Tuesday, 14 January 2020

Mo Dwji Aibuka na Jipya Baada ya Kutangaza Kujiuzulu Simba SC

...
Baada ya jana kupitia ukurasa wake wa twitter kuandika kwamba anaondoka kwenye nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba kutokana na timu hiyo kupoteza mchezo wa fainali kwa kufungwa bao 1-0 na Mtibwa Sugar, leo Mo amekuja na maamuzi mapya kwamba kilichotokea kwenye Account yake jana ilikuwa ni bahati mbaya. 

 “Kilichotokea kwenye akaunti zangu jana kilikuwa ni bahati mbaya, tuko pamoja, tunarudi kwenye ligi tukiwa na nguvu , tunajipanga kwa ajili ya ligi, nawapongeza Mtibwa kwa kuchukua kombe, mimi ni Simba damudamu, nitabaki kuwa Simba”.Ameandika Mo Dewj 



Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger