Sunday 31 October 2021

SIMBA YABANWA MBAVU...YALAZIMISHWA SARE YA 0-0 NA COASTAL UNION

...



Na Emmanuel Mbatilo - Dar es salaam
KLABU ya Simba Sc imeshindwa kufurukuta mbele ya wagosi wa kaya Coastal Union kwenye ligi ya NBC.

Simba imelazimishwa sare kwenye mchezo huo ambao ulikuwa mchezo wa aina yake hasa timu zote mbili katika kipindi cha kwanza kucheza kwa kushambuliana japo kwa upande wa Simba walionesha hamu ya kupata ushindi kwenye mchezo huo.

Kipindi cha pili Simba ilirudi ikiwa imejipanga kwani walitawala mchezo huo licha ya kutokutumia nafasi nyingii za wazi walizozipata.

Timu zote mbili zilipata kadi nyekundu.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger