kisichopungua alama ya ‘C’,  kwa masomo ya biologia na kemia , na alama ‘D’ kwa somo la fizikia, Hisabati na Kingereza kwa  .
  • kozi za Stashahada ya uuguzi na ukunga (ordinary diploma in nursing and midwifery)Awe amemaliza kidato cha nne  na ufaulu wake  uwe wa kiwango kisichopungua alama ya ‘C’,  kwa masomo ya biologia na kemia , na alama ‘D’ kwa somo la fizikia. ufaulu wa  Hisabati na Kingereza ni sifa ya ziada
  • kozi za Stashahada ya Utabibu (ordinary diploma in clinical Medicine)Awe amemaliza kidato cha nne  na ufaulu wake  uwe wa kiwango kisichopungua alama ya ‘C’,  kwa masomo ya biologia na kemia , na alama ‘D’ kwa somo la fizikia. ufaulu wa  Hisabati na Kingereza ni sifa ya ziada

  1. Kozi za astashahada (technician certificates)

  • Astashahada ya  maabara (Technician Certificate medical laboratory sciences).  amemaliza kidato cha nne  na ufaulu wake  uwe wa kiwango kisichopungua alama ‘D’, kwa masomo ya biologia, Kemia, Fizikia, Hisabati na Kiingereza.
  • Astashahada ya Uuguzi na ukunga (Technician Certificate nursing and midwifery). awe amemaliza kidato cha nne  na ufaulu wake  uwe wa kiwango kisichopungua alama ‘D’, kwa masomo ya biologia, Kemia, Fizikia.  Hisabati na Kiingereza ni sifa za ziada
  • Astashahada ya Utabibu  (Technician Certificate clinical medicine). awe amemaliza kidato cha nne  na ufaulu wake  uwe wa kiwango kisichopungua alama ‘D’, kwa masomo ya biologia, Kemia, Fizikia.  Hisabati na Kiingereza ni sifa za ziada

  1. Astashahada ya awali (basic Technician certificate)

  • Uhudumu wa afya (Community Health worker) awe memaliza kidato cha nne  na ufaulu wake  uwe wa kiwango kisichopungua alama ‘D’, kwa masomo manne (4), somo la biolojia (Biology) likiwa nilazima  
  • Watoaji dawa muhimu (Dispencers) awe amemaliza kidato cha nne  na ufaulu wake  uwe wa kiwango kisichopungua alama ‘D’, kwa masomo manne (4), somo la biolojia (Biology) likiwa ni lazima.

  1. Utaratibu wa kutuma maombi:
Maombi yatafanyika kwa  njia ya mtandao kupitia mfumo wa udahiri wa pamoja (Central Admission System-CAS) unaoendeshwa na kusimamiwa na NACTE.Aidha mfumo huu unapatikana kupitia Tovuti: www.nacte.go.tz  au  www.cas.go.tz 
  1. Utaratibu wa kutoa taarifa kwa waliochaguliwa:
  2. Baraza la Elimu ya Ufundi (NACTE) litakuwa na wajibu wa kuwataarifu wale wote watakaofanikiwa kuchaguliwa kujiunga na kozi mbalimbali kupitia ‘website’ ya Baraza na pia kupitia utaratibu mwingine wowote utakaodhihirika kurahisisha mawasiliano na utoaji taarifa.
  3. Taarifa hizo zitatumwa pia vyuoni kwa ajili ya ufatiliaji na urahisishaji wa mawasiliano.
  4. Muda wa mwisho wa kuomba kujiunga ni tarehe 31 Marchi, 2016.
  5. Muhula wa masomo unatarajiwa kuanza tarehe 18 April, 2016.
Imetolewa na:
Kaimu Katibu Mtendaji,
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
S.L.P. 7109,
Dar es Salaam.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger