Monday, 15 April 2019

Laini za simu kusajiliwa upya nchini kuanzia Mei Mosi mwaka huu

...
Watumiaji wote wa simu za mkononi ambao hawajasajili laini zao kwa kitumia mfumo wa alama za vidole wanatakiwa kusajili upya laini zao.

Hayo yameelezwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikiana na watoa huduma za mawasiliano ya simu ambao wateja hao wanatakiwa kufanya hivyo kuanzia Mei Mosi mwaka huu.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger