Wednesday, 25 March 2026

MREMBO ALIYEFUNGWA KUTOOLEWA AANIKA SIRI YA KUPATA MUME WA KIZUNGU

Maisha ya hapa mjini Dar es Salaam yana mambo mengi, lakini kwa upande wangu, yalikuwa ni mfululizo wa maumivu na masikitiko. Jina langu ni Neema, mkazi wa Tabata. Kwa miaka zaidi ya kumi, nilikuwa mwanamke wa kuonja na kuachwa. Kila mwanaume aliyekuja kwangu alikuwa akiahidi ndoa, lakini baada ya muda mfupi, walikuwa wakitokomea kama moshi.

Nilijaribu kila mbinu; nilijiremba, nilivaa vizuri, na hata kutumia gharama kubwa kutafuta mvuto, lakini wapi! Nilikua nikishuhudia wadogo zangu na rafiki zangu wakiolewa, huku mimi nikibaki kuwa mpambe wa maharusi (bridesmaid) kila kukicha.

Share:

TIB HOSTS EADB DELEGATION, EYES EXPANDED PARTNERSHIP


By Staff Writer

The Tanzania Development Bank (TIB) has welcomed the new Country Manager of the East African Development Bank (EADB), Ms. Angela Muga, on an official visit aimed at strengthening cooperation between development finance institutions in the East African region.

The visit underscored the commitment of both institutions to fostering sustainable economic growth, sharing experiences, and promoting regional integration.

During her visit, Ms. Muga was accompanied by a delegation from EADB, led by Mr. Stephen Wambura, the EADB Resident Manager for Tanzania. The delegation took the opportunity to visit Pipes Industries, a key beneficiary of joint financing from TIB and EADB. Located in the Vingunguti Industrial Area in Dar es Salaam, Pipes Industries is a leading manufacturer of plastic pipes and other plastic products essential for infrastructure development.

Pipes Industries received a loan of approximately TSh 28.65 billion, which has significantly contributed to expanding its production capacity and enhancing its operations. This financing has enabled the company to increase the production of vital plastic products, including pipes crucial for water supply infrastructure in urban and rural areas. The investment has yielded important development outcomes, including job creation for Tanzanians, increased government revenue through taxes, and improved access to water infrastructure equipment.

The project aligns with Tanzania's broader strategy of industrial development, aimed at boosting domestic production and reducing dependency on imported goods. By supporting industries like Pipes Industries, TIB continues to play a pivotal role in strengthening the private sector and enhancing economic resilience.
Speaking during the visit, TIB's Chief Executive Officer, Mr. Deogratius Kwiyukwa, emphasized the importance of collaboration between regional development finance institutions in mobilizing long-term capital for transformative projects. "It is a great pleasure to officially welcome Ms. Angela Muga, the new Resident Manager of EADB Kenya, to our offices. Our partnership spans over 10 years, during which TIB, through EADB, has financed projects worth over TSh 80 billion across various sectors, including agriculture, health, education, industry, mining, and tourism," Kwiyukwa said.

He added, "Through this collaboration, over TSh 28 billion has been invested in the expansion project of Pipes Industries co Ltd in Vingunguti, Dar es Salaam, resulting in increased production of plastic products like water pipes, job creation for young men and women, and the growth of the industrial sector in Tanzania."

Ms. Angela Muga, EADB's Country Manager, highlighted the significance of cooperation among development finance institutions.

"Collaboration among DFIs is crucial for unlocking large-scale capital for regional transformation. By pooling our resources, we can accelerate industrial growth, strengthen regional integration, and deliver sustainable outcomes for East Africa," she said.

She further noted that the partnership between TIB and EADB exemplifies the growing trend of development finance institutions working together to mobilize long-term capital for impactful projects in Tanzania and the broader East African region.

The collaboration between TIB and EADB underscores the growing role of regional financial institutions in driving economic development. By providing patient, long-term capital, these institutions are building value chains that continue to yield positive outcomes long after the financing period ends.

TIB is a government-owned development bank focused on catalyzing domestic investment, particularly in priority sectors such as infrastructure, agriculture, industry, mining, tourism, and small and medium enterprises (SMEs). The bank also plays a key role in managing development funds and supporting project preparation to unlock investments that drive sustainable economic growth in Tanzania.

EADB, established in 1967, is a regional development bank owned by Kenya, Uganda, Tanzania, and Rwanda, along with other development and commercial financial institutions. Its mandate is to promote sustainable socio-economic development and regional integration in East Africa by providing financial and related services to companies in its member states.

The visit concluded with both parties reaffirming their commitment to deepening their partnership and exploring new avenues for collaboration in support of Tanzania's development agenda.

Share:

Tuesday, 24 March 2026

DENI LILOMSUMBUA MFANYABIASHARA KWA MIEZI TISA LILIISHA GHAFLA BAADA YA TUKIO LA AJABU LILILOBADILISHA HATIMA YAKE!





Kuna deni linalokunyima usingizi. Unaamka nalo. Unalala nalo. Kila simu ikiita moyo unashtuka ukidhani ni mkopeshaji. Hivyo ndivyo maisha yalivyokuwa kwa Samuel, mfanyabiashara wa vipuri vya magari kutoka Industrial Area, ambaye alijikuta akizama katika deni la zaidi ya laki saba baada ya biashara kuyumba ghafla.

Samuel alikuwa amechukua mkopo kupanua duka lake. Mambo yalikuwa mazuri mwanzoni. Lakini ushindani uliongezeka, wateja wakapungua, na mzigo wa marejesho ukaanza kumlemea. Kila mwisho wa mwezi ulikuwa vita.

Share:

KISHAPU YAZINDUA CHANJO YA POLIO, WATOTO 120, 000 KUFIKIWA

Na Sumai Salum – Kishapu

Katika hatua muhimu ya kuimarisha afya ya jamii, Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga imezindua rasmi kampeni ya chanjo ya ugonjwa wa Polio, ikiwa ni sehemu ya jitihada za serikali kuhakikisha watoto wanalindwa dhidi ya ugonjwa huo hatari.


Uzinduzi wa kampeni hiyo umefanyika Machi 24, 2026 katika Shule ya Msingi Buduhe, iliyopo Kata ya Kishapu, ambapo wananchi, viongozi wa serikali na wataalamu wa afya walihudhuria na kusisitiza umuhimu wa zoezi hilo kwa ustawi wa jamii.


Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya, Fadhili Mvanga amesema kuwa kuanzishwa kwa kampeni hiyo kunatokana na uwepo wa viashiria vya vimelea vya ugonjwa wa polio vilivyobainika katika maji taka mkoani Mwanza hivyo kuilazimu serikali kuja na mpango wa kukinga watoto katika mikoa saba hali inayohitaji tahadhari ya haraka ili kuzuia kusambaa kwa ugonjwa huo.


Ameeleza kuwa lengo kuu la serikali ni kulinda afya za wananchi, hususan watoto, kwa kuhakikisha wanapatiwa chanjo kwa wakati. Amebainisha kuwa kampeni hiyo itafanyika kwa siku nne mfululizo, ikiwalenga watoto wenye umri chini ya miaka 10 kupitia vituo vya afya elekezi, majumbani na mashuleni.


“Serikali imeweka kipaumbele katika ustawi endelevu wa afya za wananchi. Ndiyo maana inaendelea kuboresha miundombinu ya sekta ya afya kupitia Wizara ya Afya, na huduma hii ya chanjo inatolewa bure kwa wote,” amesema Mvanga.


Aidha, ametoa wito kwa wakazi wa Kishapu kujitokeza kwa wingi kushiriki kampeni hiyo, huku akisisitiza kuwa hakuna kiongozi wala mwananchi anayepaswa kukwamisha zoezi hilo muhimu kwa mustakabali wa afya ya jamii.


Kwa upande wake, Mratibu wa chanjo wilayani humo, Jamila Mohamed, amesema jumla ya watoto 120,000 wanatarajiwa kufikiwa katika kampeni hiyo. Amefafanua kuwa chanjo ya polio ni muhimu sana kwani husaidia kuzuia madhara makubwa ikiwemo kupooza kwa misuli na kupelekea ulemavu wa kudumu na hata vifo.


Naye mwananchi wa Mtaa wa Mwasele ‘B’, Rodah Zacharia, ameipongeza serikali kwa juhudi zake za kuimarisha sekta ya afya. Amesema maboresho ya huduma za afya yameongeza upatikanaji wa huduma kwa urahisi na kwa wakati, huku akiwahimiza wazazi na walezi kujitokeza kwa wingi kuhakikisha watoto wao wanapata chanjo.

Kampeni hiyo ni sehemu ya mkakati mpana wa serikali wa kutokomeza kabisa ugonjwa wa polio nchini, na inatarajiwa kuwa na mchango mkubwa katika kulinda kizazi cha sasa na kijacho.Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Kishapu mkani Shinyanga ambaye pia ndie mgeni rasmi, Fadhili Mvanga (Afisa tawala wilayani humo) akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya chanjo ya Polio ngazi ya Wilaya uliofanyika katika Shule ya Msingi Buduhe Kata ya Kishapu Machi 24,2026Mwakilishi wa Mganga mkuu wa Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga Jofrey George Shinyangwe akizungumza kwenye uzinduzi wa kampeni ya chanjo ya polio ngazi ya wailaya Machi 24,2026 walipokuwa Shule ya msingi Buduhe
Mwakilishi wa Mkuu wa Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga ambaye pia ni Afisa Elimu ya Watu Wazima na Nje ya Mfumo Rasmi Mwl. Baraka Mwijarubi akizungumza kwenye uzinduzi wa kampeni ya chanjo ya polio ngazi ya wailaya Machi 24,2026 walipokuwa shule ya msingi Buduhe
Afisa tarafa ya Kishapu wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, Tano Malele akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya chanjo ya Polio ngazi ya Wilaya uliofanyika katika Shule ya Msingi Buduhe Kata ya Kishapu Machi 24,2026
Mratibu wa chanjo Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, Jamila Mohamed, akieleza mikakati ya kufikia zaidi ya watoto 120,000 kupitia kampeni ya chanjo ya polio inayoendelea wilayani humo akizungumza wakati wa uzinduzi Machi 24, 2026 katika viwanja vya Shule ya msigi Buduhe
Mratibu wa afya kwa umma wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, Mwajuma Abeid akifurahia mkutano wa uzinduzi kampeni ya chanjo ya poli ngazi ya wilaya Machi 24, 2026 viwanja vya Shule ya msingi Buduhe.

Mkaazi wa Mtaa wa Mwasele ‘B’, Kata ya Kishapu wilayani Kishapu mkoani Shinyanga Rodah Zacharia, akitoa maoni yake kuhusu kampeni ya chanjo ya polio iliyozinduliwa kiwilaya viwanja vya Shule ya msingi buduhe wilayani humo Machi 24, 2026 baada ya watoto wake kupata chanjo hiyo mapema





















































Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger