Thursday, 21 May 2020

Wagonjwa Wa Corona Nchini Kenya Wafika 1109 Baada ya Wengine 80 Kuongezeka Leo

...
Jumla ya watu waliopata virusi vya coroni nchini Kenya imefikia 1,109, baada ya wagonjwa wapya 80 kubainika na maambukizi, imeripoti Wizara ya Afya nchini humo. 

Katika tangazo la kila siku kuhusu virusi vya Covid-19, Waziri wa Afya nchini humo Bwana Mutahi Kagwe amesema wagonjwa hao 80 wamebainika baada ya kupimwa kwa sampuli 3,102 

Waliopona wamefikia 375 na vifo vimeendelea kusalia 50.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger