BONYEZA HAPA KUSO...
Sunday, 31 July 2016
Mkutano wa Rais Magufuli, Kahama: James Lembeli Atangaza kurejea CCM
Katika hali inayoshangaza wapenzi na mashabiki wengi wa CHADEMA ni pale
aliyekuwa mgombea Ubunge kupitia CHADEMA ameonekana katika mkutano wa
CCM unaoendelea hapa mjini Kahama.
Wadadisi wa masuala ya kisiasa hapa Kahama wanadai kiongozi huyo
aliyejizolea umashuhuri mkubwa enzi za uongozi wake kwa...
Picha- Rais Magufuli Afanya Mikutano Tinde,Isaka na Kahama Mkoani Shinyanga
Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mamia wa
wakazi wa Kahama mkoani Shinyanga mara baada ya kuwasili akitokea Nzega
mkoa Tabora Julai 31,2016 Rais
wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Mbunge wa
zamani wa Kahama James Lembeli mara baada ya kuwasalimia...
Pichaz: Waziri Nape, Lowassa, Mbowe walivyoshiriki kuuaga mwili wa marehemu Senga
July 31 2016 mwili wa marehemu Mwanahabari Joseph Senga umeagwa
Dar es salaam leo kuelekea Mwanza kwa ajili ya maziko, baadhi ya
viongozi wa serikali na siasa wameshiriki wakiwemo...
DOWNLOAD HAPA JOINING INSTRUCTIONS CHUO CHA AFYA BUMBULI 2016/17
1.JOINING INSTRUCTIONS [DIPLOMA & CERTIFICATE IN CLINICAL MEDICINE] | | [ BASIC TECHN. CERTIFICATE IN COMMUNITY HEALTH] 2. MEDICAL FORM ...
Picha 9: Rais Magufuli alivyoendelea na ziara yake Igunga na Nzega Tabora

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli jana July
30 2016 ameendelea na ziara yake katika Mkoa wa Tabora akitokea Mkoa wa
Singida.
Mkoani
Tabora, Rais Magufuli alizungumza na wananchi waliosimamisha msafara
wake katika vijiji vya Nanga na Ziba na...
Mtuhumiwa wa Mauaji Jijini Mwanza Auawa akijaribu Kutoroka

MTUHUMIWA wa ujambazi Msafiri Suleiman maarufu kama Juma Msukuma ameuawa wakati akijaribu kuwatoroka Polisi.
Kamanda
wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi alisema jana kuwa tukio hilo
lilitokea Julai 28 mwaka huu majira ya saa 10.30 jioni katika eneo la
Igoma kata...
Wizara ya Elimu kuhamia Dodoma Agosti
WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema imejipanga kuhakikisha inahamia Dodoma kabla au ifikapo Agosti 15 mwaka huu.
Kumekuwa na hekaheka kwa taasisi na wizara mbalimbali za umma kuhamia
Dodoma ili kuunga mkono tamko la Rais John Magufuli ambaye Jumamosi ya
wiki iliyopita aliuahidi ...
Saturday, 30 July 2016
Rais Magufuli ndani ya Igunga, mwenyekiti wa CHADEMA aomba amsalimie.
Katika mwendelezo wa ziara yake ya siku nne katika Mikoa ya Singida,
Tabora, Shinyanga na Geita, Rais Magufuli amefanya mkutano Igunga.
Katika kuonyesha jinsi ambavyo wananchi wengi wanakubaliana na mtazamo
na mwelekeo wake katika hatma ya Taifa, Mwenyekiti wa CHADEMA amewaomba
sana walinzi wa...