Siri ya CCM kung’ang’ania Serikali mbili kikatiba
Msimamo huo ni kinyume na mapendekezo
au matakwa ya wengi kama ilivyoainishwa kwenye Rasimu ya Pili ya Katiba
iliyoandaliwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba
Katika maisha ya kawaida, binadamu ana msimamo...
Friday, 28 March 2014
Seif: Hatuko tayari kujadili serikali mbili
Zanzibar. Makamu wa Kwanza wa
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema chama
chake cha CUF hakiko tayari kujadili mfumo wa Muungano wa serikali mbili
kama inavyotetewa na wabunge wa CCM na Rais Jakaya Kikwete.
Amesema tayari amewaandikia...
ROSE NDAUKA ADAIWA KUMTIBULIA DILI BATULI
ROSE NDAUKA ADAIWA KUMTIBULIA DILI BATULI
Akizungumza na Ijumaa kwa sharti la kutotajwa jina lake, chanzo
kilisema, wazo la project ile alikuwa nalo Batuli lakini Rose akaingilia
kati, hali iliyosababisha Batuli amnunie mwenzake.…
Mastaa wawili, Yobnesh Yusuph...
HIVI NDIVYO MVUA ILIVYOHARIBU MAZINGIRA JIJINI DAR
HIVI NDIVYO MVUA ILIVYOHARIBU MAZINGIRA JIJINI DAR
Mwavuli unaotumiwa na wafanyabiashara wadogowadogo ukiwa umechukuliwa
na maji na kutumbukia kwenye shimo eneo la stendi ya mabasi Ubungo.
Maji yakiwa yametuhama…
...
Friday, 21 March 2014
WAALIMU BINZA SHULE YA MSINGI,WAKANA KUWAZOMEA WALIMU WA SHANWA SHULE YA MSINGI
WAALIMU BINZA SHULE YA MSINGI, WAKANA KUWAZOMEA WAALIMU
WA SHULE YA MSINGI SHANWA KATIKA WILAYA YA MASWA
Waalimu wa
shule ya Msingi katika Wilaya ya Maswa wamekanusha vikali juu kudaiwa kuwazomea Waalimu wenzao wa shule ya Msingi Shanwa zote
zikiwa katika Mji mdogo wa Maswa
Kwa mujibu
wa Mwalimu mkuu msaidizi Shule ya msingi Binza Bibi Iviri Swai alisema kuwa Ofisi
yake pamoja...
WAALIMU BINZA SHULE YA MSINGI, WAKANA KUWAZOMEA WAALIMU
WA SHULE YA MSINGI SHANWA KATIKA WILAYA YA MASWA
Waalimu wa
shule ya Msingi katika Wilaya ya Maswa wamekanusha vikali juu kudaiwa kuwazomea Waalimu wenzao wa shule ya Msingi Shanwa zote
zikiwa katika Mji mdogo wa Maswa
Kwa mujibu
wa Mwalimu mkuu msaidizi Shule ya msingi Binza Bibi Iviri Swai alisema kuwa Ofisi
yake pamoja...
Thursday, 13 March 2014
DOGO JANJA WAVUNJA UCHUMBA WA MTU MTWARA
DOGO JANJA, ASLAY WAVUNJA UCHUMBA WA MTU MTWARA
Na Chande Abdallah na Nyemo ChilonganiMADOGO
wanaotikisa katika ulimwengu wa muziki Bongo, Abdulaziz Chende ‘Dogo
Janja’ na Asilahi Isihaka ‘Aslay’ wamedaiwa kuvunja uchumba wa jamaa
aliyefahamika kwa jina la...
ALI KIBA KUTISHIWA KUUAWA, DIAMOND KUHOJIWA POLISI
ALI KIBA KUTISHIWA KUUAWA, DIAMOND KUHOJIWA POLISI
SAKATA
la staa wa Bongo Fleva, Ally Saleh ‘Ali Kiba’ kunusurika kuuawa na watu
wasiojulikana kwa kutumia bastola limechukua sura mpya, safari hii,
Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefunguka kuwa amejiandaa kuhojiwa...
AUNT ,WEMA WALA KICHAPO
KIMEWAKA! Habari zilizothibitishwa zinaeleza kuwa, sura mbili za mauzo
kwenye sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson
wanadaiwa kula kichapo kutoka kwa msanii mwenzao, Adam Kuambiana, Amani
limeinyaka.
Wema Sepetu.
Tukio hilo lililoshuhudiwa...
PINGAMIZI LA MGOMBEA UBUNGE CHADEMA CHALINZE
TAARIFA YA PINGAMIZI LA MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE FABIAN LEONARD SKAUKI – MGOMBEA CHAMA CHA WANANCHI –CUF
...
Wednesday, 12 March 2014
BWAWA LA MAGEREZA MASWA

Magugu maji
katika lambo la mwantonja Maswa
MAGUGU MAJI YAVAMIA LAMBO LA MWANTONJA MASWA
Na Isaack
Mbwaga Maswa Machi 11,2014
Mhariri Habari Mwananchi
Mimea aina
ya magugu maji yanatishia kufunika kabisa Lambo la...
Saturday, 8 March 2014
AFISA ELIMU AWAPA SOMO WALIMU WAKUU
WAKUU WA
SHULE ZA SEKONDARI MASWA” WAFUNDWA”NA AFISA ELIMU SEKONDORI –NTAGAYE
Waalimu wa
shule za Sekondari katika Halimashauri ya Wilaya ya Maswa wameagizwa
kuhakikisha na wanafuatilia kwa ukaribu ufundashaji wa Wanafunzi katika Shule
zao ili kuinua kiwango cha ufaulu Wanafunzi
Kauli hiyo
alitolewa hivi karibuni na Afisa Elimu Sekondari wa Halimashauri ya Wilaya ya
Maswa Paulina...
CCM MASWA, YAONYWA
CCM
MASWA YAWEKA MSIMAMO KWA WAJUMBE WAKE
KATIKA UTOAJI WA MAONI KATIBA MPYA
Wakati muda
wa Wajumbe wa Mabaraza ya katiba ngazi
ya Wilaya kuanza mchakato wa kutoa maoni kutoka Kata mbalimbali za Wilaya
ya Maswa Chama cha Mapinduzi katika Wilaya
ya Maswa tayari kimeweka msimamo kwa
Wajumbe wanachama wake ambao ni Wajumbe wa Baraza la katiba...
Thursday, 6 March 2014
MKURUGENZI WILAYA YA MASWA ACHA UBABE
MKURUGEZI
MTENDAJI WA HALIMASHAURI YA MASWA, AACHE UBABE KWA WANDISHI WA HABARI
Mkurugenzi
Mtendaji wa Halimashuri ya Maswa bibi Hilda Lauwo anataka kuongoza Halimashuri
ya Maswa kwa ubabe jambo ambalo halita msaidia kwa namna yoyote katika mustakabali
wa Halimashauri hiyo iwapo ataendelea kujenga mazingira hasi kwa wandishi wa
Habari
Katika hali
isiyo ya kawida hivi karibuni alilibeza Gazeti...