Sunday, 7 June 2020

Yanga Yapigwa Bao 3- 0 Na KMC

...
Dakika 90 za mechi ya kirafiki kati ya Yanga na KMC Uwanja wa Uhuru  zimekamilika kwa Yanga kukubali kichapo cha mabao 3-0.

KMC ilianza kuandika bao la kwanza kupitia kwa Sadala Lipangile dakika ya 31 kwa pasi ya Charlse Ilanfya na bao la pili likapachikwa na Ilanfya kwa pasi ya Emmanuel Mvuyekule 

Bao la tatu lilifungwa na Hassan Kabunda dakika ya 65 kwa mpira wa adhabu.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger