Tuesday, 5 May 2020

MSHUMAA WAUNGUZA NYUMBA NA KUUA WATOTO

...

Watoto wawili wamefariki Dunia kufuatia kuungua moto kwa nyumba waliyokuwa wakiishi, katika mtaa wa Makuburi Ubungo jijini Dar es salaam. 

Akizungumza na EA Radio Mwenyekiti wa Mtaa Makuburi, Moshi Kaftany amesema chanzo cha moto inadaiwa ni mshumaa.

Kaftany amesema kuwa "moto umetokea usiku wa kuamkia leo na wajukuu zangu wawili wamefariki, bahati mbaya zaidi, hakuna hata mpangaji aliyefanikiwa kuokoa chochote"

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger