Thursday, 26 March 2026

ALIKUWA AKIONEKANA KAMA TAKATAKA MBELE YA WANAWAKE, SASA HIVI ANADUNDA NA MKE MREMBO!

...

Naitwa Ramadhani, kijana ambaye kwa miaka mingi nimekuwa nikifanya kazi ya utingo wa malori hapa jijini Tanga. Licha ya kuwa ni kazi halali na ya jasho langu, niliishi maisha ya kunyanyasika sana upande wa mahusiano.

Kwa zaidi ya miaka kumi na miwili, nimekuwa nikitafuta mwanamke wa kutulia naye na kuanzisha familia, lakini kila niliyemfuata alikuwa ananitazama kwa dharau na kuniambia mimi siyo “level” yake.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger