Saturday, 10 August 2019

Breaking : WATU ZAIDI YA 50 WASADIKIWA KUFA BAADA YA LORI LA MAFUTA KUWAKA MOTO MORO

...
Watu zaidi ya 50 wanasadikiwa wamekufa baada ya lori la mafuta kupinduka na kuwaka moto eneo la Msamvu mkoani Morogoro. Inadaiwa chanzo ni watu kutaka kuiba betri kutoka kwenye tenka hio iliyokuwa imepinduka huku wengine wakiba mafuta ndipo moto ukalipuka. Juhudi za kuopoa miili zinaendelea.

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger