HESLB Online Loans Application Management Information System
Home
Instructions
Register
Login
HESLB is happy to announce another Loan Application
Cycle for academic year 2018/19.
Application window for academic year 2017/18 opens
on 1st May, 2018 through 30th May, 2018.
All applicants are advised to read guidelines...
Sunday, 15 April 2018
Thursday, 12 April 2018
MWONGOZO NA USHAURI WA KOZI ZENYE SOKO KULINGANA NA MCHEPUO WAKO(COMBINATION) ZA KUCHAGUA/KUSOMEA VYUO VIKUU MWAKA WA MASOMO 2018-2019
MWANZO
Napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kunifanya
kuwa hai siku hii ya leo na kuandika mambo yenye faida kwa wadogo zangu kidato
cha sita mwaka 2018.
Vitu nitakavyozungumzia;
1.Aina ya kozi nzuri ya
KUSOMA kutokana na Mchepuo wako wa A-level uliosomea
2.Marketable course in
terms of Employment opportunities
3.Future market ya kozi
husika hasa Ktk nchi inayoendelea Kama...
Sunday, 8 April 2018
MICHANGO MBALIMBALI YAENDELEA KUTOLEWA SHULE YA MASWA GIRLS KWA AJILI YA KAMBI YA WANAFUNZI KIDATO CHA SITA MKOA WA SIMIYU
Wadau mbalimbali ktk mkoa wa Simiyu wachangia kambi ya kitaaluma ya kidato cha sita iliyopo ktk shule ya sekondari ya wasichana ya Maswa.
Wadau hao ni Ofisi ya Mkuu wa mkoa Sh Milioni 10 kwa ajili ya kuongezea posho kwa walimu 40 wanaowafundisha,Sh M 1.1 kwa ajili ya mahitaji maalumu kwa wanafunzi wa kike,Mbunge wa Jimbo la Itilima Mh Njalu katoa kg 500 za mchele,Mkurugenzi Meatu kg 300 za...
Saturday, 7 April 2018
Thursday, 5 April 2018
Wednesday, 4 April 2018
KUELEKEA MTIHANI WA TAIFA MWEZI MEI WANAFUNZI 1003 KIDATO CHA SITA SIMIYU WAPIGA KAMBI YA KITAALUMA

Baadhi ya Wanafunzi wa Kidato cha Sita kutoka shule 11 za Mkoa wa Simiyu wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa huo, Mhe.Anthony Mtaka(hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa Kambi ya Kitaaluma kwa wanafunzi hao Aprili 03 wilayani Masw...
Breaking news:BUS LA CITY BOY LAPATA AJALI IGUNGA TABORA NA KUUA

Taarifa zinazosambaa kwa kasi kwenye Mitandao ya kijamii ni kuhusu taarifa za ajali mbaya sana ya basi tajwa linalofanya safari zake kati ya Dar na Karagwe Kagera.
RPC Tabora amesema ajali ni Mbaya vifo kadhaa vimetokea.Basi limegongana na Lori.
...