Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto imethibitisha kuwepo kwa Wagonjwa wapya 84 wenye maambukizi ya Virusi vya Corona (COVID -19) nchini Tanzania. Kati ya hao wagonjwa 16 ni waliotolewa taarifa na Waziri wa Afya wa Zanzibar leo Aprili 20,2020.
0 comments:
Post a Comment