Sunday, 31 July 2016

CHUOKIKUU CHA SYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA CHAKANUSHA KUFUNGIWA UDAHILI

    BONYEZA HAPA KUSO...
Share:

Mkutano wa Rais Magufuli, Kahama: James Lembeli Atangaza kurejea CCM

Katika hali inayoshangaza wapenzi na mashabiki wengi wa CHADEMA ni pale aliyekuwa mgombea Ubunge kupitia CHADEMA ameonekana katika mkutano wa CCM unaoendelea hapa mjini Kahama. Wadadisi wa masuala ya kisiasa hapa Kahama wanadai kiongozi huyo aliyejizolea umashuhuri mkubwa enzi za uongozi wake kwa...
Share:

Official VIDEO | Dan Mapete Ft. Msaga Sumu - BURUDANI | Watch/Download

...
Share:

Picha- Rais Magufuli Afanya Mikutano Tinde,Isaka na Kahama Mkoani Shinyanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mamia wa wakazi wa Kahama mkoani Shinyanga mara baada ya kuwasili akitokea Nzega mkoa Tabora Julai 31,2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Mbunge wa zamani wa Kahama James Lembeli mara baada ya kuwasalimia...
Share:

Pichaz: Waziri Nape, Lowassa, Mbowe walivyoshiriki kuuaga mwili wa marehemu Senga

July 31 2016 mwili wa marehemu Mwanahabari Joseph Senga umeagwa Dar es salaam leo kuelekea Mwanza kwa ajili ya maziko, baadhi ya viongozi wa serikali na siasa wameshiriki wakiwemo...
Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO CHA AFYA KOLANDOTO SHINYANGA 2016/2017

>>ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO CHA KOLANDOTO<<<...
Share:

DOWNLOAD JOINING INSTRUCTION CHUO CHA AFYA KOLANDOTO 2016/2017

<<<Joining Instructions>>> <<<Admission Letter>&g...
Share:

LIST OF SELECTED STUDENTS BY NACTE FIRST BATCH 2016/2017 ACADEMIC YEAR

  LIST OF SELECTED STUDENTS BY NACTE FIRST BATCH 2016/2017 ACADEMIC YEAR ...
Share:

DOWNLOAD HAPA JOINING INSTRUCTIONS CHUO CHA AFYA BUMBULI 2016/17

  1.JOINING INSTRUCTIONS [DIPLOMA & CERTIFICATE  IN CLINICAL MEDICINE] | | [ BASIC TECHN. CERTIFICATE IN COMMUNITY HEALTH]    2. MEDICAL FORM          ...
Share:

Picha 9: Rais Magufuli alivyoendelea na ziara yake Igunga na Nzega Tabora

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli jana July 30 2016 ameendelea na ziara yake katika Mkoa wa Tabora akitokea Mkoa wa Singida. Mkoani Tabora, Rais Magufuli alizungumza na wananchi waliosimamisha msafara wake katika vijiji vya Nanga na Ziba na...
Share:

Mtuhumiwa wa Mauaji Jijini Mwanza Auawa akijaribu Kutoroka

MTUHUMIWA wa ujambazi Msafiri Suleiman maarufu kama Juma Msukuma ameuawa wakati akijaribu kuwatoroka Polisi. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea Julai 28 mwaka huu majira ya saa 10.30 jioni katika eneo la Igoma kata...
Share:

Wizara ya Elimu kuhamia Dodoma Agosti

  WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema imejipanga kuhakikisha inahamia Dodoma kabla au ifikapo Agosti 15 mwaka huu. Kumekuwa na hekaheka kwa taasisi na wizara mbalimbali za umma kuhamia Dodoma ili kuunga mkono tamko la Rais John Magufuli ambaye Jumamosi ya wiki iliyopita aliuahidi ...
Share:

Magazeti ya Leo Jumapili ya Julai 31, 2016

...
Share:

Saturday, 30 July 2016

Rais Magufuli ndani ya Igunga, mwenyekiti wa CHADEMA aomba amsalimie.

Katika mwendelezo wa ziara yake ya siku nne katika Mikoa ya Singida, Tabora, Shinyanga na Geita, Rais Magufuli amefanya mkutano Igunga. Katika kuonyesha jinsi ambavyo wananchi wengi wanakubaliana na mtazamo na mwelekeo wake katika hatma ya Taifa, Mwenyekiti wa CHADEMA amewaomba sana walinzi wa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger