Tuesday, 14 January 2020

Rais Magufuli Awaapisha Mabalozi Wanne

...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo amewaapisha Mabalozi Wateule wanne watakaoiwakilisha Tanzania katika nchi za nje.

Walioapishwa ni;
1. Meja Jenerali (MST) Gaudence Milanzi kuwa Balozi wa Africa Kusini.

2.Dkt. Modestus Francis Kipilimba kuwa Balozi wa Namibia.

3.Prof. Emmanuel David Mwaluko Mbennah kuwa Balozi wa Zimbabwe.

4.Dkt. Benson Alfred Bana kuwa Balozi wa Nigeria.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger