Friday, 28 March 2014

Siri ya CCM kung’ang’ania Serikali mbili kikatiba

Siri ya CCM kung’ang’ania Serikali mbili kikatiba   Msimamo huo ni kinyume na mapendekezo au matakwa ya wengi kama ilivyoainishwa kwenye Rasimu ya Pili ya Katiba iliyoandaliwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba Katika maisha ya kawaida, binadamu ana msimamo...
Share:

VIDEO:SPKA AKIONYA VURUGU NDANI YA BUNGE LA KATIBA

...
Share:

Seif: Hatuko tayari kujadili serikali mbili

Zanzibar. Makamu wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema chama chake cha CUF hakiko tayari kujadili mfumo wa Muungano wa serikali mbili kama inavyotetewa na wabunge wa CCM na Rais Jakaya Kikwete. Amesema tayari amewaandikia...
Share:

ROSE NDAUKA ADAIWA KUMTIBULIA DILI BATULI

ROSE NDAUKA ADAIWA KUMTIBULIA DILI BATULI Akizungumza na Ijumaa kwa sharti la kutotajwa jina lake, chanzo kilisema, wazo la project ile alikuwa nalo Batuli lakini Rose akaingilia kati, hali iliyosababisha Batuli amnunie mwenzake.… Mastaa wawili, Yobnesh Yusuph...
Share:

HIVI NDIVYO MVUA ILIVYOHARIBU MAZINGIRA JIJINI DAR

HIVI NDIVYO MVUA ILIVYOHARIBU MAZINGIRA JIJINI DAR     Mwavuli unaotumiwa na wafanyabiashara wadogowadogo  ukiwa umechukuliwa na maji na kutumbukia kwenye shimo eneo la stendi ya mabasi Ubungo.          Maji yakiwa yametuhama…     ...
Share:

Friday, 21 March 2014

RAIS KIKWETE AKIHUTUBIA BUNGE HII LEO

Hii ni kutokana na mwaliko wa mwenyekiti wa bunge Samwel sit...
Share:

RAIS KIKWETE AKIHUTUBIA BUNGE HII LEO

Hii ni kutokana na mwaliko wa mwenyekiti wa bunge Samwel sit...
Share:

WAALIMU BINZA SHULE YA MSINGI,WAKANA KUWAZOMEA WALIMU WA SHANWA SHULE YA MSINGI

WAALIMU  BINZA SHULE YA MSINGI, WAKANA KUWAZOMEA WAALIMU WA SHULE YA MSINGI SHANWA KATIKA WILAYA YA MASWA Waalimu wa shule ya Msingi katika Wilaya ya Maswa wamekanusha vikali juu kudaiwa kuwazomea  Waalimu wenzao wa shule ya Msingi Shanwa zote zikiwa katika Mji mdogo wa Maswa Kwa mujibu wa Mwalimu mkuu msaidizi Shule ya msingi Binza Bibi Iviri Swai alisema kuwa Ofisi yake pamoja...
Share:

WAALIMU  BINZA SHULE YA MSINGI, WAKANA KUWAZOMEA WAALIMU WA SHULE YA MSINGI SHANWA KATIKA WILAYA YA MASWA Waalimu wa shule ya Msingi katika Wilaya ya Maswa wamekanusha vikali juu kudaiwa kuwazomea  Waalimu wenzao wa shule ya Msingi Shanwa zote zikiwa katika Mji mdogo wa Maswa Kwa mujibu wa Mwalimu mkuu msaidizi Shule ya msingi Binza Bibi Iviri Swai alisema kuwa Ofisi yake pamoja...
Share:

Thursday, 13 March 2014

DOGO JANJA WAVUNJA UCHUMBA WA MTU MTWARA

DOGO JANJA, ASLAY WAVUNJA UCHUMBA WA MTU MTWARA Na Chande Abdallah na Nyemo ChilonganiMADOGO wanaotikisa katika ulimwengu wa muziki Bongo, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ na Asilahi Isihaka ‘Aslay’ wamedaiwa kuvunja uchumba wa jamaa aliyefahamika kwa jina la...
Share:

ALI KIBA KUTISHIWA KUUAWA, DIAMOND KUHOJIWA POLISI

ALI KIBA KUTISHIWA KUUAWA, DIAMOND KUHOJIWA POLISI SAKATA la staa wa Bongo Fleva, Ally Saleh ‘Ali Kiba’ kunusurika kuuawa na watu wasiojulikana kwa kutumia bastola limechukua sura mpya, safari hii, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefunguka kuwa amejiandaa kuhojiwa...
Share:

AUNT ,WEMA WALA KICHAPO

KIMEWAKA! Habari zilizothibitishwa zinaeleza kuwa, sura mbili za mauzo kwenye sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson wanadaiwa kula kichapo kutoka kwa msanii mwenzao, Adam Kuambiana, Amani limeinyaka. Wema Sepetu. Tukio hilo lililoshuhudiwa...
Share:

PINGAMIZI LA MGOMBEA UBUNGE CHADEMA CHALINZE

TAARIFA YA PINGAMIZI LA MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE FABIAN LEONARD SKAUKI – MGOMBEA CHAMA CHA WANANCHI –CUF                                                            ...
Share:

Wednesday, 12 March 2014

BWAWA LA MAGEREZA MASWA

Magugu maji katika lambo la mwantonja Maswa MAGUGU MAJI YAVAMIA LAMBO LA MWANTONJA MASWA Na Isaack Mbwaga  Maswa  Machi 11,2014   Mhariri Habari Mwananchi Mimea aina ya magugu maji yanatishia kufunika kabisa Lambo la...
Share:

Saturday, 8 March 2014

AFISA ELIMU AWAPA SOMO WALIMU WAKUU

WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI MASWA” WAFUNDWA”NA AFISA ELIMU SEKONDORI –NTAGAYE Waalimu wa shule za Sekondari katika Halimashauri ya Wilaya ya Maswa wameagizwa kuhakikisha na wanafuatilia kwa ukaribu ufundashaji wa Wanafunzi katika Shule zao ili kuinua kiwango cha ufaulu Wanafunzi Kauli hiyo alitolewa hivi karibuni na Afisa Elimu Sekondari wa Halimashauri ya Wilaya ya Maswa  Paulina...
Share:

CCM MASWA, YAONYWA

CCM MASWA  YAWEKA MSIMAMO KWA WAJUMBE WAKE KATIKA UTOAJI WA      MAONI KATIBA MPYA Wakati muda wa  Wajumbe wa Mabaraza ya katiba ngazi ya Wilaya kuanza mchakato wa kutoa maoni kutoka Kata mbalimbali za Wilaya ya  Maswa Chama cha Mapinduzi katika Wilaya ya Maswa tayari kimeweka msimamo kwa  Wajumbe wanachama wake ambao ni Wajumbe wa Baraza la katiba...
Share:

Thursday, 6 March 2014

MKURUGENZI WILAYA YA MASWA ACHA UBABE

MKURUGEZI MTENDAJI WA HALIMASHAURI YA MASWA, AACHE UBABE KWA WANDISHI WA HABARI Mkurugenzi Mtendaji wa Halimashuri ya Maswa bibi Hilda Lauwo anataka kuongoza Halimashuri ya Maswa kwa ubabe jambo ambalo halita msaidia kwa namna yoyote katika mustakabali wa Halimashauri hiyo iwapo ataendelea kujenga mazingira hasi kwa wandishi wa Habari Katika hali isiyo ya kawida hivi karibuni alilibeza Gazeti...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger